Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

hiyo ni wish tu. Kimsingi na kwa uhalisia bajeti yetu kwa vyanzo tulivyo navyo kwa sasa haitakiwili izdi Tri. 25. Huko kwingine kote ni siasa za kupata kura maana hata bajeti zilizopita hatujawahi kuvuka nusu ya bajeti ktk makusanyo.
Pole sana Tanzania’s next budget to rise to about $20 billion
Screenshot_20241116-122014.jpg
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Hakuna mikopo kwenye hiyo budget???
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Wakati huo huo Kenya wanatarajia kutumia Trilioni 86 mwaka 2025/26, tofauti ya Shilingi Trilioni 11 na Tanzania.

View: https://x.com/ReutersAfrica/status/1889414142454309329?t=grlPP_iJ8l3Qq2f0siCOTw&s=19

Zanzibar nayo inatarajia kuwa na ongezeko kubwa la Bajeti Kwa 31% 👇👇

View: https://x.com/dailynewstz/status/1894986187296907389?t=y9zBu0ytTvOj6F2BSoTA4g&s=19
 
Budget ya mwaka huu itajaa ajira za polisi, magari , mabomu na risasi za polisi badala ya ajira za afya ya elimu
 
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.

Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.

Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.

Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu

Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani

Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.

2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 5 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa ya Trilioni 50.2

3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.

Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8

Wakati huo huo Kenya wanatarajia kutumia Trilioni 86 mwaka 2025/26, tofauti ya Shilingi Trilioni 11 na Tanzania.

View: https://x.com/ReutersAfrica/status/1889414142454309329?t=grlPP_iJ8l3Qq2f0siCOTw&s=19

Bajeti hewa.
 
Sijui uchumi,ila tunaangalia kiasi cha utegemezi kujua kujua au kusinyaa kwa uchumi.,utegemezi umepingua kwa asilimia ngapi ukilinganisha na awamu uliyolinganisha?
 
Back
Top Bottom