Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Dah watanzania hivi mbona mnapenda kujinenea mabaya? mtu anacomment baaada ya muda kidogo tutaongea lugha moja it means tutakua na rate sawa na marekani au?
Mwingine anasema tutazika wengi as if yeye hayuko tanzania.
Tuajaribu kujinenea yaliyo mema power of positive thinking hii inatufanya hata ukiupata ugonjwa uwe ktk relaxed situation yani hupanick sana kwa sbb unajua hata kama nimevipata sitakufa sisi hatutakufa kama wao. Period!!
Mwingine anasema tutazika wengi as if yeye hayuko tanzania.
Tuajaribu kujinenea yaliyo mema power of positive thinking hii inatufanya hata ukiupata ugonjwa uwe ktk relaxed situation yani hupanick sana kwa sbb unajua hata kama nimevipata sitakufa sisi hatutakufa kama wao. Period!!