BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Mtoa mada mimi naona hapa umeingia chakike mtoto wa kiislam haswa mwanamke sio JKT,JWTZ wala Polisi na vikosi vyote hafai hata kwenda huko kujiunga na hivyo vikosi wapambanie tu kazi nyengine. Dini ya kiislam iko deep sana na kumlinda mtoto wakike kwenye mavazi na sheria zenginezo za kuchangamana na jinsia ya kiume kama mimi siwezi mruhusu mwanangu wakike aende huko labda kwa matakwa yake.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Daah! Kichwa kisicho na maarifa ni mzigo KWa shingo
 
Mmeuza bandari sasa mnataka kutuharibia na jeshi letu
 
Tumeamua kufata serikali isiyo na dini. Haya ndio madhara yake kwa waislam.

Kuondoa fitna hii tutafute au kuanzisha chama kitachounda serikali za dini zote. Lengo si kuanzisha serikali za kidini laa, Lengo ni kulinda tamaduni, ibada za dini zote.

Binti wa kike kuvaa uniform sawa na imani ya dini ni kumpa haki yake ya kuabudu. Lkn kwa tz halindwi bali hudhibitiwa.

Bahati mbaya jambo hili nitapingwa hata na chama MBADALA chadema.

Lkn ktk nchi zinazolinda dini zote; wasichana wako huru kujisitiri
Mtazoea nyie..huwa mkikubaliwa moja mnadai na lingine...kila kitu mnahisi kuonewa....ukitaka uishi kwenye serikali inayoendeshwa kidini hamia somalia..wala sio mbali
 
Mtazoea nyie..huwa mkikubaliwa moja mnadai na lingine...kila kitu mnahisi kuonewa....ukitaka uishi kwenye serikali inayoendeshwa kidini hamia somalia..wala sio mbali
Tunahitaji kuwe na serikali ya dini zote. Lengo si kuendesha serikali inayoendeshwa kidini. Bali Lengo ni kutopendelea dini yyt.

Itikadi ya sasa ya serikali isiyo na dini kuendelea baadhi ya dini.
 
BAKWATA sio chombo cha waislamu ndugu zangu hiki ni chama kilianzishwa na nyerere kuja kuuwa uislamu, BAKWATA NI ROMAN CATOLIC walivaa kanzu na kofia kujificha kuwa wao ni waislamu
 
Hoja yako ina mantiki kubwa mkuu lakini tujiulize je serikali yetu ni ya kislamu au inaegemea kwenye upande wowote wa dini? kama haiegemegei kwenye dini yoyote basi .ya serikari tuiachie serikari ya Mungu tumwachie Mungu

serikali yetu ni ya kikiristo
 
Tunahitaji kuwe na serikali ya dini zote. Lengo si kuendesha serikali inayoendeshwa kidini. Bali Lengo ni kutopendelea dini yyt.

Itikadi ya sasa ya serikali isiyo na dini kuendelea baadhi ya dini.
Serikali haina dini..hii ni kwa mujibu wa katiba
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Hakuna udini jeshini. Kule ni kazikazi
 
Jeshi halina dini .....ukiwa soldier ukitakiwa kuua utafanyaje na imani yako ya dini ? JKT sio lazima
 
Kule ni jeshini. Hawaendi kwa tiketi ya dini. Dini unaiacha nyumbani kwenu. Siungi mkono kama Kuna maovu yanatendeka huko dhidi ya yeyote. KWA MTAZAMO WAKO UNATAKA HATA ASKARI WA KIKE AVAE HIJABU BADALA YA CLAUN, AVAE KANZU NDEFU BADALA YA SURUALI AU SKETI. TOKA KWENYE HILO BOX LA DINI, IBAKIE SWALA NA MATENDO MEMA TU

nenda chechenia uone wanawake wakiwa na nguo ndefu jeshini na ni makomandoo, nenda palestina nenda indonesia nenda afghan stan nenda pakistani kote huko wanajeshi wanawake wamevaa hejabu na wanauwezo wa kupigana na nchi za africa kwa masaa na kuteka nchi nzima bila kujumuishwa na wanaume ni wanawake tu, kunyolewa kipara sio kuwa utakuwa mwanajeshi mkakamavi kuvaa kaptula hakusaidii kuwa utajua mbinu za kivita nenda ka google jeshi la tanzania katika africa ni la ngapi kwa uwezo:
IMG_1134.jpg
 
Sasa muarabu anaingia wapi kwenye hilo swala [emoji848][emoji848]
Nchi hii ni ya watu wote wa dini zote. Nilikua namjibu yule anaetulazimisha tuishi bila ya matakwa ya dini yetu kwasababu Sheria iko hivyo na kama hatuwezi tukahamie Afghanistan ambako sheria zao ni rafiki kwetu.
Ndio nae nikamjibu vile kwakua nafahamu ISLAMOPHOBIA wakiona au kusikia MWARABU chupi sehemu ya nyuma hua zinachafuka.
Si unajua bandari amepewa MWARABU aziendeshe na kuzisimamia? Sasa inakuaje hapo na ndio hatuwezi kuvumiliana Wala kustahamiliana, wahame tu nao waende hizo nchi.
 
nenda chechenia uone wanawake wakiwa na nguo ndevu jeshini na makomandoo nenda palestina nenda indonesia nenda afghan stan nenda pakistani kote huko wanajeshi wanawake wamevaa hejabu na wanauwezo wa kupigana na nchi za africa kwa masaa na kuteka nchi nzima bila kujuishwa wanaume ni wanawake tu, kunyolewa kipara sio kuwa utakuwa mwanajeshi mkakamavi kuvaa kaptula hakusaidii kuwa mkakamavu nenda ka google jeshi la tanzania katika africa ni la ngapi kwa uwezo
Ukiendelea kupima uwezo wa kijeshi kwa google utaendelea kula matango pori.
Duniani kuna nchi ngapi?
Ngapi kati ya hizo wanajeshi wake wanavaa hijabu nitajie japo 20 tu.
Tuache udini na upumbavu kwenye masuala ya ulinzi wa taifa
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Kuna Viumbe Duniani Vinaishi lakini walitakiwa Wasiitwe Binadamu bali Viumbe Vingine. Kwani umewahi Sikia Wapi Jeshini kuna Utaratibu wa Dini Flani au Umewahi Sikia Wapi Jeshini unafundishwa kubembeleza au umewahi Sikia Wapi Jeshini wanajenga Imani yako.
Jeshini unajengwa Uzalendo kwa Nchi yako na Siyo Uzalendo kwa Dini yako. Ni Muhimu Sana Kutoingiza Maswala ya Kidini Jeshini ndiyo Maana unaambiwa Ya Kaisari Mpe Kaisari na Ya Mungu Mpe Mungu na Ndiyo maana Jeshini hauendi kwa Ufaulu Mzuri wa Biblia au Quran au Liturujia au Pambio au Kaswida ila kwa Ufahuru wa Elimu Dunia au Kitaaluma. Hii Dunia tukiendelea kuwa na Vizazi vyenye Mtazamo kama Wako lazima utaanza Kushawishi Jeshini nako waende Mashogggg.
Dini Ipo lakini acha kuingiza udini kwenye Masuala ya Jeshi na Kitaifa
 
Mnawezaje kumjibu majibu marefu huyu mweka mada..? Ati mnamwambia kabisa jeshini haitakiwi hijab!.. kwa mtu mwenye ufahamu makini hawezi kuuliza swali lakipuuzi hivi! Mweka mada we ni pimbi tu Usiekuwa na akili pana!
[emoji23][emoji23][emoji23]
kabisa..
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
nina mdogo wangu wa kike aliambiwa aende jkt baada ya kumaliza form six tumemwambia asiende sasa hivi yupo home anasubir muda ufike aende chuo
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Sijibu kwa kutetea au kukosoa dini fulani.

Ivi ukivaaa io hijab dela na mashungi shungi utaweza kutambaa chini, uroll na kuruka kichurachura umwagiwe maji upite kwenye tope ... nk

Muda wa kwenda saluni kuosha nywele utatoa wapi huoni kama utakua mchafu... afu ikitokea varangati utapata wapi muda wa kutetea misimamo kwamba msichana avae ivi au vile maana hata mwanaume unaweza vaa skirt ukimbie😆
 
Back
Top Bottom