Timu msoga ndo chanzoKweli kabisa.
Napata ugumu sana kuelewa nia ya viongozi wetu utakuta mtu sahihi anaondolewa kwenye wizara analetwa mtu ambaye hawezi kumsaidia mwananchi wa kawaida.
Kalemani na Sospeter Mhongo walijitahidi kwenye wizara ya Nishati.
kila mtu na upendo wakePunguza utoto dogo
Hamna kitu huyo, hovyo kabisaKalemani, aliondolewa kwa chuki tu, ile kazi anaiweza.
kila mtu na upendo wake
Huyu sukuma gang hana anachojua. Akafie mbele hukoKalemani, aliondolewa kwa chuki tu, ile kazi anaiweza.
CA) Biteko,
B) Mbawala,
C) Kalemani?
Alipaweza snKalemani alikuwa anaenda vizuri, sijui kama walimtoa ili walete gharama ya laki 3 kuingiza umeme na waweke wapigaji wenzao. Ila mwamba alikuwa anaenda vizuri sana na hii wizara