BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Hakuna muisilamu hata 1 anaeitambua imani yake na kuifuata akawa akajiunga kwenye majeshi wala siasa hawa wanawake na wanaume waliojiunga huko kwanza ukiwafuatilia vizuli huo uisilamu kwanza hawautaki pia hawajui na hawataki kuujua pia serikali aijawalazimisha kwenda huko
 
Sasa unataka watoto wa kike wakapige kwata huku wamevaa hijab?! Is it practicable?

Hata wakivaa suruali najua kwenu itakuwa haitoshi, kwasababu bado maumbile yao yataonekana, sasa unataka wavae vipi?
Jkt hakuna biti wa kiisilamu hata 1 ila kuna majina yakina hadija tu
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Lini serikali ililazimisha waisilamu kujiunga jkt?njaa yao ndio inayo wapeleka huko na kupinga kufuata mafundisho ya dini yao huku kwenye majeshi hakuna waisilamu bali kuna majina ya kiisilamu tu
 
Kamanda, don't panic! just improve your argument!

Usishindwe kujadili hoja na kukimbilia kumpachika mtu sifa mbaya, eti "unaligawa taifa", "una ajenda nyuma ya pazia" ... nonsense!!! Ikiwa baadhi ya western countries wanafika mbali kuruhusu polisi wa kike ambao ni minority group (Muslims) kuvaa hijab nini ajabu katika nchi yetu iliyo katika balanced ratio?


Hii inadhihirisha udogo wa akili yako. Nani amekwambia jeshi lipigwe marufuku? kama ni watu kujulikana tu hata majina pia yanawajulisha wengi tu ni wa dini gani, mbona jeshi halijasema ukiingia jeshini unafutwa jina lako la dini flani na kubatiza watu majina mapya?

Kuwa open minded, if u have a stronger argument then ur argument will prevail not otherwise.
Unaandika upumbavu, unaonywa, Bado unaendelea kuutetea upumbavu wako, huku ukijihesabu kuwa ni mmoja kati ya watu wajuaji na mwenye misimamo. Nimekuuliza na ungenijibu Ili uoneshe upumbavu wazi. Je, mkristo akivaa kama mkristo jeshini, Rasta farrian akivaa kama Rasta farrian jeshini, Budha akivaa kibudha jeshini, muislamu AVAE kiislamu jeshini, mashahidi wa Jehova wavae Yale mapama Yao jeshini, nk. Je kutakuwa na JESHI hapo au maonesho ya kidini?. Jione jinsi ulivyo mjinga. Au unaka waislamu TU ndio wapewe nafasi ya kuvaa kama waislamu???.
 
Unaandika upumbavu, unaonywa, Bado unaendelea kuutetea upumbavu wako, huku ukijihesabu kuwa ni mmoja kati ya watu wajuaji na mwenye misimamo. Nimekuuliza na ungenijibu Ili uoneshe upumbavu wazi. Je, mkristo akivaa kama mkristo jeshini, Rasta farrian akivaa kama Rasta farrian jeshini, Budha akivaa kibudha jeshini, muislamu AVAE kiislamu jeshini, mashahidi wa Jehova wavae Yale mapama Yao jeshini, nk. Je kutakuwa na JESHI hapo au maonesho ya kidini?. Jione jinsi ulivyo mjinga. Au unaka waislamu TU ndio wapewe nafasi ya kuvaa kama waislamu???.
We ungekuwa karibu ungeshanipiga tayari inaonekana!!!

Basi bwana yaishe!
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Huna akili kabisa na kwa ujinga huo unaowaza huna elimu wala kazi. We ni mzigo kwa taifa.
 
Mnawezaje kumjibu majibu marefu huyu mweka mada..? Ati mnamwambia kabisa jeshini haitakiwi hijab!.. kwa mtu mwenye ufahamu makini hawezi kuuliza swali lakipuuzi hivi! Mweka mada we ni pimbi tu Usiekuwa na akili pana!
Sahihi
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Hata hivyo kuna group jingine linaathirika kupitia kuchinja.

Ya serikali tuyaachie serikali ya dini tuyaache kidini,tusichanganye mambo kwani baadae sana yatakuja kutuchanganya sana na tusijue wapi tuanze kutatua.
 
Hawakulazimishwa kwenda JKT.Kwa hiyo sio dharura kwa mabinti wa kiislamu.Lakini pia wengi waendao huko ni wale waislam 'kwa majina tu';wala hawajitambui.Na hao BAKWATA naisikia wakati wa kutangaza mwezi na kwenye kamati ya amani.
 
Back
Top Bottom