Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Budget speech-English Version
View attachment speech200809.pdf
View attachment speech200809.pdf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Wameongezewa bajeti zaidi ili wa endeleze ile kazi yao ya kuwaua watu makusudi, kama washitakiwa hawa wanavyo elezwa!
Washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa Januari 14 mwaka juzi, katika msitu wa Pande Luisi, Mbezi, Dar es Salaam walimuua kwa makusudi Bw. Ephraim Chigumbi, Bw. Sabinus Chigumbi, Bw. Juma Ndugu na Bw. Mathias Lukombe.
Washitakiwa hao ni Bw. Zombe, Bw. Bageni, Bw. Ahmed Makele, F5912 Noel Leonard, WP4513 Jane Andrew, D6440 Nyangerella Moris, D1406 Mabula, E6712 Felix, D8289 Michael, D2300 Abeneth, B1321 Rashid Lema, D4656 Rajab Bakari na D1367 Festus Gwabisabi.
Nahiyo ndiyo kazi ya usalama wa taifa, bajeti lazima iongezwe