Bahatisha umri wa mwanaJF

Emmyta ahaaaaa wabibi qako huko nannyirindi wew mdada wa mjini ni janja janja sanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....Mungu mwema tumevuka salama jukwaan na pita san ww sikuoni mumy
Hahahaaaa. Hata mjini wapo bana. [emoji85]

Nipo rafiki nadhani tunapishana tu.
 

Salaam ziwafikie popote walipo, trick yao tumeitambua na sikuizi hatuulizi umri ni moja kwa moja kwenye point [emoji28][emoji28][emoji28]
 

Niko kwenye maandalizi ya Birthday ya witnessj (Zanzibar Palace Hotel) next month and she will be 27 years old.
 
Hahahaaa. Kwa kuangalia maandishi , wengi watachemsha aisee sababu unaweza kuta mtu anamaandishi ya kikubwa ila ni mdogo. Na kuna wakubwa nao lakini wakiwa humu wanakuwa na akili kama watoto.

Hivyo tabu tupu kwa walio wengi ni ngumu kuwabahatisha.
Umesema kweli. Kuna mtu hum maandishi yake ukiyaona kama ana miaka 40+ ila nilifuatilia stori yake sidhani kama amefikisha hata 25 na kama amefikisha havuki 26
 
Wee tema mate chini! [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ni mzee kizee haswa ila sionei aibu uzee wangu hata kidogo zaidi zaidi naongezeaga na nyongeza [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umesema kweli. Kuna mtu hum maandishi yake ukiyaona kama ana miaka 40+ ila nilifuatilia stori yake sidhani kama amefikisha hata 25 na kama amefikisha havuki 26
Kweli my dear na wa hivyo ndio wengi sana. Mie nina rafiki yangu mmoja huyo yaani akiniquote sehemu huwa naogopa hata namna ya kumjibu sababu yuko vizuri kichwani aiseee.

Naweza mpa like tu na kama ni asubuhi basi nitamjibu jioni sababu kila ninachoandika nafuta kwani nahisi hatonielewa nilichoandika.

Dahafrazeril heshima kwako Comred.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…