FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Lini Watanzania walimfuta adui ujinga?Mimi sijawahi kuwa mjinga hata mara moja. Kwa hiyo futa huo ujinga ulio nao wewe.
BRT imewashinda kuendesha, mtaweza SGR?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini Watanzania walimfuta adui ujinga?Mimi sijawahi kuwa mjinga hata mara moja. Kwa hiyo futa huo ujinga ulio nao wewe.
Mashirika ya serikali mangapi tuliyokuwa nayo toka tumepata Uhuru hadi hii leo? Lipi lililofanya kazi kwa faida?Pamoja na kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani; lakini haina maana huduma hizo haziwezi kufanywa kwa ufanisi na mashirika ya kiserikali. Hii dhana potofu ya kufikiri serikali haina uwezo wa kufanya kitu kwa ufanisi. imekuwa mzigo mzito sana katika akili zetu siku hizi.
Ethiopian Airways ni shirika linaloingiza faida kila mwaka, ni shirika la serikali. Hapo Kenya SGR yao inaendeshwa na shirika lao la kiserikali; wamefunzwa vyema na waChina, hadi sasa wanakwenda vizuri
Mashirika mengi ya kiChina yapo kila mahali duniani, yanafanya kazi kibiashara kwa ufanisi.
Sijatamka popote kwamba sekta binafsi isihusishwe, lakini ni lazima pia kujuwa athari zinazotokana na kutegemea kila kitu, hasa maeneo nyeti hiyo sekta. Wananunua serikali kwa manufaa yao, kama tunavyoona inafanyika sasa hivi.
Hizo huduma nafuu unazozililia utazisikia tu, hutaziona.
Nilitaka kuweka alama ya "Kucheka", lakini nikajikuta nikitaka kulia kwa uchungu kwa maneno yako haya!Natamani nitukaneeeee labda moyo utatulia lakini kuna sauti inaniambia yana mwisho haya.
Unawadharau waTanzania, huku unasahau wanao wasababishia kudharauliwa?Lini Watanzania walimfuta adui ujinga?
BRT imewashinda kuendesha, mtaweza SGR?
Huu nao ni mjadala unaotaka tutumie muda mwingi kuujadili?Mashirika ya serikali mangapi tuliyokuwa nayo toka tumepata Uhuru hadi hii leo? Lipi lililofanya kazi kwa faida?
Niache kwanza nihangaike na huyu 'Faiza', maadam leo hajapata kile kilevi chake cha siku zoteNakuelewa Mzee wa Malumbano ya hoja
🙋♂️👍👌🤝👏👊🙏💐🎁🛡️Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
Kampuni sita za Kitanzania ni miongoni mwa kampuni kadhaa ambazo zimeonyesha nia ya kushirikiana na serikali katika kuendesha Reli ya Standard Gauge (SGR).
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kufuatia kutangazwa kwa Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa Watoa Huduma Binafsi za mwaka 2024.
Akizungumza na Mwananchi leo Juni 19, 2024, Kadogosa amezitaja kampuni hizo kuwa ni GSM, Bakhresa Group, Mohammed Enterprises Company Limited, Lake Oil, Azania na Jambo.
Orodha hiyo pia inajumuisha kampuni kadhaa kutoka China na Ulaya.
“Kati ya kampuni zilizotajwa hapo juu, Jambo ndiyo kampuni pekee ya Kitanzania ambayo imeonyesha nia ya kuanzisha treni ya kifahari ya abiria kwa ajili ya watalii. Asilimia 99 iliyobaki wana hamu ya kuwekeza kwenye usafirishaji wa mizigo,” amesema.
Amesema kwa sasa TRC inajitahidi sana kuhakikisha ujenzi wa sehemu zote za SGR unakamilika ifikapo 2028 ili wawekezaji watumie fursa hiyo na kutoa mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi.
TEMDOMashirika ya serikali mangapi tuliyokuwa nayo toka tumepata Uhuru hadi hii leo? Lipi lililofanya kazi kwa faida?
Hakuna jambo linalo kosa mwisho mkuuNilitaka kuweka alama ya "Kucheka", lakini nikajikuta nikitaka kulia kwa uchungu kwa maneno yako haya!
"Yana mwisho"? Lini!
Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
Kampuni sita za Kitanzania ni miongoni mwa kampuni kadhaa ambazo zimeonyesha nia ya kushirikiana na serikali katika kuendesha Reli ya Standard Gauge (SGR).
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kufuatia kutangazwa kwa Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa Watoa Huduma Binafsi za mwaka 2024.
Akizungumza na Mwananchi leo Juni 19, 2024, Kadogosa amezitaja kampuni hizo kuwa ni GSM, Bakhresa Group, Mohammed Enterprises Company Limited, Lake Oil, Azania na Jambo.
Orodha hiyo pia inajumuisha kampuni kadhaa kutoka China na Ulaya.
“Kati ya kampuni zilizotajwa hapo juu, Jambo ndiyo kampuni pekee ya Kitanzania ambayo imeonyesha nia ya kuanzisha treni ya kifahari ya abiria kwa ajili ya watalii. Asilimia 99 iliyobaki wana hamu ya kuwekeza kwenye usafirishaji wa mizigo,” amesema.
Amesema kwa sasa TRC inajitahidi sana kuhakikisha ujenzi wa sehemu zote za SGR unakamilika ifikapo 2028 ili wawekezaji watumie fursa hiyo na kutoa mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi.
Na imekuuma?Kachukue kamba kwa Mangi ujitundike nitalipa.Wote ni vibaraghashia.
Uko sahihi.Mi kwa maoni yangu naona bora kwa miaka 5 kwanza Serikali isimamie yenyewe.
Ikifanya hivyo itajua ups and down za SGR na kujua namna ya kufanya.
Katika kipindi hicho wakiona hawaiwezi hiyo SGR wa-outsource makampuni yenye sifa wasimamie na wampe target mfano makusanyo ya Bil100 kwa mwezi baada kwa kuzingatia trend ya makusanyo waliyokutana nayo ndani ya hiyo miaka 5
Tena hyo kampuni itakayopata zabuni, isipewe kila kitu,wazipe zabuni kampuni tofauti tofauti kwa kandarasi tofauti tofauti,mfano Ticketing,service za train,n.k ili kuleta ufanisi na ushindani,na wote wapewe targets.
Basi nimekuelewa.Hakuna jambo linalo kosa mwisho mkuu