Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Ukute kwenye familia wewe ndio tegemezi wa kutoa muongozo.

Yani umekaa chini kabisa ukaona hiki kinafaa kuandikwa.

Sijui unatambua kuwa nchi hii ina watu imani tofauti na ya kiislam?
Ndio maana nikamshauri.Hizi biashara nyengine hazimfai yeye.Aache uroho wa mali.
Mali na watoto ni fitna lazima ujilinde.
 
mimi sikubaliani na mtazamo wa kidini wa mleta mada

LAKINI

ni kweli kabisa kwamba matajiri wakubwa walio wengi ni wadhulumishaji

Ubepari unaumiza wengi, ndo ulivyo.

Wamarekani wengi wanalalamika sana huko mitandaoni kwamba matajiri wao hawadhibitiwi na serikali, wanajikusanyia mali mwisho wa siku wanashikilia asilimia kubwa ya uchumi.

Fuatilia kuhusu 'wealth inequality'

Sijui hilo linapswa lichukuliwe vipi lakini kimsingi ni ukweli.
Na mimi nakubaliana na wewe
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Hivi mkuu unashindwa kuelewa kuwa huo mpira umepatia ajira maelfu ya watu!?
Hivi mkuu unashindwa kuelewa kuwa hivyo visimbuzi vimepatia maelfu ya watu ajira??
Hujui kama kuna channel za kiislam ndani ya kisimbuzi hiko hiko??
Mkuu umewaza pafupi sana.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Hakuna watu wenye utajiri wa shirk kama watu wa iman ya akina tajiri huyu. Bila shirk na majini hakuna kitu nawe unalijua vizuri jambo hilo. Sasa unapomwambia huyu tajiri aache fedha haramu atawezaje wakati fedha yake inapatikana kwa kuwalisha majini damu za watu?
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Kila mtu afanye anachoona kwake kina mashiko ilimradi havunji sheria za nchi. Dhambi au wema vinamhusu yeye na Mungu, vinginenevyo ni kuingilia yasiyokuhusu.

Hao wanaoangalia nani kawalazimisha? Nani kakwambia kujenga msikiti ndio tiketi ya kwenda mbinguni?

Acha Bakheresa anachoona kinamfaa.

Vipi kama hana mpango wa kwenda mbinguni, mbona unamchagulia bhana.
 
Shida ni kwamba watu wanaojikuta wanaijua sana dini na Mungu mnawachagulia watu dhambi za kufanya.

Una dhambi zako hauna utakatfu na mzee wa watu mwache na dhambi zake alizochagua zifanya.

Kila mtu hapa duniani ana dhambi zake basi tusichaguliane dhambi za kufanya.

shinda mechi zako na mzee ashinde zake, Kuni tutakutana nazo huko zituchome wote.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Acha wivu.Mambo ya Bakhresa na Mungu wake waachie wao.Fanya yako
 
Ukiwa na kifikra za kuwachukia baadhi ya watu sababu haupo nao imani moja basi moja kwa moja wewe una fikra za kimaskini we endelea kupambana na makafiri wewe ulie mnyoofu (Ama kweli Nyani haoni kundule)
 
Back
Top Bottom