Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kweli mastaKwa ambao hawajazifuatilia simba na yanga angalau kwa miaka 15 iliyopita wataisifia sana yanga. Lakini ukweli ni kwamba yanga hakuna cha maana, kwa sasa viongozi wanajificha nyuma ya mafanikio haya yanayopatikana. Siku yakikoma na mazingira ya kisiasa yakawa hayako upande wao ndo mtajua kwamba simba na yanga ni mashamba ya bibi tu.
Sawa naomba unipeleke shuleSasa ndiyo umeandika nini hapa! Laki 40000 ndiyo shilingi ngapi? Hii kitu haiko poa hata kidogo. Inaonekana wewe ni binti mrembo uliyekimbia umande.
Laki 400000??Waongo wanalipa wachezaji wa tz laki 400000 aibu zao