IS analyst
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 274
- 466
Hujui ulichoandika...Serikali imekopa matrilioni zitakazolipwa na tozo za wananchi - halafu leo mabepari wanavamia na kufaidi uwekezaji wa serikali
Kwanini wasijenge hao matajiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui ulichoandika...Serikali imekopa matrilioni zitakazolipwa na tozo za wananchi - halafu leo mabepari wanavamia na kufaidi uwekezaji wa serikali
Kwanini wasijenge hao matajiri?
Apewe mwenye mabasi ya Esther Coach 👍Sukari imewashinda hao wamanga ndio wataweza Treni? 🐼
Treni apewe Shabiby
Ngoja mfike kwanza ndio muanze kumlaumu yule mjamaa 🙄Cha msingi SGR ifike Mwanza na Kigoma tena kwa haraka ili kuua uchumi wa Kenya ambao wao walidhamiria kuua uchumi wetu japo waliiba mkopo reli yao ikaishia njiani.
Bakhresa biashara ya usafirishaji anaweza nashauri apewe mkopo na kipande cha reli ya SGR Tabora -Kigoma amalizie kujenga na kuwekeza treni zake.
Hapa ndipo tulitakiwa kufika miaka mingi yule mjamaa akawa anazuia.
Kula kwa urefu wa kamba yako
Kuna fursa kubwa tena ya wazi kwenye reli ya zamani ya meter gauge kwenye utalii. Inashangaza kuona wote wanaamka na tongo tongo kuikodolea macho TZ_SGR train. Zile steam engines zikifufuliwa pamoja na mabehewa chakavu ya enzi zile, reli ya kati kuanzia DAR-DOM-TBR : MZ/KGM iunganishwe na MV.Liemba kule ziwa Tanganyika, ni circuit ya utalii iliyoshiba matukio ya wiki nzima.Kati ya kampuni zilizotajwa hapo juu, Jambo ndiyo kampuni pekee ya Kitanzania ambayo imeonyesha nia ya kuanzisha treni ya kifahari ya abiria kwa ajili ya watalii. Asilimia 99 iliyobaki wana hamu ya kuwekeza kwenye usafirishaji wa mizigo,” amesema.
Sasa wanavimbiwa mpaka Mbunge Shabiby naye amesema Bungeni watu wanaiba mpaka kuvimbiwa 😳🙄...lakini usivimbiwe
Uko sahihiHONGERA SANA KUFIKIA MAAMUZI SAHIHI ya kuruhusu sekta binafsi kutoa huduma ya usafiri wa treni kwa kutumia miundombinu ya reli ya serikali. Nilishasema humu ya kwamba kwa mfumo wa sheria za utumishi wa umma zilivyo, ni vigumu sana sector ya umma kutoa huduma y viwango na ya uhakika ya usafiri wa treni, hasa ya SGR. Ingekufa tu mapema sana. Uamuzi huo ni mzuri sana unaenda kuleta ushindani,ubora na uhakika wa usafiri wa treni, hasa SGR.
Badala ya kukaa vijiweni kuongelea uhohe have kanunue train na wewe na hohehahe wenzioKwani matabaka katika jamii hujengwa vipi?
Hawa matajiri sasa wanayo serikali yao. Hawa ndio kipaumbele cha serikali. Wao wana sauti nzito zaidi serikalini kuliko hao akina hohehahe.
Hawa ndio wanaoiamrisha serikali ifuate mipango yao, ya kuwafaidisha zaidi kupitia mgongoni kwa hahehoi.
Wewe ni mpumbavu 'Shotocan', hebu njoo tena. Machizi kama wewe huwa nina muda nao sana.Badala ya kukaa vijiweni kuongelea uhohe have kanunue train na wewe na hohehahe wenzio