Bajeti iliyojenga Uwanja wa Chato, ilipangwa kujenga Uwanja wa Omkajunguti Mkoani Kagera

Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Tatizo ni uwanja au hitilafu kwenye ndege?,kisha rubani kaona badala ya kuitamiza nchi kavu akaona ni bora ajaribu kwenye maji kuondoa mshinDo,

Nafikiri mleta uzi busara imekwisha kichwani mwako umabakiza hira,wivu,na uchawi ,majungu, fitina,dhidi ya marehemu baada ya kutemeshwa job kwa vyeti fake,wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Kwamba Chato haitakiwi kuwa na uwanja wa ndega?

Shame on you.. uokoaji sifuri afu mnasingizia ujenzi wa uwanja .
 
Hata mazingira ya uwanja yalichangia poor landing
 
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Mnapambana na marehemu na bado kawashinda.

Uzembe wenu mnautafutia kiki.
 
Mimi naona wewe ndio takataka kabisa,uwanja wa cuato ulikuwa kwenye bajeti gani?
 
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
😂😂Mambo ya legacy hayo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221113-082113.png
    131.5 KB · Views: 4
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Kwahiyo ungejengwa huo uwanja, hichi kiwanja cha ndege ilipo dondika precision kingekua soko?

Irresponsibility inataka iwalevye mtuambukize na sisi si ndio?

Take accountability for this mistake first then anza kutafuta wa kumtupia lawama.
 
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Takataka!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…