Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Kwani boss Kafulila anasemaje juu ya hili. Lugha nyepesi ni kuwa mradi not vaible ngoja wajuwaji waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo muwekezaji wa maana ni bakhresa tuu na kwa mbaaali GSM hiyo MO asubiri kwanza haaminiki.Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
View attachment 3020941View attachment 3020943
Serikali imeshindwa udart itaweza sgr!?.. serikali ya Tanzania tangu awamu ya kwanza,ilishindwa kusimamia biasharaKwani Serikali imeshindwa nini mbona imeweka pesa nyingi sana?
Title na content hazifanani, punguza upotoshaji.
View: https://www.instagram.com/p/C48nCMNrJNX/?igsh=MXIyZG90aW9zamJxcg==
Title na content hazifanani, punguza upotoshaji.
View: https://www.instagram.com/p/C48nCMNrJNX/?igsh=MXIyZG90aW9zamJxcg==
Ilishindikana tangu Nyerere,tulishindwa ATC, TRC,bandari,ttcl na Sasa udartNi aibu kuwa Mtanzania. Namshukuru Mungu kuwa na mataifa mengine mawili naweza ikana. Hivi Tz nzima hakuna watu wenye uzoefu na weledi wa kuendesha chochote? Je Tz nzima watu hawana vichwa ni wana viwiliwili tu? So tunaweza kuiba na janja janja!!!
Nchi hii Nyerere alituchelewesha na anaendelea kutuchelewesha. Kesho atakuja kulalamika huduma mbovu za treni wakati hataki wabiaUjamaa umetuharibu,
Kwa hio unaona hilo ni baya? Mbona barabarani kuna malory kibao
Sijakuelewa malalamiko yako ni nini?Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
Pamoja na kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani; lakini haina maana huduma hizo haziwezi kufanywa kwa ufanisi na mashirika ya kiserikali. Hii dhana potofu ya kufikiri serikali haina uwezo wa kufanya kitu kwa ufanisi. imekuwa mzigo mzito sana katika akili zetu siku hizi.Sahihi kikubwa ni huduma nzuri na nafuu kwa Watanzania + na kodi stahiki kwa Serikali..
BrilliantNi vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
View attachment 3020941View attachment 3020943
Angalia mbuzi kama huyu hapa. Anachojuwa yeye ni kumlaumu Nyerere tu huku hakuna jingine lolote alijualo.Nchi hii Nyerere alituchelewesha na anaendelea kutuchelewesha. Kesho atakuja kulalamika huduma mbovu za treni wakati hataki wabia
Una-print ticket ya nini mkuu, si nenda na simu janja yako isomwe wakati unaingia?, au nako ni shida?unakata tiketi online kipengele kinakuja ktk kuprint tiketi shida namba moja hiyo hapo
Nashukuru, ushauri wangu huu, Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie? ushauri huu umefuatwa kwa SGR, bado ATCL.Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
Kampuni sita za Kitanzania ni miongoni mwa kampuni kadhaa ambazo zimeonyesha nia ya kushirikiana na serikali katika kuendesha Reli ya Standard Gauge (SGR).
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kufuatia kutangazwa kwa Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa Watoa Huduma Binafsi za mwaka 2024.
Akizungumza na Mwananchi leo Juni 19, 2024, Kadogosa amezitaja kampuni hizo kuwa ni GSM, Bakhresa Group, Mohammed Enterprises Company Limited, Lake Oil, Azania na Jambo.
Orodha hiyo pia inajumuisha kampuni kadhaa kutoka China na Ulaya.
“Kati ya kampuni zilizotajwa hapo juu, Jambo ndiyo kampuni pekee ya Kitanzania ambayo imeonyesha nia ya kuanzisha treni ya kifahari ya abiria kwa ajili ya watalii. Asilimia 99 iliyobaki wana hamu ya kuwekeza kwenye usafirishaji wa mizigo,” amesema.
Amesema kwa sasa TRC inajitahidi sana kuhakikisha ujenzi wa sehemu zote za SGR unakamilika ifikapo 2028 ili wawekezaji watumie fursa hiyo na kutoa mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi.
Huu ni utekelezaji wa ushauri huu Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie? sasa bado ATCL,Serikali tunataka tujue hao wawekezaji wanaojitosa kuwekeza kwenye reli ya SGR kwanini Leo ! Au NI mbinu ya serikali kuuza miundo mbinu kijanja kwa hayo makampuni ya GSM LAKE OIL JAMBO NA MOHAMED ENTERPRISES Tanzania imekopeshwa matrion ya fedha kwa ajiri ya mradi huo Leo inageuka kuwapa watu waendeshe huyu mama huyu mama mbona nazidi Sana akumbuke Sheria zinabadilika siku moja atatokea mtu kama magu watu wataanza kunyanga'nywa pesa kwa ajiri ya kusaidia nchi watasema wanaonewa NI za kwao lakini hawatokumbuka kuwa waliibia nchi ngoja siku inakuja pigeni pesa kwa njia rahisi lakini labda mtahama nchi hii maana amini nawaambia watanzania siyo wajinga.
Reli ni sawa tu na barabara mwenye Roli au gari yake ruksa kutumia. watakachofanya ni kulipiaKwani Serikali imeshindwa nini mbona imeweka pesa nyingi sana?