Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Siyo jambo la kufurahia.hii inamaanisha walalahoi wajiandae kukamuliwa kama ng'ombe.hakuna biashara itakayoachwa salama .mama nitilie,machinga,boda nk wote itawapasa kulipa kodi ili malengo yatimie
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Ongezeko linguine, sio ongezeko uhalisia Bali kunatikana na kushuka Kwa thamani Kwa pesa yetu na mapato ya ziada ya Kodi ya malengo kupitia umeme, na uzalishaji wa mgodi wa JNHEP
 
Ongezeko linguine, sio ongezeko uhalisia Bali kunatikana na kushuka Kwa thamani Kwa pesa yetu na mapato ya ziada ya Kodi ya malengo kupitia umeme, na uzalishaji wa mgodi wa JNHEP
Hapa thamani ya Shilingi imepingua? 😄😄😄😄👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DB1uxVVJEGk/?igsh=czU0NWNpazFpMXJz

Thamani ya Shilingi ikishuka inazuia miradi kutekelezwa? Haters mnatapagapa sana ,Kwa Samia mtaumbuka sana mwaka huu 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBwFl-ToiRV/?igsh=cmFpMnd5aTBiY2do
 
According to your wishes. Ungekuwa unajua dy/dx usingeandika hivyo. Mwigulu ni mchumi nguli mpaka maprof wa uchumi wanamuogopa. Si unaona tangu ateuliwe kuwa waziri wa uchumi mpaka lipumba kaufyata
Daaah... Jamaa kanijineemesha sana kwa sasa hadi watoto wake wamekuwa kama mandondocha!
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8


Kwa makusanyo yapi😂 . Hizi budget ni ujinga jinga tu na uchawa pesa zitakazo toka hazitazidi 30% kama kawaida yao. Na mikataba ya sirisiri
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8


Kwa makusanyo yapi😂 . Hizi budget ni ujinga jinga tu na uchawa pesa zitakazo toka hazitazidi 30% kama kawaida yao. Na mikataba ya sirisiri
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8


Kwa makusanyo yapi😂 . Hizi budget ni ujinga jinga tu na uchawa pesa zitakazo toka hazitazidi 30% kama kawaida yao. Na mikataba ya sirisiri

Mna copy na paste uongo uongo kama watoto. Tafuta budget waliotoa 80% ya budget kwa miaka 5 iliyopita
 
Back
Top Bottom