Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Kwa mawazo haya wewe ni masikini mkubwa na utabaki kuwa masikini maana kichwa chako kimeukubali umasikini na kuukumbatia! Hata waliokuletea dini watakushangaa.
Unajidanganya sana kuhusu mimi.Mimi sio tajiri kama Bakhresa na wenzake lakini najiweza na sina shida na pesa zake nikijua zimetokana na haramu ya kuwashughulisha watu usiku na mchana kwa mpira.
Kiujumla ni aina ya serikali na uchumi wetu tu lakini watu wenye kuwapotezea watu muda kwa upuuzi wa tamthilia na mpira wangeitwa wahujumu uchumi.
 
[emoji1787][emoji1787]
Biashara haramu anauza ngozi za watu ?!!

Kweli DINI na IMANI ikiwa juu ya mwendawazimu ni JANGA NA MAAFA.....

Iangalie imani yako ndani ya moyo wako....
 
Trust me! Huyo mzee akifa na mambo yake yote yatakufa, just a matter of time.
 
Kumbe alioa limshangazi?
 
Yeye Kajenga miskiti ambayo maelfu ya watu wanaenda kuabudu wewe umewahi hata kununua Carpet kwenye msikiti unaosali? au umewahi kwenda kujitolea hata kufanya usafi tu kwenye msikiti wako unaosali
 
Leo tena viongozi wako wa dini ili kuyapa umaarufu, mwamko na mwitikio mashindano ya wanawake kusoma kuran wameona inanidi kuwashirikisha watu wa soka na kukamilisha hilo wamewaalika wasemaji wa Yanga, Simba na Azam.
Bado utataka kupinga?
 
Kwa hiyo anachofanya yeye hafati Quran na sunna. Na wewe kwa upande wako maisha yako yote ni kwa mujibu wa Quran na sunna.
Kwanini nikeamdika hays. Ni kwasababu asiye na hili ana lile
Mwambie marefa na wachezaji wa kike viwanjani wanavaa ushungi, hiyo inatosha
 
Your own life is your responsibility

Bakhresa's life is his own reponsibility

Stop this nonsense
 
Wenye Maka yao wenyewe wananunua wachezaji kwa mabilioni na ndo waliokuletea dini. Ukijifanya unaijua sana dini (ya kuletewa) utaishia kuwa kichaa.
Makka ni ya Allah peke yake .Hao wengine ni wajinga tu na mwisho wao utakuwa ni mbaya
 
Huna hoja kuhusu unaloliongelea.
Madhumuni ni ujumbe umfikie mlengwa kwa njia iliyo nyepesi.
Unataka nipeleke maombi kwa ajili ya kutoa mawaidha.Enzi zimebadilika kama yeye anavyoweza kuwapotosha mamilioni ya watu kwa dakika moja na kwa wiki nzima.Na mimi naweza kumfikishia ujumbe hata kama amejificha kwenye makasri yake.
Ukisoma kwenye surat Alaq kuwa Allah ni mkarimu basi ukarimu wake ndio kama huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…