Bajaj kuingia UBER ni maumivu matupu

Bajaj kuingia UBER ni maumivu matupu

Ndugu zangu Bajaj mmeingia cha kike kujidai wa kishua kujichanganya kwa mabepari UBER hela hiyo hiyo ununue Smartphone, bundle, powerbank, 25% ya UBER, airtime ya kumpigia abiria ukifika alipo, vibali, mafuta, service. *Akili ni nywele*
Una wivu wa kike mjomba. Wenzako wanapiga hela
 
Nliwahi kuishi bangarole, mpaka dereva wa auto (huku tunaziita bajaj) unamhurumia, mtu unatembea umbaliwa kama dar kibaha then unalipa 7000 tu.ambayo ni rupee 200-230
gharama ",za' maisha ya huko "zipoje". + bei ya bajaji ,,mafuta" na vipuli"" ??
 
Amieni mikoani....huku madereva bajaji ndo tunaongoza kwa kununua viwanja na kujenga nyumba siku hz mpka kula watoto
Hehehe hata mimi nitainunua bajaji mkuu, kumbe ina faida lukuki hivyo!
 
aiseee hahaaaa
Hapo kama boss anachukua 15,000 wengine wanataka 20,000/=.
Tufanye huyo dereva bajaj ya mkataba/mkopo ina maana aweke na hela ya service around 25,000/= per week 1 au week 2!.
 
Ndugu zangu Bajaj mmeingia cha kike kujidai wa kishua kujichanganya kwa mabepari UBER hela hiyo hiyo ununue Smartphone, bundle, powerbank, 25% ya UBER, airtime ya kumpigia abiria ukifika alipo, vibali, mafuta, service. *Akili ni nywele*
Kama unaogopa kutake risk katika biashara yako basi utaendelea kuwa bajaji milele wenzako wanakuwa na kuwa Brevis!
 
Kuna siku nlipanda ubber ikabidi ile buku jero ya chenji nmuachie
 
Hapo kama boss anachukua 15,000 wengine wanataka 20,000/=.
Tufanye huyo dereva bajaj ya mkataba/mkopo ina maana aweke na hela ya service around 25,000/= per week 1 au week 2!.
sasa " siatajipatia" stroke tu " maana mawazo'' atakayokuwa ''nayo " sio ya sayari hii" but ''usisahau ''kuwa baadhi ya vijana "wengi ''wa hili taifa" ni watu wanaoishi "bila ya kuwa ''na malengo+
"" so maybe wao wanaona hilo nisawa tu""
 
Nahisi kuna njia wanapata hela huko huko uber maana kila uchao bajaji mpya zinajiunga huko uber. Nilishangaa sana siku nimetoka sinza saa tatu usiku na uber poa hadi mbezi beach africana ikasoma elfu tatu. Dah nilimuonea yule jamaa huruma nikampa elfu tano nkamwambia nyingne ni yake sijui wanapataje hela kwakweli
 
Kama kutoka masaki hadi ubungo ni bure kisa bonus huyo dereva, tajiri, mafuta inakuwaje
IMG_3471.JPG

NB: hawa ni taxify same as uber
 
sasa " siatajipatia" stroke tu " maana mawazo'' atakayokuwa ''nayo " sio ya sayari hii" but ''usisahau ''kuwa baadhi ya vijana "wengi ''wa hili taifa" ni watu wanaoishi "bila ya kuwa ''na malengo+
"" so maybe wao wanaona hilo nisawa tu""
Hela ya kila siku haikosekani lakini hawana marengo wengi wao!.
 
Wadau nataka nidevelop our very own Tanzania Uber tushindane nao hawa majamaa kwa kupunguza commission cut kwa dereva. Mnashauri vipi wadau? Nijilipue?
 
Wadau nataka nidevelop our very own Tanzania Uber tushindane nao hawa majamaa kwa kupunguza commission cut kwa dereva. Mnashauri vipi wadau? Nijilipue?
Hutakuwa wa kwanza. Walishajaribu kina FastaFasta, msosi fasta wakaangukia pua. LaBda uanzishe Nyapu4sale App
 
Back
Top Bottom