Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Kuna takwimu na uhalisiaMapato Juu ya Mapato, rekodi Juu ya rekodi Kwa Halmashauri View attachment 3141327View attachment 3141328View attachment 3141329View attachment 3141331View attachment 3141332
Siyo jambo la kufurahia.hii inamaanisha walalahoi wajiandae kukamuliwa kama ng'ombe.hakuna biashara itakayoachwa salama .mama nitilie,machinga,boda nk wote itawapasa kulipa kodi ili malengo yatimieWaziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.
Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.
Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.
Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu
Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani
Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==
My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.
2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.
Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.
Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8
Mwaka huu tumevunja rekodi ya uzalishaji na mauzo ya korosho.Hayo madeni unadhani wakuyapunguza ni wanaopanga au wanaopangiwa
Unadhnai huo sio uhalisia? Hicho kilichoelezwa ndio uhalisia na kinatokea huko ππKuna takwimu na uhalisia
Ongezeko linguine, sio ongezeko uhalisia Bali kunatikana na kushuka Kwa thamani Kwa pesa yetu na mapato ya ziada ya Kodi ya malengo kupitia umeme, na uzalishaji wa mgodi wa JNHEPWaziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.
Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.
Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.
Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu
Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani
Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==
My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.
2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.
Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.
Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8
Hapa thamani ya Shilingi imepingua? ππππππOngezeko linguine, sio ongezeko uhalisia Bali kunatikana na kushuka Kwa thamani Kwa pesa yetu na mapato ya ziada ya Kodi ya malengo kupitia umeme, na uzalishaji wa mgodi wa JNHEP
Taja Halmashauri hata Moja ambayo pesa hazifiki hasa ambayo uko nikuumbue.Maneno na makaratasi tu, uhalisia huko Halmashauri kuhusu fedha hata 30% hazifiki
Mr.Hater,takwimu za mwaka wa Fedha 2023/2024 Serikali ilikusanya 97% ya makisio sawa na Trilioni 52.9.hiyo ni wish tu. Kimsingi na kwa uhalisia bajeti yetu kwa vyanzo tulivyo navyo kwa sasa haitakiwili izdi Tri. 25. Huko kwingine kote ni siasa za kupata kura maana hata bajeti zilizopita hatujawahi kuvuka nusu ya bajeti ktk makusanyo.
Daaah... Jamaa kanijineemesha sana kwa sasa hadi watoto wake wamekuwa kama mandondocha!According to your wishes. Ungekuwa unajua dy/dx usingeandika hivyo. Mwigulu ni mchumi nguli mpaka maprof wa uchumi wanamuogopa. Si unaona tangu ateuliwe kuwa waziri wa uchumi mpaka lipumba kaufyata
Ndo raha ya shule. Nani alikwambia ukimbie umande na kukimbilia madrasaDaaah... Jamaa kanijineemesha sana kwa sasa hadi watoto wake wamekuwa kama mandondocha!
Wacha wee... Nchi ya ajabu sana. Mtakoma lini kuwatukuza wezi wa rasilimali za waTanzania?Ndo raha ya shule. Nani alikwambia ukimbie umande na kukimbilia madrasa
Basi kubaliana na hali. Ujinga wako ndo umaskini wakoBadala ya kwenda Shule na kuwa mwizi wa rasilimali za waTanzania ni bora mara mia kuwa msoma hadhana!
Ujinga una mwisho! Na wizi una mwisho wake!Basi kubaliana na hali. Ujinga wako ndo umaskini wako
Ujinga hauna mwisho. Ndo maana jamii za kiislamu ni maskini kwa sababu elimu yao ni zeroUjinga una mwisho! Na wizi una mwisho wake!
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.
Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.
Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.
Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu
Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani
Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==
My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.
2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.
Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.
View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==
Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.
Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.
Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.
Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu
Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani
Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==
My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.
2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.
Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.
View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==
Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8
Waziri wa Fedha Dk.Mwigulu Nchemba amewasilisha rasimu ya Mpango na Muongozo wa maandalizi na mapendekezo ya Bajeti ya serikali Kwa mwaka Mpya wa Fedha yaani 2025/2026.
Waziri Mwigulu amesema Serikali inapanga kutumia zaidi ya Shilingi Trilioni 55 kugharamia Uendeshaji wa Serikali.
Kati ya kiasi hicho Shilingi Trilioni 16 ni pesa za mikopo na misaada.
Trilioni 15 ni Mikopo ya kibiashara na riba nafuu
Shilingi Trilioni 1 ni misaada ya Wahisani
Na Shilingi Trilioni 40 ni Mapato ya ndani kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Kodi, taasisi na Serikali za Mitaa.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==
My Take
1.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 20 Ndani ya miaka 4 na nusu ya Rais Samia.
2.Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la Shilingi Trilioni 6 kulinganisha na Bajeti inayoendelea na utekelezaji Sasa.
3.Bajeti hiyo ni karibu mara 2 ya Bajeti ya mwisho ya awamu ya 5 ya mwaka 2020/2021.
Mpaka hapo Samia hana Mpinzani kwenye suala zima la delivery,kukuza Uchumi,kukuza biashara na Ustawi wa Wananchi.
View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==
Pia soma Miaka 4 ya Rais Samia: Bajeti yaongezeka kwa shilingi Trilioni 13, mapato ya kodi za TRA yaongezeka kwa Trilioni 8