Bahati yetu ni Jua, Unyevunyevu (humidity) na Joto - Corona hatambi

Bahati yetu ni Jua, Unyevunyevu (humidity) na Joto - Corona hatambi

Dah watanzania hivi mbona mnapenda kujinenea mabaya? mtu anacomment baaada ya muda kidogo tutaongea lugha moja it means tutakua na rate sawa na marekani au?
Mwingine anasema tutazika wengi as if yeye hayuko tanzania.
Tuajaribu kujinenea yaliyo mema power of positive thinking hii inatufanya hata ukiupata ugonjwa uwe ktk relaxed situation yani hupanick sana kwa sbb unajua hata kama nimevipata sitakufa sisi hatutakufa kama wao. Period!!
 
Kwahiyo hapa walengwa ni waKristo [kusali] na waIslam [kuwali] . Je sisi tunaoabudu miti na mawe makubwa makubwa hata yale Mheshimiwa fulani aliandika yeye ndio Rais mbona tumetengwa ?.Bora niurejee uraia wangu wa zamani kama huku kwenu mnadharau dini zetu za mabab tangu enzi na enzi.
ndiomana nikasema kwa uelewa wangu so wewe km unauelewa mwengine waziada unaweza uweka hapa kwani itaweza kuniongezea kitu hata mimi, afu usiondoke bwana we bakia tu ili tuendelee kulishwa matango pori pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran na Saudi Arabia Joto Ni kubwa Sana na Umeona Jinsi Corona Ilivyopiga huko.

The difference ni kuwa wenyewe walikuwa wanafanya testing sisi hatufanyi.

Hakuna Cha Joto Hapa Wala Baridi. Muda si Mrefu Mtaongea Lugha Moja.
Sasaivi huko ni kipindi cha baridi subiri may ndio joto linaanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa bandiko. Unaweza kutuwekea hapa link ya utafiti huo tujiridhishe?
Namba zetu za maambukizi na vifo hadi sasa vinaelekea kuwa tofauti na zile za wenzetu walioko kwenye nchi za baridi.
Ushahidi unaanza kupatikana sasa kueleza tofauti hizi kati ya nchi zetu na za hawa wengine.

Ingawa pamekuwepo na dhana ya kuhusisha joto, unyevunyevu na mwanga katika kupungua kwa kasi ya maenezi ya coronavirus, dhana hii bado ilikuwa haijapata ushahidi wa kimaabara kuhusisha hali hizo na kupunguza kasi ya kuenea kwa coronavirus.

Sasa uchunguzi huo umefanyika na inabainishwa wazi kwamba corona anadhurika haraka anapokutana na mazingira hayo ya joto, mwanga na unyevunyevu.

Huu utakuwa ni ushahidi wa kujitosheleza kuhusu bahati yetu ya kutokuwa na kasi ya maambukizi kama ile tuliyoiona Italy, Uingereza, USA na kwingineko.

Corona anadhurika haraka, kwa hiyo maambukizi yanapungua. Hii haina maana kwamba maambukizi hayatakuwepo kabisa. Maambukizi yatakuwepo kama haya tuliyokwishayashuhudia, lakini kasi yake haitafikia ile inayoonekana kwenye nchi za baridi.

Maana ya utafiti huo ni kwamba, sisi tukiongeza juhudi ya kuongeza kuzuia maambukizi, kama kunawa mikono, barakoa na kutokaribiana zaidi, nafasi yetu ya kuzuia maambukizi na vifo inaweza kuwa kubwa zaidi.

Hii ina maana, Mungu, alishasikiliza sala zetu kuhusu ugonjwa huu, ndiyo maana katuweka hapa tulipo.
Tuzidi kusali/kuswali.

Najua utataka nikupe source ya utafiti huo. Vuta subira. Kwa sasa nikupe tu kwamba tafiti za aina hii zinaendelea India, USA na kwingineko.

Hata sisi hapa tungeweza kufanya; aaah, acha tupige siasa kwanza. Kwa sababu siasa inalipa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom