Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Tujiepushe na watu wanaopenda kukaa vijiwe vya kahawaAthari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.