Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

Hili ni tatizo, hapa mjini unakuta plot moja ya 20*30 in nyumba tano kila moja ina mita ya umeme, labda tatu kasajili kwa jina lake, moja la jina la mtoto, nyingine jina la mtoto mwingine. Hio Kodi ya jengo inakatwaje kwenye mazingira kama haya?
Sawa tu, madhali fedha iyo inaenda kutumika kwajili ya kununua madawa hospitalini na kuboresha miundombinu ya barabara, serikali mnataka ifanyaje nyie mijitu ya kulaumu kila kituuu?? Mi leo nimetoka kulipia kuunganishiwa umeme kwa bei mpya ya 27000/= kutoka 321000 , Sasa na ilo mbona hamlaumu???
 
Ivi nyie watu mnatakaje kwani???
Mnalalama madawa hospital hamna, mara maiti zetu zinalipishwa hela kibao, serikali inafanya ubunifu katika ukusanyaji wa Kodi ili mwisho wa maiti za wajomba zenu zisizuiliwe uko mahospitalini, na madawa yawe ya kutosha, Bado tu mnaleta ujuaji mwingiiii
Mkuu kualalamika ni moja ya kutokubaliana na mambo yanavyo enda

Ubunifu lazima uendane na maisha halisi ya watu

Kwani hakuna vyanzo vingne vya mapato mpaka mwananchi akamuliwe kila mahali
 
Mkuu kualalamika ni moja ya kutokubaliana na mambo yanavyo enda

Ubunifu lazima uendane na maisha halisi ya watu

Kwani hakuna vyanzo vingne vya mapato mpaka mwananchi akamuliwe kila mahali
Kwaiyo we unataka usilipie Kodi ya jengo???Kuna mtu iyo efu kumi ikifika mwaka kuilipa Ni tabu, lakini kwa mtindo huu kila mtu atalipa Tena kidogokidogo, jamani bila Kodi hakuna maendeleo, vikodi Kama ivi vidogo vidogo tulipe tu, cha msingi kuwe na usimamizi mzuri wa Kodi zetu
 
Kwaiyo we unataka usilipie Kodi ya jengo???Kuna mtu iyo efu kumi ikifika mwaka kuilipa Ni tabu, lakini kwa mtindo huu kila mtu atalipa Tena kidogokidogo, jamani bila Kodi hakuna maendeleo, vikodi Kama ivi vidogo vidogo tulipe tu, cha msingi kuwe na usimamizi mzuri wa Kodi zetu
Basi ieleweke uluvyo tamani wewe
 
Sawa tu, madhali fedha iyo inaenda kutumika kwajili ya kununua madawa hospitalini na kuboresha miundombinu ya barabara, serikali mnataka ifanyaje nyie mijitu ya kulaumu kila kituuu?? Mi leo nimetoka kulipia kuunganishiwa umeme kwa bei mpya ya 27000/= kutoka 321000 , Sasa na ilo mbona hamlaumu???
Soma uelewe
 
Dhuluma ni dhambi , kwanini walipe wao wakati nyumba ni yangu ?
Mtakuwa mnakatana wakati wa kulipa kodi ya nyumba,ni rahisi sana yaani rahisi sana, kodi kwa mwezi 40,000 kwa miezi 6 = 240,000 toa kodi ya nyumba ya kipindi hicho 5000 unampa zake 235,000 mnaachana kiroho safi mnakwama wapi ndugu zangu?
 
Let's say kodi ya jengo ni 10,000/= kwahio ni around 833 /= kwa mwezi (itakuwa bora ipigwe kwa mwezi since mtu anaweza kuhama wakati wowote)... hivyo basi kama kuna wapangaji kumi hio ni around 83.3/= inaweza ikaongeleka baina ya mpangaji na mwenye nyumba ikafanyika hio deduction kwenye rent.

Pia lazima ujue Serikali hizi za Bin Adamu lengo lao ni kukusanya tu na wamekusanyaje hayo ni matokeo... (binafsi naona kwenye mafuta, vocha na miamala ndio wamefanya madudu).
Hata Hii kodi umesikia wapi ikikuswa kwa mtindo huu?
 
Hata Hii kodi umesikia wapi ikikuswa kwa mtindo huu?
Mwisho wa siku ni ufanisi katika ukusanyaji katika sehemu husika...., hata kama haijawahi kutokea inapotekea hatujiulizi imetokea wapi bali kama ina ufanisi
 
Lakini gharama za jengo anayetakiwa kulipa so ni yule anayeishi hapo/anayelitumia?

Maana hata kama akilipa mmiliii, bado atataka ku recover hiyo gharama kutoka kwa wapangaji (kwa kupandisha rent?).
 
Kodi kisheria inatakiwa kulipwa na anayefaidika siyo dalali
Nyumba nyingi ni wapangaji wanaishi
Hiyo kodi itakuwa inalipwa na wapangaji mwenyenyumba hapati maumivu
Ukifatilia maandamano ya Honkong utagundua wale jamaa wana akili sana Serekali viongozi Nchi nyingi wanatabia ya kuamzisha jambo kupima upepo na IQ za watu wanaowaongoza kwanfano hizi kodi za kuweka kwenye mafuta kila ukininua mafuta unalipia kitu Fulani walifanya majalibio yakafanyikiwa juzi tu waliweka kodi ya road license ikapita watu wakachukulia poa hata ukinunua mafuta kwajili ya Generator au boat za uvuvi unalipia road license wakaona njia za kumkata mtu kodi kwalazima kupitia manunuzi inalipika bilakujali unayemkata kama ni muhusika au laa ndio maana Honkong wanazingua sana na Serekali ili wasije kuzoe njia za shotkat
 
Kodi kisheria inatakiwa kulipwa na anayefaidika siyo dalali
Nyumba nyingi ni wapangaji wanaishi
Hiyo kodi itakuwa inalipwa na wapangaji mwenyenyumba hapati maumivu
Kwa hiyo mpangaji ni Dalali.
Regulation za rent zitajiset automatically accordingly to economy....
Luku moja ni nyumba moja by approximate.
EXELLENT IDEA...!
 
Back
Top Bottom