Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Akilizako nisawasawa na huyo mleta Uzi.Legasi oyeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akilizako nisawasawa na huyo mleta Uzi.Legasi oyeee
Mleta Uzi anakosa gani pale? Au hujui ulikuwepo mpango wa nchi kujenga uwanjani Omukajunguti mwendazake aka akasimamisha?Akilizako nisawasawa na huyo mleta Uzi.
Hivi matokeo ya uchunguzi yameshatolewa na kubainika kuwa ndege ilikuwa na hitilafu?Tatizo ni uwanja au hitilafu kwenye ndege?,kisha rubani kaona badala ya kuitamiza nchi kavu akaona ni bora ajaribu kwenye maji kuondoa mshinDo,
Nafikiri mleta uzi busara imekwisha kichwani mwako umabakiza hira,wivu,na uchawi ,majungu, fitina,dhidi ya marehemu baada ya kutemeshwa job kwa vyeti fake,wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Unajengwa ulipokusudiwa sio kama ile ngoma ya chichachatoTusimseme Marehemu tu, hata huyu naye kakopa kujenga uwanja kule kwao, mkopo utalipwa na tz
Akili yako ya mende anakula kabatini halafu analala kwenye mtaro wa choo au septic tank, haiwezi kuelewa mantiki ya thread hii. Nenda chit chat na celebrities forum ndiyo saizi yakoKwahiyo ungejengwa huo uwanja, hichi kiwanja cha ndege ilipo dondika precision kingekua soko?
Irresponsibility inataka iwalevye mtuambukize na sisi si ndio?
Take accountability for this mistake first then anza kutafuta wa kumtupia lawama.
Usifurahie utahira utakua tahiraLegasi oyeee
Hayo mazingira ya uwanja umesababisha ajali ngap mpaka muda huu.?Hata mazingira ya uwanja yalichangia poor landing
Hujui lolote weweKwahiyo mlitaka muwe na viwanja vya ndege viwili? Kwa uchumi upi wa Kagera? Huu uliopo upo underutilized!
Nshomire mtaendelea kuwa wapumbavu mpaka lini? Kuna kitu gani cha maana Kagera mjengewe viwanja viwili na si sehemu kama Kigoma?Hujui lolote wewe
Ndomaana nimekwambia hujui lolote,uho uwanjani ni plan ya East Africa maana ukijengwa faida kubwa tunapataNshomire mtaendelea kuwa wapumbavu mpaka lini? Kuna kitu gani cha maana Kagera mjengewe viwanja viwili na si sehemu kama Kigoma?
Wewe, hata mimi matusi nayajua tena kuliko unavyodhani maana ntaanza na aliekufanya ukaleta huo ubongo wako duniani ntamalizia na ukoo wako.Akili yako ya mende anakula kabatini halafu analala kwenye mtaro wa choo au septic tank, haiwezi kuelewa mantiki ya thread hii. Nenda chit chat na celebrities forum ndiyo saizi yako
Hebu leta vielelezo hivyo kwamba ni plan ya East Africa na si wale Nshomire wa TAA? Uwanja wa Bukoba haujaweza kuwa na daily direct flights toka Dar mwaka wa tisa sasa, flights zake zinaunganishwa na za Mwanza, yet Nshomire anataka Omkajunguti international airport! Fool wacha ujinga!Ndomaana nimekwambia hujui lolote,uho uwanjani ni plan ya East Africa maana ukijengwa faida kubwa tunapata
Uwanja ule ni shida ni mfupi,Pia ukichanganya hali ya hewa haswa ngurumo,radi,upepo mkali,mvua kubwa.Hata mazingira ya uwanja yalichangia poor landing
Hujui lolote kuhusu Ili piga kimyaHebu leta vielelezo hivyo kwamba ni plan ya East Africa na si wale Nshomire wa TAA? Uwanja wa Bukoba haujaweza kuwa na daily direct flights toka Dar mwaka wa tisa sasa, flights zake zinaunganishwa na za Mwanza, yet Nshomire anataka Omkajunguti international airport! Fool wacha ujinga!