Hawa wanawake wanadhani hela twaokota eeehMkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi
Note:
Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.
Mkuu sina akiba yoyote kwasasaUna akiba kiasi gani? Kama una zaidi ya 5m unaweza kuhonga angalau 10,20,30,40,50 usizidi 50, kwa sababu 50 ni 1% ya 5m,
Sorry nilkuwa namaanisha 3kHiyo ni milioni 3 ndugu.
Mkuu nimekosea nilikuwa namaanisha 3k3000k ni seven figures hio 3M unapata ng'ombe km watano hivi walionona tayari kwa kuchinjwa
Daah puchu sitaki mkuuKaka endelea tu kupiga puchu
Nipeni machimboHuyu akanunue mbususu tu
Mkuu mimi huyu namuelewa sana kaomba 60k toka wiki iliyopita sijampaMkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi
Note:
Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.
Kuna jambo la muhimu na la maana ,Usipotoa hela kwenye jambo la muhimu kama sherehe haina shida ila la maana kama Afya unatakiwa uingie mfukoni kwa maana kutoa ni Moyo si utajiriWakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.
Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi
Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.
kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa
Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.
Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
True .. Ukiwa mtu mwenye mikono Mungu AnakubarikiWewe ubahili wako upo level ya uchoyo. Yan unajua amepata shida na bado ukashindwa kumsaidia.
Badilika bana kwanza ukiwa mtoaji baraka zinaongezeka .
Kumbe na wakinga ni pro max ya Ubahili mkuuKama sio mpare wewe basi ni mkinga
Pia tahadhari au dharura ni muhimuKuna ubahili wa kutokutowa pesa ovyo na wamalengo sasa kwa upande wako nakuona una bajeti nzuli. Anza sasa kuwa na bajeti
1/kazini
2/kanisani
3/family apa na vimada weka
4/hakiba
5/ malazi.
Mim nilikuwa nachangamoto kama Yako hila baada ya baba wa kiroho kunifundisha hiii binu now mamb Yako saw
Ewaaah asijekutaka kujilinganisha na mastaaa wakati yeye bado anajitafutaMkuu,
Huenda kipato chako bado hakikutoshi na hakiwezi kutosha ntu wa pili, huo sio ubahili. Ni uwezo mdogo tu, hivyo unajiuliza namna gani unaweza kutoa wakati wewe mwenyewe hujajipata.
Bahili ni yule anacho na kutoa hataki/hawezi kwa namna yoyote ile.
Jitathmini kwanza kama ni ubahili au uwezo mdogo. Ukipata jibu karibu chama cha mabahili Tanzania.