https://www.facebook.com/Neflix ya nchi gani mkuu? Nimesearch sijaona, kama hutojali share link niangalie na mimi.
Awahi mahakamani awafukumue pesa hao netifliksi
Kwa nnAwahi mahakamani awafukumue pesa hao netifliksi
Ina maana wasio na akili nyingi wala vipaji wenyewe wasipopata proper treatment wenyewe ‘shega’ tu huwa hawakabiliwi na hatari ya kuharibikiwa au?Watu wenye akili nyingi na vipawa vikubwa wana hatari kubwa ya kuharibikiwa maisha kama hawapati proper treatment mfano Chid benz, Ngwair, TID, Feroouz, Nuruel, Godzilla duniani huko tuna mfano wa Whitney Houston
Huyo mtoto, kumbuka wakati ukiwa mtoto ukimuona mtu mwenye miaka 40 unamuonaje?Mtu akiwa kwenye 40s ana uzee gani?
Hii Dunia ukiwa serious sana kuna mambo mazuri yatakupita pia usisahau the World is full of extroverted people