Bakhresa amzawadia mjukuu wake gari ya PORSCHE kwa ajili ya birthday yake

Bakhresa amzawadia mjukuu wake gari ya PORSCHE kwa ajili ya birthday yake

Ukweli hauwezi kufutika awashukuru wanasiasa mafisadi hata km una hasira huo ndio ukweli
Kama unaona kuuza ice cream ni deal kauze na wewe
Haya mambo ya kuhisi hisi kwamba mtu hawezi kuwa tajiri lazima kuna mkono wa watu inabidi muache. Sikatai inawezekana kuna dili kapiga kushirikiana na mtu au watu, ila ujue biashara ni yake, jina lake, watoto wake ndiyo ma director, pesa wanakula watoto wake, hao jamaa zako wa kusadikika watoto wao wako wapi mbona hawali bata kama la watoto wa Bakhresa?

Huyu siyo mudi bana sifa nyingi hela hatuioni, jamaa pesa zinaongea zenyewe wala hata hatumii nguvu.
 
Mkuu mimi sihitaji maelezo yako mengi,
Nimesema awashukuru wanasiasa mafisadi waliomfikisha hapo

Mambo ya nani anaishi vipi huo ni uamuzi wa mtu kwenye kugawana Faida wanajuana nyuma ya pazia
Haya mambo ya kuhisi hisi kwamba mtu hawezi kuwa tajiri lazima kuna mkono wa watu inabidi muache. Sikatai inawezekana kuna dili kapiga kushirikiana na mtu au watu, ila ujue biashara ni yake, jina lake, watoto wake ndiyo ma director, pesa wanakula watoto wake, hao jamaa zako wa kusadikika watoto wao wako wapi mbona hawali bata kama la watoto wa Bakhresa?

Huyu siyo mudi bana sifa nyingi hela hatuioni, jamaa pesa zinaongea zenyewe wala hata hatumii nguvu.
 
Mkuu mimi sihitaji maelezo yako mengi,
Nimesema awashukuru wanasiasa mafisadi waliomfikisha hapo

Mambo ya nani anaishi vipi huo ni uamuzi wa mtu kwenye kugawana Faida wanajuana nyuma ya pazia
Haya endelea kuota, maana mara ya mwisho ulisema biashara ya Mwinyi nikakushangaa leo tena mafisadi sijui.

Anyway kuna kale kapicha ka masela wako kijiweni huwa wakikutana story zao ndo huwaga hivyo hivyo. "Ohh zile sheli za ridhiwani.........." Wakati mwenyewe mnamuona kabisa anakula zake bata.
 
Hujui nyuma ya hiyo media kuna mkono wa nani? Hii nchi inaliwa Mungu atuhurumie
Ndg. Safisha dhana na hisia zisizo na tija!!
Hakuna cha mkono wa la Pazia..
Hazina na utajiri wa Mwenyeezi Mungu umetapakaa na humpa amtake na kumfadhili amtakae!!!
Mzee SSB ....ametoka mbali na mpambanaji 24/7 asiye na dharau au kupuzia ...
Kuwa na Amani akiwekeza popote vuu mambo yanakubali... tunamuombea Mungu Azidi kumbarikia
Ameen
 
Kuna mtu asiye mpambanaji? Acha soga unapoongea na watu wazima
Ndg. Safisha dhana na hisia zisizo na tija!!
Hakuna cha mkono wa la Pazia..
Hazina na utajiri wa Mwenyeezi Mungu umetapakaa na kumpa na kumfadhili amtakae!!!
Mzee SSB ....ametoka mbali na mpambanaji 24/7 asiye na dharau au kupuzia ...
Kuwa na Amani akiwekeza popote vuu mambo yanakubali... Azidi kubarikiwa
Ameen
 
Nakubali sio kila mpambanaji hutoboa ila yeye awashukuru wanasiasa mafisadi
Wapo wengi !! Ila utoto wako ndiyo hueleweki

Kuwa siyo kila milima huvuna!! Wengine mazao yao huchukuliwa na mafuriko na wengine huhasirika..
Ila wapo wanao vuna na kunufaika... THINK
 
Nakubali sio kila mpambanaji hutoboa ila yeye awashukuru wanasiasa mafisadi
Hahaha..... navyofahamu mimi binafsi kuwa SSB (Azam group) humshukuru sana Mwenyezzi Mungu..... na waajiriwa wake pia kushukuru kuwa na mwajiri stahiki...stahiki kuongezewa..
Mengine blablabla..mie simo!!
 
Haya mambo ya kuhisi hisi kwamba mtu hawezi kuwa tajiri lazima kuna mkono wa watu inabidi muache. Sikatai inawezekana kuna dili kapiga kushirikiana na mtu au watu, ila ujue biashara ni yake, jina lake, watoto wake ndiyo ma director, pesa wanakula watoto wake, hao jamaa zako wa kusadikika watoto wao wako wapi mbona hawali bata kama la watoto wa Bakhresa?

Huyu siyo mudi bana sifa nyingi hela hatuioni, jamaa pesa zinaongea zenyewe wala hata hatumii nguvu.
Matumizi ya hela yanatofautiana. Wakati wewe unaona fahari kuwa na parking yenye magari zaidi ya kumi ya kifahari, wengine wao wanaona wakiwa na gari moja au mbili inatosha.

Akina Bill, Warren Buffet and the likes huwezi kuta wana collections ya magari kumi kwenye parking zao.

Familia ya Mwinyi ina mkono hapo, watoto wa Mwinyi wana shida? Familia ya Marehemu Ahmed Salim pia, watoto wa Ahmed Salim hawana njaa.

Hata hivyo, kwenye hiyo familia ya Mzee Bakhressa ni Yusuf tu ndio mtu wa fancy life and fancy living. Wengine wako calm kama Mzee wao tu. Na Yusuf kupenda ufahari ndio kumefanya ashindwe lea mtoto, sasahivi anajipiga dawa tu, few years to come hawataweza kumcontrol, asije tu akawa msumbufu kama mtoto wa Marehemu Subhash kuanza kudai urithi na mali..
 
Matumizi ya hela yanatofautiana. Wakati wewe unaona fahari kuwa na parking yenye magari zaidi ya kumi ya kifahari, wengine wao wanaona wakiwa na gari moja au mbili inatosha.

Akina Bill, Warren Buffet and the likes huwezi kuta wana collections ya magari kumi kwenye parking zao.

Familia ya Mwinyi ina mkono hapo, watoto wa Mwinyi wana shida? Familia ya Marehemu Ahmed Salim pia, watoto wa Ahmed Salim hawana njaa.

Hata hivyo, kwenye hiyo familia ya Mzee Bakhressa ni Yusuf tu ndio mtu wa fancy life and fancy living. Wengine wako calm kama Mzee wao tu. Na Yusuf kupenda ufahari ndio kumefanya ashindwe lea mtoto, sasahivi anajipiga dawa tu, few years to come hawataweza kumcontrol, asije tu akawa msumbufu kama mtoto wa Marehemu Subhash kuanza kudai urithi na mali..
Hebu acheni kujifariji na vitu vyaa ajabu. Bill gates na warren Buffett level zao ni sawa na wakuu wa nchi huwezi kuongelea vitu vidogo kama gari kwa mtu kama bill gates hela anayoingiza kwa lisaa anaweza kununua gari lolote lile na anayo magari mengi tu tofauti na mnavyojifariji kwamba hawanunui magari.
Mtu ana msafara kama wa Raisi wa nchi hayo magari ataendesha sehemu gani zaidi ya kulipaki gereji tu.
images%20(17).jpg
 
Hebu acheni kujifariji na vitu vyaa ajabu. Bill gates na warren Buffett level zao ni sawa na wakuu wa nchi huwezi kuongelea vitu vidogo kama gari kwa mtu kama bill gates hela anayoingiza kwa lisaa anaweza kununua gari lolote lile na anayo magari mengi tu tofauti na mnavyojifariji kwamba hawanunui magari.
Mtu ana msafara kama wa Raisi wa nchi hayo magari ataendesha sehemu gani zaidi ya kulipaki gereji tu.View attachment 1903092
Hehehe haya magari tuonyeshe yakiwa kwenye parking ya Bill Gates na yakiwa yana number plate "BILL GATES".. La sivyo ni story za mitandaoni tu..

Vipi ya Warren Buffet ya mitandaoni hujayapata utuwekee hapa??
 
Hehehe haya magari tuonyeshe yakiwa kwenye parking ya Bill Gates na yakiwa yana number plate "BILL GATES".. La sivyo ni story za mitandaoni tu..

Vipi ya Warren Buffet ya mitandaoni hujayapata utuwekee hapa??
Hebu google rolly gates mtoto wa bill gates kama ulizani watoto wa baaresa wanafuja hela mtafute huyo mtoto wa bill gates
IMG_20210822_192624.jpg
 
Hehehe haya magari tuonyeshe yakiwa kwenye parking ya Bill Gates na yakiwa yana number plate "BILL GATES".. La sivyo ni story za mitandaoni tu..

Vipi ya Warren Buffet ya mitandaoni hujayapata utuwekee hapa??
Expenses zao zinategemea na taste ya mtu. Warren buffet hana magari ila Mukesh Ambani anayo yakutosha, Elon musk je? Matajiri wengi sana wana garage za gari kumi na zaidi, helicopters, mansions, yachts na kadhalika na hiyo kuandika BILL GATES pia ni option na mapendeleo binafsi mind you Jeff Bezos ana super cars zote hapa duniani.
 
Back
Top Bottom