babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Waziri wa Fedha, anatafuta kiki ya uwaziri mkuu 2025.Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizurI...
Bali wanaopaswa kulipa ni wenye nyumba si wapangaji , tafuteni namna ya kuwaengua wapangajiBajeti iko poa sana. Vitu vingi vimeshuka kodi au kusamehewa kabisa. Ilikuwa ngumu na gharama kubwa kukusanya kodi za majengo (TRA WANAJUA HILO) Mtu atoke sinza aende KINONDONI KULIPA ELFU KUMI AU 50000 KWA MWAKA? bora waingize huko ambapo hakutakuwa na ukwepaji wa hiyo KODI.
TUWE WAZALENDO, SISI KILA KITU TUNALALAMIKA KAMA WAPUMBAVU HIVI.
Kama Kodi ya majengo inakatwa kwenye LUKU je ambao wana majengo lakini hawatumii umeme watakatwaje ?Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri...
Hii nayo ni hoja ya msingi sanaKama Kodi ya majengo inakatwa kwenye LUKU je ambao wana majengo lakini hawatumii umeme watakatwaje ?
jibu hoja bhana , hatuwezi kukubali kila uozo kibwegeKila kitu lazima upinge
Serikali imeludisha kodi ya kichwa,Yaani naona kabisa bajeti alizo kuja nazo ni mzigo kwa wanachi kuanzia Hili LA kodi ya jengo ukija LA. Laini za simu unaona kabisa huyu ni mzigo kwa watanzania ambao ni walala hoi.
Jiulize mtu amesaidiwa umeme wa LEA na wajukuu huko kijijini Leo unampa mzigo wa kulipi nyumba ambayo hata hadhi ya kuwekewa umeme ilikuwa haina.
Mungu atupe uvumilivu na hili maana naona mpango alifanya vitu ambayo vilikuwa haviendani na watanzania ila huyu kafanya ambavyo havipo kabisa Tanzania.
nina nyumba 5 , 2 Kyela , 3 Dsm , kati ya hizo 1 ya Kyela na 1 ya Tandika naishi mwenyewe , sasa hizi 3 kwanini wapangaji wangu wakatwe kodi ya jengo ?Una nyumba!?? Tuanzie hapo kwanza!!
Jikite kwenye hojaWewe unakaa kwa shemeji, hataa umeme tu hujawahi kulipa
Umehama kwa shemeji?jibu hoja bhana , hatuwezi kukubali kila uozo kibwege
Mkuu hoja yako ni ya msingi kabisa, nimekuunga mkono kwa hili.jibu hoja bhana , hatuwezi kukubali kila uozo kibwege
Inapaswa kulipwa na nani?We si ndo unakaa kwenye nyumba?Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Mama oyeeee, na wewe kademkie chato kwenye kaburi la dhalimu nduliSi mnademka humu kushangilia?
Lipeni kodi,!
Hata hivyo hiyo kodi inawakomoa mataga pekee, bavicha wao wako na mama