Bakari Nondo Mwamnyeto ana shida gani?

Bakari Nondo Mwamnyeto ana shida gani?

Bakari alikosa utulivu, kipa ameshasema mwachie mpira tena kwenye marudio ya television.
Kipa anaonekana akitoa sauti ya kuachiwa mpira yeye kaucheza kwa kichwa na mpira haukufika popote Ina maana alikua na presha.
Yote kwa yote Gamond ndiye aliyefanya mechi kuwa Ngumu kipindi Cha pili.
Amechukua muda mrefu kufanya Sabu na Bado ame mwacha Mudathir nje bila Sabu yoyote ya maana.
Hivi unamwachaje Mudathir nje una mwingiza Zawadi ambaye ata kwenye ligi humtumii marakwamara.
Aziz alikua hastaili kuendelea kuwa uwanjani na Bado ana maliza mechi!!

Kocha ametuangusha Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado, mbna utasema tyuuh
 
Licha ya ujinga wa Mwamnyeto na kocha nae anastahili lawama kwa kwa kuwa na mfumo mbovu tunapoenda kushambulia. Karibu mara zote tulipokuwa tukishambulia ilikuwa mshambuliaji 1 wa Yanga kwa 3 wa Ahly au 2 wa Yanga kwa 5 wa Ahly.

Kwa namna tulivyocheza nilikuwa sioni tunapatia wapi goli na kuchukua kwetu tahadhari sana bado haikusaidia kuwa na shape nzuri kwenye ulinzi kwa kuwa Ahly bado walitengeneza nafasi kadhaa nzuri kutuzidi.

Tukicheza na Medeama kama tulivyocheza leo na Ahly hatutopata ushindi.

Sare ya leo imefukia madhaifu ya kocha kuongelewa sana.
Me nachokiona kwa kocha kosa lake ni kukosa alternative game plan kwa almost kila mechi. Tunatumia viungo kupita na mpira katikati mwa dimba, tukishindwa kufanya hivyo, tunakosa alternative kabisa. Wingers wanaozea bench tu Yanga. Mechi kama hizi kina Moloko wale sometimes wanakiwasha sana. Kocha awe na alternative, anafanya hizi mechi zinakuwa ngumu sana.
 
Ajali kazini
Hata akina Magwaya na akina Matip wa ligi kubwa za uingereza huwa zinawatokea.


Kukaba siyo rahisi hivyo kama hnavyodhani.
Angekuwa anakosea mara moja moja hapo sawa, kila mechi almost lazima atucost kisa anataka aonyeshe uwezo wake binafsi. Pale Diarra kapiga kelele kabla hajaruka lakini Bakari hakutaka kumskia, mwisho wake ndo ule sasa, tunafungwa goal la kizembe sana.
 
Mambo mengine mbona niyakawaida uwanjani.tupunguze lawama na kujifanya tunajua.Bakari kacheza vizuri tu,mpira umeshamfikia kichwani kwanini asiupige.angeuacha alafu kipa akauchelewa au akateleza mpira ukapita bado mngekuja kusema kwanini akupiga kichwa.Makosa ya uwanjani ni sehemu ya mchezo ndo maana timu zinapata magoli.
 
Mwamnyeto asingeupiga ule mpira mechi ingeisha 0-0

Siyo mbaya hata 1-1 imetuboost

Kosa lake limefutwa na pacome

On to the next one
Twende tu coastal tumvute yule Lameck Lawi aje ampe changamoto, labda atapunguza makosa sasa. Job kukaa bench mwanzo wa msimu naona kulimuamsha, saivi anakiwasha sana. Hapataki kabisa benchi.
 
Mambo mengine mbona niyakawaida uwanjani.tupunguze lawama na kujifanya tunajua.Bakari kacheza vizuri tu,mpira umeshamfikia kichwani kwanini asiupige.angeuacha alafu kipa akauchelewa au akateleza mpira ukapita bado mngekuja kusema kwanini akupiga kichwa.Makosa ya uwanjani ni sehemu ya mchezo ndo maana timu zinapata magoli.
Wajinga huwa mpo wengi sana, mnajifanya nyie ndo mko so rightous. Hoja inawekwa ijadiliwe, no one knows a lot in this world. Kuweka hoja sio kuwa mjuaji. Acha ushamba bwana mdogo.
 
kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.
Sioni kosa la mwamnyeto..

Kama umewahi kucheza mpira utanielewa

Ni ngumu sana kwa saiti aliyokuwa mwamnyeto kumuona kipa katika mazingira yale ya kuwania mpira mbele ya maadui....

Kimsingi yanga msimtafute mchawi, Al ahly waliwazidi vingi na mlikua na bahati kutofungwa nyingi..
 
Bakari alikosa utulivu, kipa ameshasema mwachie mpira tena kwenye marudio ya television.
Kipa anaonekana akitoa sauti ya kuachiwa mpira yeye kaucheza kwa kichwa na mpira haukufika popote Ina maana alikua na presha.
Yote kwa yote Gamond ndiye aliyefanya mechi kuwa Ngumu kipindi Cha pili.
Amechukua muda mrefu kufanya Sabu na Bado ame mwacha Mudathir nje bila Sabu yoyote ya maana.
Hivi unamwachaje Mudathir nje una mwingiza Zawadi ambaye ata kwenye ligi humtumii marakwamara.
Aziz alikua hastaili kuendelea kuwa uwanjani na Bado ana maliza mechi!!

Kocha ametuangusha Sana.
Katika kitu aliniboa Jana ni kumwacha Aziz acheze dakika zote hizo afu akamtoa zingeli. Huyu kocha sijui karogwa
 
Inawezekana katika hio scenario akaokoka ila kama umeangalia mechi ya jana utaona kwamba ni zaidi ya x4 anapoteza possession na kufanya makosa ambayo yangeigharimu team pa kubwa. Na sababu kubwa ni kwamba anapenda sana (addicted) kutaka kuonyesha uwezo binafsi. Sielewi ni nani anajaribu kumu impress maana sio majukumu yake uwanjani. Yaani kila siku tukicheza, Job anatuonyesha kwanini alipewa tuzo ya beki bora nyakubonga
 
Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu.

Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa.

Nadhani tunachokiona hata kocha anakiona na ndo maana mechi muhimu sana zisizomuhitaji kocha acheze na back 3 huwa lazima amuanzishe nje, mfano game ya simba. Hata goal la jana na al ahly ni yeye kasababisha kujifanya bingwa wa kupiga vichwa badala ya kumuachia Kipa adake.

Anyways, Tatizo la Bakari Nondo Mwamnyeto ni nini..?
Mashabiki wa Tanzania acheni lawama zisizo na msingi. Wanaocheza uwanjani si malaika wale. Makosa ni sehemu ya mchezo na ndio maana magoli yanafungwa. Hutaki kufanya makosa, kaa na timu yako nyumbani.
 
Katika kitu aliniboa Jana ni kumwacha Aziz acheze dakika zote hizo afu akamtoa zingeli. Huyu kocha sijui karogwa
Mmeanza lawama zisizo na msingi. Mlitaka msifungwe? Kwani umeambiwa wale Ahly ni Kagera sugar? Hakuna cha sijui nani hajacheza, matokeo yoyote ni sehemu ya mchezo.
 
Ajali kazini
Hata akina Magwaya na akina Matip wa ligi kubwa za uingereza huwa zinawatokea.


Kukaba siyo rahisi hivyo kama hnavyodhani.
Ukiangalia kwa makini Kibabage alikua mbele ya Tau na angeweza kuondoa huo mpira ajabu ni kwamba aka simama kuangalia nini kitatokea
 
Twende tu coastal tumvute yule Lameck Lawi aje ampe changamoto, labda atapunguza makosa sasa. Job kukaa bench mwanzo wa msimu naona kulimuamsha, saivi anakiwasha sana. Hapataki kabisa benchi.
Si kuna Gift Fred
 
Back
Top Bottom