Baina ya hawa ni yupi mtu sahihi apewe wizara ya Nishati kuihudumu?

Kwanini kila siku wawe wao tu...? Wakati nchi ina watu zaidi ya million 60.
 
Kwani aliyepo anaondolewa😃😃

Usituoteshe ndoto za mchana hapa. Hivi unavyomuona mama ni wa kumuondoa Makamba. Amewasogeza wale nchi saiz wanajitafunia tu hakuna wa kuwakaripia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…