Bakhresa, Mo Dewji na GSM wajitosa kuwekeza kwenye SGR

Cha msingi SGR ifike Mwanza na Kigoma tena kwa haraka ili kuua uchumi wa Kenya ambao wao walidhamiria kuua uchumi wetu japo waliiba mkopo reli yao ikaishia njiani.

Bakhresa biashara ya usafirishaji anaweza nashauri apewe mkopo na kipande cha reli ya SGR Tabora -Kigoma amalizie kujenga na kuwekeza treni zake.

Hapa ndipo tulitakiwa kufika miaka mingi yule mjamaa akawa anazuia.
 
Ngoja mfike kwanza ndio muanze kumlaumu yule mjamaa 🙄
Msianze kukata mbeleko kabla mtoto hajazaliwa 😳
 
Kuna fursa kubwa tena ya wazi kwenye reli ya zamani ya meter gauge kwenye utalii. Inashangaza kuona wote wanaamka na tongo tongo kuikodolea macho TZ_SGR train. Zile steam engines zikifufuliwa pamoja na mabehewa chakavu ya enzi zile, reli ya kati kuanzia DAR-DOM-TBR : MZ/KGM iunganishwe na MV.Liemba kule ziwa Tanganyika, ni circuit ya utalii iliyoshiba matukio ya wiki nzima.
 
Kanji ana taka aichape tren mo kiberit had kwenye vioo
 
Reactions: Cyb
...lakini usivimbiwe
Sasa wanavimbiwa mpaka Mbunge Shabiby naye amesema Bungeni watu wanaiba mpaka kuvimbiwa 😳🙄

Kisha wanajaribu kumhadaa Mama kwamba anaupiga mwingi kumbe wao ndio wanaupiga mwingi kwa kukwapua pesa za Umma 🙄😳
 
Uko sahihi
 
Badala ya kukaa vijiweni kuongelea uhohe have kanunue train na wewe na hohehahe wenzio
 
Fanya research uone USA private railway ni imejengwa na private kweli.

Serikali inamiliki 30% ya railway road pekee na wanatumia sana ‘Amtrak’ kampuni ambayo kila mwaka inapata hasara uwepo wake ni kwa sababu ya subsidies tu.

Huko Europe serikali Inamiliki karibu 100% ndio wanakodisha private kuendesha, hizo conditions zake za kupewa railway line Bakhresa athubutu kuomba tender.

Fixed costs
Mishahara ya wafanyakazi ni wewe (na wanachukuliwa ni public servants).

Pension zao ni wewe na watumishi wa umma mwajiri anachangia kuanzia 25% ya mshahara

Maintance costs ya line ni wewe na non-negotiable hiyo lazima ulipe inavuka £300m in some lines annually.

Train unanunua wewe

Services za train ni wewe

Variable costs
Ni faida tu serikali inaweza kupa kiwango kwa mwaka kwenye hiyo line labda £250m baada ya kulipa kodi ya faida, kilichobaki ndio chako.

Ukichelewesha train ni wewe

Ukikwama njiani mabasi utayakodi wewe kufikisha abiria wanapokwenda, hakuna kulala njiani siku kadhaa huko train ikipata hitilafu

Hapo labda ndio wanaweza punguza kama ujapata faida kubwa wanaweza chukua percentage badala ya £250m kama huna, hiyo baada ya kulipa kodi zao.

Huko kwenye fixed costs hakuna mjadala usipolipa utakutana nao mahakamani utoe kwenye faida zako sehemu nyingine hiyo aina mjadala.

Bakhresa ataendesha train saa ngapi. Wameshaona jinsi alivyogawa bandari basi kila kitu kugaiwa kinawezekana.

Upuuzi wa Tanzania is beyond me.
 
Badala ya kukaa vijiweni kuongelea uhohe have kanunue train na wewe na hohehahe wenzio
Wewe ni mpumbavu 'Shotocan', hebu njoo tena. Machizi kama wewe huwa nina muda nao sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…