Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

Bali wanaopaswa kulipa ni wenye nyumba si wapangaji , tafuteni namna ya kuwaengua wapangaji
 
Serikali imeludisha kodi ya kichwa,
 
Una nyumba!?? Tuanzie hapo kwanza!!
nina nyumba 5 , 2 Kyela , 3 Dsm , kati ya hizo 1 ya Kyela na 1 ya Tandika naishi mwenyewe , sasa hizi 3 kwanini wapangaji wangu wakatwe kodi ya jengo ?
 
Inapaswa kulipwa na nani?We si ndo unakaa kwenye nyumba?
 
Vipi kuhusu wale wanaoishi nyumba za serikali kama polisi, wanajeshi, Marc, Ras, mawaziri na makatibu wakuu wa wizara watakuwa wanalipia Kodi ya nyumba za serikali kupitia luku? Au Sheria hiyo imewabaguaje? Je, mashule, hospitali na ofisi za umma zinazonunua umeme wa luku nao watachangia Kodi za majengo ya umma wanunuapo luku?
Aliyelielewa hili anifafanulie tafadhali kwani sijabahatika kuisikia hotuba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…