Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Aluta continua ,mpaka kieleweke .
Hii nchi haiwezi kuendelea kama uongozi wenyewe ndio huu uliopo kwa sasa .
Kuna haja ya kuliombea taifa kwani mambo haya ni ya ajabu kabisa sijui ni wapi iliwahi kutokea kitu kama hii hapa duniani.
Kama ni hivyo basi kuna haja ya kusoma kwa kina taarifa zote za serikali na kuna madudu mengi sana .
Hii nchi haiwezi kuendelea kama uongozi wenyewe ndio huu uliopo kwa sasa .
Kuna haja ya kuliombea taifa kwani mambo haya ni ya ajabu kabisa sijui ni wapi iliwahi kutokea kitu kama hii hapa duniani.
Kama ni hivyo basi kuna haja ya kusoma kwa kina taarifa zote za serikali na kuna madudu mengi sana .