Bahati ilioje: Msiba wa Raia uliogeuka kuwa Msiba wa Kitaifa, Tunaishukuru Serikali

Bahati ilioje: Msiba wa Raia uliogeuka kuwa Msiba wa Kitaifa, Tunaishukuru Serikali

Mtoa mada roho mbaya uliyonayo unaweza kujengea ht ghorofa, ht ww ukifa viongozi wa nchi watajaa
 
Ni majina tu mkuu..
Kiislam majina yake yana maana zake.

Halima alikuwa ni mama mlezi wa Mtume Muhammad Sala Allahu alayhi Wasalaam.

Pia linamaanisha ",mpole, mstahamilivu".

Inawezekana mama yake Mdee alikuwa na shoga yuake Muislam au pia inawezekana Baba'ke ni Muislam. Kina "Mdee" ni watu wa Tanga kiasili.

Kama Halima ni mtoto wa singo maza, jibu lipo wazi.
 
Polen
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-31-11-22-18-506_com.instagram.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-07-31-11-22-18-506_com.instagram.android-edit.jpg
    819 KB · Views: 2
Viongozi kadhaa wa Kitaifa wakishiriki kuhani Msiba wa Mama yake Halima Mdee, Tunaishukuri serikali kwa kujitokeza kushiriki kuwafariji Wafiwa.

Gerson Msigwa

View attachment 3057987

Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko

View attachment 3057989

Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa

View attachment 3057990

Bado inatarajiwa kuwa na Ugeni Mkubwa zaidi

PIA SOMA
- TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
baada ya ugeeni mtujuze mlete na uhaii wa mama mdee nawakumbusha tu hamna tumain ma kifo
 
Back
Top Bottom