Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Mpaka kieleweke naomba sana kujua majina ya walio beza upinzani tupate kuyapitia tena upya mkuu jitahidi utuwekee hapa .Kesho wanatoa vitabu vipia wameviandaa lini ?
Huyu Mkulo kweli kituko hii chini hapa kali ya mwaka!
waziri wa fedha muda mfupi uliopita amekubaliana na hoja ya Dr,slaa na wabunge wa upinzani kuwa ni kweli vitabu alivyowasilisha vya mapato vimekosewa na hivyo watawasilisha vitabu vingine.
Kwa mujibu wa taarifa zake ni kuwa amewapongeza wabunge wa upinzani kwa kuwa watu makini na wanaosoma na hivyo kuweza kuiamsha serikali.
waziri wa fedha muda mfupi uliopita amekubaliana na hoja ya Dr,slaa na wabunge wa upinzani kuwa ni kweli vitabu alivyowasilisha vya mapato vimekosewa na hivyo watawasilisha vitabu vingine.
Kwa mujibu wa taarifa zake ni kuwa amewapongeza wabunge wa upinzani kwa kuwa watu makini na wanaosoma na hivyo kuweza kuiamsha serikali.
Maswali ya kujiuliza:
-Kwanini serikali haikuweka toka mwanzo addendum kuonyesha hayo marekebisho? (Inaelekea hawakuwa wanajua mpaka wapinzani waliposema).
...... ujumbe huu una ashiria nini kwa wabunge wa CCM?
wabunge wa ccm hawawezi kumkosoa waziri wao,wao wanapoona kasoro ni lazima waipeleke kwenye chama, kwa hiyo tusiwaseme sana sio kosalao ila ni nidhamu ya chama
Aje na vitabu vingine na maelezo ya kutosha,kwa nini alikuja kusimama na kusoma bajeti iliyokua na makosa makubwa kiasi hicho? Ni kwa nini asiwajibishwe kwa hilo?