Bajeti yetu iko tayari, kwanini tuwasubiri Kenya na Uganda tusome pamoja tarehe 11 Juni? Wabunge watalipwa posho bila kufanya kazi?

Bajeti yetu iko tayari, kwanini tuwasubiri Kenya na Uganda tusome pamoja tarehe 11 Juni? Wabunge watalipwa posho bila kufanya kazi?

Bwashee shida ya nyie vijana was CCM hamsomi.Kazi yenu kuungajuhudi tu. In hivi, kwa mujibu was Mkataba wa Ushirikiano wa Jumuia ya Afrika Mashariki, hizi nchi zinashirikiana katika masuala kadhaa ya ya kodi, hususan lile la Common External Tariffs (CET) ambayo ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zote zinazoagizwa kutoka nje. No lazima kodi hizi zifanane kwa nchi zote. Makubaliano ya vuwango vya CET huwa yanafikiwa kutokana na vikao vya mawaziri wa fedha vinavyofanyika wiki kadhaa kabla ya bajeti. Maana yake ni kwamba lazima bajeti zisomwe siku moja. Ikiwa zitasomwa siku tofauti, wafanyabiashara wa nchi ambayo itachelewa kusoma bajeti yake watapata faida. Nadhani sasa umeelewa bwashee!
Kwaio wao wanataka wafanyabiashara wapate hasara? Faida ipi hio iainishe?
 
ingekuwa mawazo ya upinzani yanakubalika yaingie, ili walete mawazo mapya, ingekuwa kuikosoa bajet iliyoletwa na serikali ni moja na uzalendo, basi hadi leo kungekuwa na mtanange bungeni..

Sijui hofu yako ni nini, wakt bajeti imepita bila kupingwa huku unaijua kabla haijapelekwa bungeni.
Wapinzani hawa wanaolia bungeni na kuomba CCM iwapokee?!!
 
Tatizo wabunge wa ccm 90% nivilaza

Inaonekana ulivyo kilaza zaidi, huwezi kutoa hoja ya kujenga nchi yako bali unapenda udaku, vijana kama ninyi katika taifa hili hamna msaada wowote, ni bora muende marekani muondoke na corona tu, huwezi kukosa hoja ya kusaidia nchi wewe kila siku negative tu hata lisilo hitaji siasa.
Changia mawazo ili ujenge inchi yako.
 
Inaonekana ulivyo kilaza zaidi, huwezi kutoa hoja ya kujenga nchi yako bali unapenda udaku, vijana kama ninyi katika taifa hili hamna msaada wowote, ni bora muende marekani muondoke na corona tu, huwezi kukosa hoja ya kusaidia nchi wewe kila siku negative tu hata lisilo hitaji siasa.
Changia mawazo ili ujenge inchi yako.

Nchi gani hii Mimi namuabudu Mungu wangu Chadema kupitia mtume wake Mbowe
 
Muda huo tukisubiri kusoma bajeti, wabunge wa ccm na walioasi chadema waruhusiwe kutukanana na wale wa chadema, kila mbunge apewe saa moja kuchangia na bunge liwe laivu
 
Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.

Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.

Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?

Maendeleo hayana vyama!
Sheria za Afrika mashariki ndivyo zinavyosema... bajeti zinatakiwa zisomwe siku moja kuepuka rafu na uhuni ule anaouimba kila siku yericko Nyerere
 
Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.

Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.

Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?

Maendeleo hayana vyama!
Watu walivyotaka katiba mpya ambayo inawapa wananchi nguvu ya kuamua juu ya mustakabali wao nyie mlileta ngebe waache wakae wale pesa tena mie naona bora wakae hadi october waendelee kutafuta tu POSHO.
 
Back
Top Bottom