Hao wanao tuletea hizo kodi wao wanakatwa kodi pia au ni sisi walala hoi?Acheni kulalamika ovyo tutafute pesa tulipe kodi nchi ipate maendeleo wenzetu wana kodi mpaka 45% lakini wanalipa sisi Tsh 100 tena inaweza iwe Tsh20 watu mnashinda mnaliaaaaaa bas tumieni tu barua.
Hakuna nilipofanya upotoshaji mkuu. Tozo ya laini ya simu itakuwa ni sh 100 kwa siku, siyo utakapoitumia.Nilichosema ni kuwa aache upotoshaji
Akikujibu unitag.Hao wanao tuletea hizo kodi wao wanakatwa kodi pia au ni sisi walala hoi?
Mwambie mkuu hawa huwa hata hawaelewi wanachangia nn katika hoja zao. Wanatetea as if hawaishi Tanzania.Wala kodi wanalipa hiyo percentage lakini sii u aona walivyo fanya nchini mwao...hela inatumika ipasavyo. Elimu bure mpaka chuo kikuu. Health care ya ukweli, barabara za ukweli.
Tatizo sio kulipa kodi tatizo hiyo hela inatumikaje
Mawili kama hauna ndugu yako kiongozi basi ni mtumishi wa ofisi ya serikali. Nadhani hata hauelewi hoja yako imelalia wapi!kulingana na urahisishaji wa maisha unaofanywa na hizi simu TZS100 ITS NOT A BIG DEAL WATU WATALIPA MSIANZE KUWATISHA. TUMETOKA MBALI SANA NA HIZI SIMU. NCHI ZINGINE WANALIPISHA ZAIDI YA PALE. AAH WATU WATALIPA KAMA WANAWEZA KUSUBSCRIBE KWENYE HUDUMA ZA MIZIKI,SOKA NA NYINGINE NYINGI WATAWEZA KULIPA HIYO TZS100/DY USITIE SHAKA MTZ
Nipe nafasi ya kampain manager. Nikutafutie kura.Subirini mi niingie ikulu!!nitashusha mishahara ya wabunge!kufikia robo ya wanaochukua sasa!!Hapo nita expose uzalendo wao!!!
Kabisa ndio shida ya viongozi wazee.Zungu amependekeza iyo Kodi,anajua ye Hana muda mrefu huenda sir God akamuitaji, kwaiyo Hana Cha kupoteza
Asante mkuu. Hawa nguruwe tunatakiwa kuwadhibiti.Kweli kabisa, tatizo linakuja kwa serikali kujenga ' confidence' Kwa walipa kodi kuwa na moyo wa kulipa zaidi, watakavyo ona matumizi mazuri/ faida zinazopatikana kutokana na kodi yao. Sio kuona matumizi mabovu na mengine yasio ya lazima kwa pesa zao... mfano wa kama hilo jengo la BOT lilifunguliwa lilijumuisha mpaka na 'Ghym ya mazoezi' sijui kwa wafanyakazi, ambao kiuhalisia kulingana na mishahara yao mizuri, bado walikuwa na uwezo wa kutumia Ghym nyingine tu za kawaida na pia kuongeza mapato sekta binafsi.... nafikiri project zetu kwa nchi maskini' zijikite zaidi kuhakikisha' Value for money' and not for ' prestige'....
Ushaambiwa ni kila siku.....Kuwa ukiweka vocha ndo wanapora hiyo 100?... Au hujaweka vocha wiki wanakata hiyo 700 baada ya kuweka ka buku?
Amina... Amina... Andaaaa petition mkuu ...Hawa wakubwa, kama wananchi tusipoamka kutoka kwenye usingizi huu wa pono watatutafuna mpk tufe.
Tufike mahala tuandamane tupinge na na tushushe mishahara yao toka 11m hadi laki 5 kwa mwezi. Halafu tuone kama kutakuwa na hizo nyinmbo zao za uzalendo.
Kwa hali hiyo; wengi tunarudi ujimani bila kutaka.Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.
Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.
Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.
Kwa kia siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.
Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.
Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.
Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.
Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.
Tuna mali chungu nzima:
- Madini ya kila aina,
- Gesi za kila aina, mpk Helium, .
- Wanyama pori,
- Mbuga za wanyama,
- Misitu,
- Bahari
- Bandari,
- Mafuta,
- Makaa ya mawe,
- Mlima mrefu kuliko yote Afrika
Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku?
Huyu anataka kujilinganisha na nchi ambazo mtanzania wa kawaida angeweza omba akaishi tuu kwenye jela zao wapi na wapi.Mwambie mkuu hawa huwa hata hawaelewi wanachangia nn katika hoja zao. Wanatetea as if hawaishi Tanzania.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Je kama suala ni ubunifu wa kodi ebu pia wajaribu kutoa sticker za kulipia taxi bubu zisizolipa kodi lakini zinaingiza pato kila siku. Walipie angalau 10000 kwa mwezi.Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.
Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.
Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.
Kwa kia siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.
Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.
Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.
Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.
Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.
Tuna mali chungu nzima:
- Madini ya kila aina,
- Gesi za kila aina, mpk Helium, .
- Wanyama pori,
- Mbuga za wanyama,
- Misitu,
- Bahari
- Bandari,
- Mafuta,
- Makaa ya mawe,
- Mlima mrefu kuliko yote Afrika
Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku?
umefeli hapo kwa kila kitu, mi sina ndugu kiongozi yeyote na wala si mtumishi wa ofisi yoyote wa serikali. but all in all hata kama nina ndugu ni kiongozi ananilipia kila kitu!????! mpaka airtime aniniwekea!???!! hata kama ni mtumishi wa ofisi ya serikali je wapo exempted kwenye hili???!!?? nikukumbushe tu wakati hayati magufuli anapandisha nauli ya kivuko cha kigamboni watu kama wewe mlipiga makelele sana wakati watz wenzenu kwingineko walishazoea kulipa kivuko kwa bei hiyo. jamaa akawachana hutaki kulipa 400 piga mbizi, mlipiga mbizi??!!?? leo mlishazoea na hamlali njaa!!!. kodi zinapandishwa kila mara mlishashindwa kuzilipa?!!!? shilingi mia inakufanya utoe povu wakati unapata taarifa nyingi in a flash???!!?? mama akiugua kijijini sio mtu apande basi au aendeshe baiskeli kukufuta mjini akupe taarifa ni mwendo wa kubonyeza button tu, vivyo hivyo ukitaka kumpa msaada mama wa vijisenti sio lazima upande basi bus kwenda namtumbo ni kubonyeza tu button!!!!, aaa we acha baana porojo zako twende kazi!!!Mawili kama hauna ndugu yako kiongozi basi ni mtumishi wa ofisi ya serikali. Nadhani hata hauelewi hoja yako imelalia wapi!
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hizo nchi wala usikompee na Sisi mapopompo.Mambo mengine kabla atujafanya tuige kwa wenzetu kwa kutumia wataalamu waliyopata elimu ya kodi kutoka nchi za wenzetu.
I am all for taxation but not innovation za kijinga kama hizi ambazo no one in the world is applying.
Ukisoma JF jinsi wanavyopamba kodi za ulaya na walivyokuwa wanamponda Magufuli na TRA wakati wa zama zake utadhani jamaa alikuwa shetani.
Unabaki unajiuliza hivi hawa jamaa wanafahamu income tax za Europe nchi kama UK kama wewe ni accountant kuna tozo zingine ukiziona unaweza sema dah sasa huu uonevu. Kasheshe sasa hizo tozo za Scandavian countries wale majamaa ndio wanauwa.
Kodi watanzania bado kuzielewa na kuzikubali na hatuna wataalamu wa kutafuta vyanzo bila ya kuuwa biashara.
Kuwa very honest! Hao wenzako ni kina Nani?Je, elimu, uwekezaji, ajira, vipato ni sawa na vya kwako???Acheni kulalamika ovyo tutafute pesa tulipe kodi nchi ipate maendeleo wenzetu wana kodi mpaka 45% lakini wanalipa sisi Tsh 100 tena inaweza iwe Tsh20 watu mnashinda mnaliaaaaaa bas tumieni tu barua.