Hivi nyie mnajikuta kina nani?Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kwani Dini Yako Inaruhusu Mwanamke Kujiunga Na Jeshi?Jibu Kwanza Hili.Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
katika vita ya maisha adui hajui wewe kama mwislamNimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Ukifika getini wanasisitiza 'Jeshi hakuna dini'
Pia sio lazima kwendq jeshi hujalazimishwa.
Pamoja na yote zile nguo kwnye mitikasi na mikiki ya jeshi wala hutowatamani kabsaa Serengeti
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Waambie waache kwenda JkT hawalazimishwi!
Bwashee kila kitu mnataka nyie tu? Hebu sisi Wagalatia tupeni break tupumue!Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Tatizo mnataka kuingiza mambo ya dini Kila mahali
Jeshini hakunaga mambo ya dini kwenye itifaki zake.
Kwani usipo enda unakamatwa?Kwa taarifa nilizonazo ni kuwa ni wajibu kuhushiria.
Wakivaa hizo hijabu wanatulia? Hebu ropoka tukupe ushahidi wa maduduKatika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Kwani vijana WA kiislamu jeshini, waajiriwa wanavaa hijab, tuanzie hapo KwanzaNimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
napia katika jeshi haliitaji kuruta kuwa na nywele ndefu, kwahiyo utaamua ww kumpeleka mwanao jkt akapate mafunzo au ubaki nae nyumban ,halafu usisemee uisilamu tuu kule hata wasabato jmos wanapiga kazi kama kawa .Elewa tuu ukifika tuu getini unaambiwa mule ndani hakuna dini, utakutana na nembo pale ina neno moja tuu UMOJA.Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Kwamba waende parade na hijab sio?! HahaaNimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.
Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.
Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.