Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Waislamu wahafidhina wa aina yako mara nyingi wana hulka ya uvivu, na utawakuta muda wote wanashinda misikitini huku wakiwa wamevaa kanzu na kufuga ndevu nyingi!! Wanajifanya eti wanaswali na kumtumikia Allah!! Kumbe ni uvivu tu.

Mara nyingi hujikuta wameoa wanawake wengi kutokana na kujifanya kwao ni waswahilina, halafu mwisho wa siku wakishindwa kuwapatia mahitaji muhimu hao wake zao, oamoja na watoto lukuki wanao wazaa na hao wanawake walio wapata kupitia huo uswahilina wao.

Sheikh, badilika! Dunia inakimbia. Acha kuishi kwa mazoea. Wale ndugu zenu wa Uarabuni wanamiliki visima vya mafuta! Jiulize wewe hapo ulipo unamiliki nini! Ndiyo utakuja kugundua njia uliyo ichagua siyo sahihi, na hivyo Bahressa yuko sahihi. Tafuta hela Sheikh ili watoto wako wajivunie mafanikio yako.
Una mawazo ya kidunia sana wewe Tate.Dunia imekushughulisha sana.
Usiangalie kila kitu kwa faida za dunia peke yake utapotea zaidi.
 
Na wewe tafuta mali zako ufanye hayo unayotaka Bakhresa ayafanye. Unampangiaje mtu na pesa yake asee.? Alafu wewe ni mwanaume?🤔
Bakhresha angekuwa yuko sayari ya pekee na viumbe wake ingekuwa sawa.Kumbe mambo yake yote anatutegemea sisi.Lazima atuhurumie na akishindwa kufanya hivyo ni vyema kumshauri.
 
Watanzani wenye asili ya Asia ndio hao hao wanatumika na matajiri wa kisiasa kutakatisha mapesa ya kifisadi kwa kufungua miradi mikubwa mikubwa nchini!

Wanasiasa wamejificha Kwa hao jamaa was Asia!

Kama wasomali kule Kenya wanavyotumiwa na wanasiasa kwenye biashara kuepuka ukabila !!

Usijisumbue na hayo !hiyo Mali ni ya Mzee mwinyi. Hayati na watoto wake ,hao wanafanya kazi tu kwa hisa kadhaa walizowekeza!!

Tuwe smart!
 
We bakresa unamjuwa sana ee aya endelea kumjua ivo ivo, we humjui hata chembe zaid ya kumuona,tuulize sisi wazee wetu waliokulia kariakoo uyo bakeresa akija pale kwake wale wazee wanakuwaga nje pale wanakunywa kahawa ndo wanamjua kimknd mknd wengine washakufa , so yule sio malaika mwache afanye anachojuwa mwisho wa siku kila mtu anajuwa hatima yake
Hayo mawaidha jipe weee na watto wako
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
we kuweza...!!!au donge tu
 
Wewe huna akili,kipi cha maana ulichokiandika wewe zaidi ya kuonyesha chuki ya udini?
Brother tumia akili hata kidogo, nikisema Iddi Amin alikuwa ni detector ntakuwa namchukia?? Nikisema Osama Bin Laden alikuwa ni terrorist ina maanisha namchukia?

Hampendi kusikia ukweli kuhusu mtume wenu😆😆😆 mnatamani kusikia kwamba alikuwa mtu mzuri wakati huo ni uongo wa wazi kabisa, mambo yote niliyaongea yapo kweny vitabu vyenu vya dini, kwaio scribers wa mtume wenu walikuwa wanachukia sio?? Tumia akili dogo

Kama huna kitu cha maana cha kuchangia,kaa na mumeo huko,usituletee takataka zako hapa.
Ukiona mtu anazungumzia sana mambo ya "ushoga ushoga" ujue yanamhusu.
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Kwa mawazo haya wewe ni masikini mkubwa na utabaki kuwa masikini maana kichwa chako kimeukubali umasikini na kuukumbatia! Hata waliokuletea dini watakushangaa.
 
Nani hataki hela? Hata yule unayemsoma sana kwanza alioa boss wake lishangazi lenye hela kisha baadae akatafuta katoto.

Unadhani angeoa njaa kali ungekuwa unamsikia? Hela ya kusafiri uku na kule mwanzoni angetoa wapi. Na uzoefu wa safari za biashara ya mke wake ilimsaidia.
Bwana Mudi huyo siyo?
 
Mungu ndiye aliyetujulisha yapi ni mema na yapi ni madhambi.Ingekuwa ni hivyo basi kusingekuwa na haja ya kuletwa mitume na watu kusoma dini wakapatikana wa kuwaonya wenzao.
Kanuni yako ni kanuni ya kishetani.
"Je, mnawaamrisha watu mema na mnajisahau nafsi zenu, na hali nyinyi mnasoma kitabu? Basi je, hamzingatii?"
Al-Baqarah 44

Wacha unafki shekhe, Mwenyezimungu hapendi wanafki. Je, wewe mpaka sasa mali yako yote imetumika kwa vitu vilivyo halali?.
Ungetaka kumuelimisha Bakhresa ungemfata umwambie, hapa unaongea sisi ni Bakhresa???? Hii wazungu wanaita Hypocrites, kutumia dini ya Mwenyezimungu kwa matakwa yako binafsi ni uovu.
Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu sio dini ya mjomba ako uhukumu watu kama unavyotaka wewe. Majnuun!!!
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,
Wewe mtoa mada umefanya nini ?
 
Back
Top Bottom