Bajeti 2021/22: Kodi ya uzalendo ni kaa la moto. Kila laini ya simu itakatwa Sh. 100 kila siku

Bajeti 2021/22: Kodi ya uzalendo ni kaa la moto. Kila laini ya simu itakatwa Sh. 100 kila siku

Acheni kulalamika ovyo tutafute pesa tulipe kodi nchi ipate maendeleo wenzetu wana kodi mpaka 45% lakini wanalipa sisi Tsh 100 tena inaweza iwe Tsh20 watu mnashinda mnaliaaaaaa bas tumieni tu barua.
Hao wanao tuletea hizo kodi wao wanakatwa kodi pia au ni sisi walala hoi?
 
Wala kodi wanalipa hiyo percentage lakini sii u aona walivyo fanya nchini mwao...hela inatumika ipasavyo. Elimu bure mpaka chuo kikuu. Health care ya ukweli, barabara za ukweli.

Tatizo sio kulipa kodi tatizo hiyo hela inatumikaje
Mwambie mkuu hawa huwa hata hawaelewi wanachangia nn katika hoja zao. Wanatetea as if hawaishi Tanzania.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
kulingana na urahisishaji wa maisha unaofanywa na hizi simu TZS100 ITS NOT A BIG DEAL WATU WATALIPA MSIANZE KUWATISHA. TUMETOKA MBALI SANA NA HIZI SIMU. NCHI ZINGINE WANALIPISHA ZAIDI YA PALE. AAH WATU WATALIPA KAMA WANAWEZA KUSUBSCRIBE KWENYE HUDUMA ZA MIZIKI,SOKA NA NYINGINE NYINGI WATAWEZA KULIPA HIYO TZS100/DY USITIE SHAKA MTZ
Mawili kama hauna ndugu yako kiongozi basi ni mtumishi wa ofisi ya serikali. Nadhani hata hauelewi hoja yako imelalia wapi!

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa, tatizo linakuja kwa serikali kujenga ' confidence' Kwa walipa kodi kuwa na moyo wa kulipa zaidi, watakavyo ona matumizi mazuri/ faida zinazopatikana kutokana na kodi yao. Sio kuona matumizi mabovu na mengine yasio ya lazima kwa pesa zao... mfano wa kama hilo jengo la BOT lilifunguliwa lilijumuisha mpaka na 'Ghym ya mazoezi' sijui kwa wafanyakazi, ambao kiuhalisia kulingana na mishahara yao mizuri, bado walikuwa na uwezo wa kutumia Ghym nyingine tu za kawaida na pia kuongeza mapato sekta binafsi.... nafikiri project zetu kwa nchi maskini' zijikite zaidi kuhakikisha' Value for money' and not for ' prestige'....
Asante mkuu. Hawa nguruwe tunatakiwa kuwadhibiti.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wakubwa, kama wananchi tusipoamka kutoka kwenye usingizi huu wa pono watatutafuna mpk tufe.

Tufike mahala tuandamane tupinge na na tushushe mishahara yao toka 11m hadi laki 5 kwa mwezi. Halafu tuone kama kutakuwa na hizo nyinmbo zao za uzalendo.
Amina... Amina... Andaaaa petition mkuu ...

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.

Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.

Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.

Kwa kia siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.

Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.

Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.

Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.


Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.

Tuna mali chungu nzima:
  • Madini ya kila aina,
  • Gesi za kila aina, mpk Helium, .
  • Wanyama pori,
  • Mbuga za wanyama,
  • Misitu,
  • Bahari
  • Bandari,
  • Mafuta,
  • Makaa ya mawe,
  • Mlima mrefu kuliko yote Afrika

Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku?
Kwa hali hiyo; wengi tunarudi ujimani bila kutaka.
 
Mwambie mkuu hawa huwa hata hawaelewi wanachangia nn katika hoja zao. Wanatetea as if hawaishi Tanzania.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Huyu anataka kujilinganisha na nchi ambazo mtanzania wa kawaida angeweza omba akaishi tuu kwenye jela zao wapi na wapi.

Mwananchi wa kawaida vitu vinavyo muumiza kichwa ni tiba ada na ajira. Hivyo viwili vya kwanza tatizo lake kuu ni kwamba ni vinahitaji attention on the spot. Leo ukiumwa haina kungoja kesho wala mwakani. Mtoto anahitaji kwenda shule umri ukifika.

Sasa sie baadala ya kujenga hospital na shule za kuhakikisha huduma inatolewa tunaenda kujenga nyumba za nhc za million 200 na kuendelea. Ambayo impact yake ni ndogo sana kwa mwanamchi wa kawaida.

Mtu kama unalipwa million mshahara alafu kodi wasepe nayo laki tano provided nina uhakika mtoto wangu atasoma na kupata elimu nzuri na mie nikipata changamoto ya afya nitapata tiba mbona sitakuwa na kinyongo kulipa hiyo kodi.
 
Mama Yangu Kule Kijijini Ambaye Mwaka Mzima Hawezi Kuweka Voucher Itakuwa Vp
Wabunge Acheni Utani Tafuteni Vyanzo Vingine
 
Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.

Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.

Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.

Kwa kia siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.

Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.

Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.

Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.


Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.

Tuna mali chungu nzima:
  • Madini ya kila aina,
  • Gesi za kila aina, mpk Helium, .
  • Wanyama pori,
  • Mbuga za wanyama,
  • Misitu,
  • Bahari
  • Bandari,
  • Mafuta,
  • Makaa ya mawe,
  • Mlima mrefu kuliko yote Afrika

Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku?
Je kama suala ni ubunifu wa kodi ebu pia wajaribu kutoa sticker za kulipia taxi bubu zisizolipa kodi lakini zinaingiza pato kila siku. Walipie angalau 10000 kwa mwezi.
 
Mawili kama hauna ndugu yako kiongozi basi ni mtumishi wa ofisi ya serikali. Nadhani hata hauelewi hoja yako imelalia wapi!

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
umefeli hapo kwa kila kitu, mi sina ndugu kiongozi yeyote na wala si mtumishi wa ofisi yoyote wa serikali. but all in all hata kama nina ndugu ni kiongozi ananilipia kila kitu!????! mpaka airtime aniniwekea!???!! hata kama ni mtumishi wa ofisi ya serikali je wapo exempted kwenye hili???!!?? nikukumbushe tu wakati hayati magufuli anapandisha nauli ya kivuko cha kigamboni watu kama wewe mlipiga makelele sana wakati watz wenzenu kwingineko walishazoea kulipa kivuko kwa bei hiyo. jamaa akawachana hutaki kulipa 400 piga mbizi, mlipiga mbizi??!!?? leo mlishazoea na hamlali njaa!!!. kodi zinapandishwa kila mara mlishashindwa kuzilipa?!!!? shilingi mia inakufanya utoe povu wakati unapata taarifa nyingi in a flash???!!?? mama akiugua kijijini sio mtu apande basi au aendeshe baiskeli kukufuta mjini akupe taarifa ni mwendo wa kubonyeza button tu, vivyo hivyo ukitaka kumpa msaada mama wa vijisenti sio lazima upande basi bus kwenda namtumbo ni kubonyeza tu button!!!!, aaa we acha baana porojo zako twende kazi!!!
 
Me siipingi hii kodi kwa sababu tunachangia maendeleo ya nchi yetu. Kikubwa waangalie tu inalipwaje, isiwe inahesabika kama deni kwa kila siku. Bali ikatwe tu pale mtu anapoongeza salio basi.
 
Mambo mengine kabla atujafanya tuige kwa wenzetu kwa kutumia wataalamu waliyopata elimu ya kodi kutoka nchi za wenzetu.

I am all for taxation but not innovation za kijinga kama hizi ambazo no one in the world is applying.

Ukisoma JF jinsi wanavyopamba kodi za ulaya na walivyokuwa wanamponda Magufuli na TRA wakati wa zama zake utadhani jamaa alikuwa shetani.

Unabaki unajiuliza hivi hawa jamaa wanafahamu income tax za Europe nchi kama UK kama wewe ni accountant kuna tozo zingine ukiziona unaweza sema dah sasa huu uonevu. Kasheshe sasa hizo tozo za Scandavian countries wale majamaa ndio wanauwa.

Kodi watanzania bado kuzielewa na kuzikubali na hatuna wataalamu wa kutafuta vyanzo bila ya kuuwa biashara.
Hizo nchi wala usikompee na Sisi mapopompo.
Kodi wanazokatwa zinaonekana kwa macho zinaenda wapi.
Huduma kila sehemu tena za government ni top notch. I repeat top notch.
Ukiachishwa kazi unakua unalipwa na government. To name just a few.
Sisi sasa makapuku mamaaamake walahi. Kodi tunazokatwa nyingi ndio zinatumika kutukandamiza. Wapinzani wananunuliwa kwa Kodi zetu. Walio madarakani wanawajengea vimada wao kutumia Kodi zetu. .......
hakuna usawa kwenye kulipa Kodi. Ukijuana na watu serekalini hulipi Kodi baadhi. Unatoa rushwa familia za wapokea rushwa zikaishi better life than anyone. Kumbuka hii rushwa ni Kodi inapotea.
Wala wabongo hatuna habar na umuhim wa Kodi.
Kama ukistaafu tu mafao yako upiganie mpk damu je who cares about Kodi
Kwanza ukiwa na connection ndio unakacha Kodi big time.
please don't compare us na Scandinavia. Sisi tupo stone age na tumeridhika.
 
Acheni kulalamika ovyo tutafute pesa tulipe kodi nchi ipate maendeleo wenzetu wana kodi mpaka 45% lakini wanalipa sisi Tsh 100 tena inaweza iwe Tsh20 watu mnashinda mnaliaaaaaa bas tumieni tu barua.
Kuwa very honest! Hao wenzako ni kina Nani?Je, elimu, uwekezaji, ajira, vipato ni sawa na vya kwako???
 
Back
Top Bottom