BAJETI: DStv yaunga mkono TOZO ya king'amuzi. Yataka 'Free chanels' zisiwepo ili Serikali ikusanye zaidi

BAJETI: DStv yaunga mkono TOZO ya king'amuzi. Yataka 'Free chanels' zisiwepo ili Serikali ikusanye zaidi

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Jana kwenye bajeti iliyopendekezwa na Serikali, wamependekeza tozo ya shilingi 1000-3000 kwenye ving'amuzi kulingana na kifurushi mtu ananunua. Serikali tayari inakusanya kodi kwenye haya makampuni na pia inakusanya VAT kila mteja anaponunua king'amuzi au kifurushi, kumuongezea tozo itakuwa kumfanyia 'double taxation'.

Pia si afya Serikali kuamini tozo kutimiza majukumu yake, inamuumiza mwananchi lakini zinadumaza sekta na matumizi ya teknolojia.


Tozo ving'amuzi.jpg

KICHEKESHO
Mkurugenzi wa DStv anaishauri Serikali hadharani jinsi ya kuwaumiza wateja, labda wanaona wanapitwa na wanaoachia free chanels lakini ile ni biashara na kila mtu ana namna yake ya kuendesha biashara yake.

Kuzisabotage kampuni nyingine zifanye kama wao kukata free chanels kifurushi kinapoisha haijakaa njema. Kama wao wameshindwa waache wanaoweza.

Kwa Serikali kufanya hivi watajichonganisha na wananchi, lipo kundi kubwa haliwezi kulipa na ving'amuzi vitakuwa mapambo na biashara ya wateja wapya itashuka.

 
Jana kwenye bajeti iliyopendekezwa na Serikali, wamependekeza tozo ya shilingi 1000-3000 kwenye ving'amuzi kulingana na kifurushi mtu ananunua. Serikali tayari inakusanya kodi kwenye haya makampuni na pia inakusanya VAT kila mteja anaponunua king'amuzi au kifurushi, kumuongezea tozo itakuwa kumfanyia 'double taxation'.

Pia si afya Serikali kuamini tozo kutimiza majukumu yake, inamuumiza mwananchi lakini zinadumaza sekta na matumizi ya teknolojia.



KICHEKESHO
Mkurugenzi wa DStv anaishauri Serikali hadharani jinsi ya kuwaumiza wateja, labda wanaona wanapitwa na wanaoachia free chanels lakini ile ni biashara na kila mtu ana namna yake ya kuendesha biashara yake.

Kuzisabotage kampuni nyingine zifanye kama wao kukata free chanels kifurushi kinapoisha haijakaa njema. Kama wao wameshindwa waache wanaoweza.

Kwa Serikali kufanya hivi watajichonganisha na wananchi, lipo kundi kubwa haliwezi kulipa na ving'amuzi vitakuwa mapambo na biashara ya wateja wapya itashuka.

Channel ya Bure DSTV ni TBC pekee, nani ailipie sasa iyo.
 
Angalau katoa maoni yake kwa uhuru na bila Shaka yupo salama.

Enzi za giza muda huu alikuwa ameshanyakuliwa na kupelekwa pasipo fahamika.
Enzi za Giza hazijaisha.

Uhuru wa maoni uko wapi, mbona alipotezwa na WASIOJULIKANA, amekuja patikana kavunjwa mguu.

Kafukuzwaje chama kama upo uhuru wa maoni?

Nyumbu akikaririshwa njia ni hii, hakwepeshi hata kama ANAONA SHIMO.
 
J
Jana kwenye bajeti iliyopendekezwa na Serikali, wamependekeza tozo ya shilingi 1000-3000 kwenye ving'amuzi kulingana na kifurushi mtu ananunua. Serikali tayari inakusanya kodi kwenye haya makampuni na pia inakusanya VAT kila mteja anaponunua king'amuzi au kifurushi, kumuongezea tozo itakuwa kumfanyia 'double taxation'.

Pia si afya Serikali kuamini tozo kutimiza majukumu yake, inamuumiza mwananchi lakini zinadumaza sekta na matumizi ya teknolojia.



KICHEKESHO
Mkurugenzi wa DStv anaishauri Serikali hadharani jinsi ya kuwaumiza wateja, labda wanaona wanapitwa na wanaoachia free chanels lakini ile ni biashara na kila mtu ana namna yake ya kuendesha biashara yake.

Kuzisabotage kampuni nyingine zifanye kama wao kukata free chanels kifurushi kinapoisha haijakaa njema. Kama wao wameshindwa waache wanaoweza.

Kwa Serikali kufanya hivi watajichonganisha na wananchi, lipo kundi kubwa haliwezi kulipa na ving'amuzi vitakuwa mapambo na biashara ya wateja wapya itashuka.

Jamaa wanachojua ni kukamua walalahoi pekee
 
Angalau katoa maoni yake kwa uhuru na bila Shaka yupo salama.

Enzi za giza muda huu alikuwa ameshanyakuliwa na kupelekwa pasipo fahamika.
Kwani mzee Baraka Shamte yuko wapi baada ya kutoa maoni yake juzi, Ndugai yuko wapi baada ya kutoa maoni.
Vipi waziri wa NONSENSE aliyetukanwa baadaya ya kusimamia sheria.
Vipi wale madiwani tisa wa Loliondo wamepatikana.
Haaa nikupe maajabu mengine kwenye vita wa MKUKI anaua mwenye BUNDUKI mwenye BUNDUKI anaishia kumjeruhi mwenye mkuki.
Chawa upo hapo? tuiombe serikali inunue MIKUKI iachane na BUNDUKI maana MIKUKI imekuwa bora zaidi katika MEDANI
 
Enzi za Giza hazijaisha.

Uhuru wa maoni uko wapi, mbona alipotezwa na WASIOJULIKANA, amekuja patikana kavunjwa mguu.

Kafukuzwaje chama kama upo uhuru wa maoni?

Nyumbu akikaririshwa njia ni hii, hakwepeshi hata kama ANAONA SHIMO.
Bado watu wanatekwa vizuri sana.
 
Kwani mzee Baraka Shamte yuko wapi baada ya kutoa maoni yake juzi, Ndugai yuko wapi baadaya kutoa maoni.
Vipi waziri wa NONSENSE aliyetukanwa baadaya ya kusimamia sheria.
Vipi wale madiwani tisa wa Loliondo wamepatikan.
Haaa nikupe maajabu mengine kwenye vita wa MKUKI anaua mwenye BUNDUKI mwenye BUNDUKI anaishia kumjeruhi mwenye mkuki.
Chawa upo hapo? tuiombe serikali inunue MIKUKI iachane na BUNDUKI maana MIKUKI imekuwa bora zaidi katika MEDANI
Jamaa bado wanateka vizuri sn
 
Angalau katoa maoni yake kwa uhuru na bila Shaka yupo salama.

Enzi za giza muda huu alikuwa ameshanyakuliwa na kupelekwa pasipo fahamika.
Ni ujinga kuutumia uhuru vibaya.
Sasa akishauri muuawe uhuru wake wa mawazo una tija gani?
Serkali ione namna ya kupata pesa sio double taxation kwa watu wa kawaida na kuacha wenye mitaji mikubwa wakila kwa mirija.
Kuna haja gani ya matumizi yasio lazima ya serkali ya matumizi mabaya ya V8 na safari zisizo na maana kila siku nje ya nchi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Sawa tuu madam wameshusha kwenye miamala 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220615-092355.png
    Screenshot_20220615-092355.png
    95.2 KB · Views: 10
Back
Top Bottom