Bajaj kuingia UBER ni maumivu matupu

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ndugu zangu Bajaj mmeingia cha kike kujidai wa kishua kujichanganya kwa mabepari UBER hela hiyo hiyo ununue Smartphone, bundle, powerbank, 25% ya UBER, airtime ya kumpigia abiria ukifika alipo, vibali, mafuta, service. *Akili ni nywele*
 
Makumbusho to Mlimani City = 2,000/= toa 25% ya uber unabaki na 1,500/= bado mafuta, bundle,airtime n.k
 
Kaingiza - 30,000
Uber(25%) - 7,500
Bakiwa - 22,500
Boss - 15,000
Bakiwa - 7,500
(assuming mafuta umeweka) kweli akili kunywele!.
Uber uingize 30,000/= kirahisi hivyo labda Mwenge- Mapinga Bagamoyo na kurudi.
 
Hapo bado UBER hawajaweka zile discounts zao safari ya 4,000/= mteja anapewa discount 1,500/= unabaki na 2,500/= then utoe makato yoote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…