Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Wivu mbaya sana yaani wamaskini ni shida unateseka sana sasa wewe unapata faida gani kuwafuatilia
 
mkuu unaamini kuna matajiri wasafi, kwa scale ya watu kama bakhresa na dewji?

mbona naonaga kama wewe ni mtu wa kuhoji...

mleta mada ana uwasilishaji mbovu sema hoja anayo sana tu

kuna mifumo mibovu wanaitumia kujikisanyia mali wasizohitaji

ningekuwa kwenye nafasi yao nisingelalamika ila ukweli unabaki mambo yao yana utata

na huku africa bado tuna ushamba wa kuabudu matajiri tupo tofauti na wenzetu wa ughaibuni, kina bakhresa watakuwa wanakula bata sana
Acheni wivu kwahiyo wewe huna dhambi haujawahi kudokoa hata nyama jikoni! Mnateseka sana
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
hii.jpg


sama leko shee..!
 
Acheni wivu kwahiyo wewe huna dhambi haujawahi kudokoa hata nyama jikoni! Mnateseka sana
mimi sikubaliani na mtazamo wa kidini wa mleta mada

LAKINI

ni kweli kabisa kwamba matajiri wakubwa walio wengi ni wadhulumishaji

Ubepari unaumiza wengi, ndo ulivyo.

Wamarekani wengi wanalalamika sana huko mitandaoni kwamba matajiri wao hawadhibitiwi na serikali, wanajikusanyia mali mwisho wa siku wanashikilia asilimia kubwa ya uchumi.

Fuatilia kuhusu 'wealth inequality'

Sijui hilo linapswa lichukuliwe vipi lakini kimsingi ni ukweli.
 
mkuu unaamini kuna matajiri wasafi, kwa scale ya watu kama bakhresa na dewji?

mbona naonaga kama wewe ni mtu wa kuhoji...

mleta mada ana uwasilishaji mbovu sema hoja anayo sana tu

kuna mifumo mibovu wanaitumia kujikisanyia mali wasizohitaji

ningekuwa kwenye nafasi yao nisingelalamika ila ukweli unabaki mambo yao yana utata

na huku africa bado tuna ushamba wa kuabudu matajiri tupo tofauti na wenzetu wa ughaibuni, kina bakhresa watakuwa wanakula bata sana
Kijana wangu Unabishana na watu ambao hawajui kitu, Matajiri ni Mafia kinoma sana yaani zile habari zao ukizisikia na huwezi kuamini. Pale Bandari ya Dar es salaam biashara yote ya usafirishaji wa majini imekamatwa na Azam, wakija wengine huwa hawatoboi ataenda sana sio zaidi ya miaka 5, Meli zitaanza kuharibika, Wafanyakazi kufanya yasiyotakiwa au kuwa na tabia ambazo hutarajii kama zinaweza kufanywa na binadamu. Kiufupi huyu Bakhersa ni mafia sana kumbukeni hata lile suala la ku hijack ishu ya kusambaza Ngano Congo na Rwanda Azania Groups
 
mimi sikubaliani na mtazamo wa kidini wa mleta mada

LAKINI

ni kweli kabisa kwamba matajiri wakubwa walio wengi ni wadhulumishaji

Ubepari unaumiza wengi, ndo ulivyo.

Wamarekani wengi wanalalamika sana huko mitandaoni kwamba matajiri wao hawadhibitiwi na serikali, wanajikusanyia mali mwisho wa siku wanashikilia asilimia kubwa ya uchumi.

Fuatilia kuhusu 'wealth inequality'

Sijui hilo linapswa lichukuliwe vipi lakini kimsingi ni ukweli.
Unateseka makosa kila mtu anayo hata wewe una dhambi kibao tu acheni matajiri waishi maisha yao hata wewe ukiwa tajiri utasemwa
 
Back
Top Bottom