physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Hii sio dua,tafsiri yake ni:Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu,na kwake tutarejea.Hii dua haiswii kwa Wakatoliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio dua,tafsiri yake ni:Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu,na kwake tutarejea.Hii dua haiswii kwa Wakatoliki
Kahamia lini?, hebu tukubali kuwa na mitazamo tofauti kundini.Ahamie mara ngapi?
Family ya mzee Mdee INA hisa ccmWacha siasa msibani we mzee Mgaya
Dunia Ina story na history tujue haya ndugu watazamajiNajiuliza ilikuaje kuaje akawa HALIMA wakati mama ake ni mkatoliki safi tu au Halima ni jina tu?
Vipi unamuonea wivu?Viongozi kadhaa wa Kitaifa wakishiriki kuhani Msiba wa Mama yake Halima Mdee, Tunaishukuri serikali kwa kujitokeza kushiriki kuwafariji Wafiwa.
Gerson Msigwa
View attachment 3057987
Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko
View attachment 3057989
Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa
View attachment 3057990
Bado inatarajiwa kuwa na Ugeni Mkubwa zaidi
PIA SOMA
- TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
ukisoma quran tafsir ya saleh farsy katika sura ya 4 aya ya 19, sherehe anasema "jina au mavazi, sio uislamu"!Najiuliza ilikuaje kuaje akawa HALIMA wakati mama ake ni mkatoliki safi tu au Halima ni jina tu?
We unahisi Halima yeye ni muislamu ? Ni jina tu kama majina mengineNajiuliza ilikuaje kuaje akawa HALIMA wakati mama ake ni mkatoliki safi tu au Halima ni jina tu?
Wivu wa Msiba ?Vipi unamuonea wivu?
😆😆😆😆Hapo ni Mbweni au Dodoma?
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja katiya dini/ Imani na jina.Najiuliza ilikuaje kuaje akawa HALIMA wakati mama ake ni mkatoliki safi tu au Halima ni jina tu?
Ni majina tu,ukija iringa ndyo utashangaa kumuona mohamed,rajab kwenda kanisaniNajiuliza ilikuaje kuaje akawa HALIMA wakati mama ake ni mkatoliki safi tu au Halima ni jina tu?
Nadhani umefananisha Na Mdoe,Mdoe ndio watu wa Tanga.Kiislam majina yake yana maana zake.
Halima alikuwa ni mama mlezi wa Mtume Muhammad Sala Allahu alayhi Wasalaam.
Pia linamaanisha ",mpole, mstahamilivu".
Inawezekana mama yake Mdee alikuwa na shoga yuake Muislam au pia inawezekana Baba'ke ni Muislam. Kina "Mdee" ni watu wa Tanga kiasili.
Kama Halima ni mtoto wa singo maza, jibu lipo wazi.
Inawezekana.Nadhani umefananisha Na Mdoe,Mdoe ndio watu wa Tanga.