Ninachojiuliza mimi kwani wameshindwa kuzisimamia wao wenyewe hadi waombe msaada wa serikali. Hawa ndugu zetu kila kitu wanalalamikaHapo ndipo tunapowashangaa ndugu zetu bakwata hivi tende Tani 50 zinamsaidia vipi muislamu wa TANZANIA?
hawa waarabu nao sijui waliwaza nini Hadi kuja kudampo tende
Mashehe walishawahi lalamika gharama kubwa ya tende kwa mama samia. Acha bas wasaidiwe๐Hivi hawa waarabu wanawachukuliaje watanzania, msaada wa tende unamuondolea vp umaskini mtanzania wa kawaida any way mleta mada hii keshi kwa mh rahisi naona umemuonea kwa maana ana mambo makubwa sana ya kitaifa embu jipangeni muende kwa mufti mkuu
Eh! Kumbe kwani wao wanataka ziuzwe shingapi? Mana huku nilipo nanunua bei kidogo eni wei ngoja tuone mama atafanyaje labda anaweza akazinunua kwa bei ya jumla alafu akazigawa buree kwenye masjidii zetuu[emoji13]Mashehe walishawahi lalamika gharama kubwa ya tende kwa mama samia. Acha bas wasaidiwe[emoji3]
Sijui wanataka kwa sh ngapi ila bei iliyopo ni kubwa hasa kipindi Cha ramadhan wanatesekaEh! Kumbe kwani wao wanataka ziuzwe shingapi? Mana huku nilipo nanunua bei kidogo eni wei ngoja tuone mama atafanyaje labda anaweza akazinunua kwa bei ya jumla alafu akazigawa buree kwenye masjidii zetuu[emoji13]
Zinakaribia ku expire ukiona hivoHapo ndipo tunapowashangaa ndugu zetu bakwata hivi tende Tani 50 zinamsaidia vipi muislamu wa TANZANIA?
hawa waarabu nao sijui waliwaza nini Hadi kuja kudampo tende
Sasa mimi natoa wazo serikali inunue tende za jumla makontena na makontena alafu igawe bure kipindi cha ramadhani maana serikali yaweza jipatia swahabu si wajua serikali aina dini sasa ndio pakujichukulia swawabu hapaSijui wanataka kwa sh ngapi ila bei iliyopo ni kubwa hasa kipindi Cha ramadhan wanateseka
Sawa ujumbe umefika ila utambue kuwa Ponda si Mtanzania na haruhusiwi kuongea na Mh. rais akiwa yeye bado mkimbizi aishiye nchini kinyume na seria.mh rais mama samiha suluhu nikuomba ukikutana na viongozi wa bakwata naomba uwaulize zile tende wamepewa na ubalozi wa saudi arabia tani 50 wazipeleka wapi? mbona tunaziona mitaani zinauzwa hela zinaenda wapi ? mama naomba serikali iwe inasimamia misaada ya tende na nyama kutoka nchi za kiarabu igawie mayatima na kusambaza kwa waislamu wasiojiwez. pia nakuomba ukikutana nao basi muombe na ponda aje kwenye mkutano huo ili nae atoe hoja zake View attachment 1829571
Kwani hao wanaouza tende za kugawa bure wao hawataki swawabuSasa mimi natoa wazo serikali inunue tende za jumla makontena na makontena alafu igawe bure kipindi cha ramadhani maana serikali yaweza jipatia swahabu si wajua serikali aina dini sasa ndio pakujichukulia swawabu hapa
mkuu kwako wewe waihitaji ni waislamu tu?,umejawa udini sanaigawie mayatima na kusambaza kwa waislamu wasiojiwez. pia nakuomba ukikutana nao basi muombe na ponda aje kwenye mkutano huo ili nae atoe hoja zake View attachment 1829571
Fursa fursana..mh rais mama samiha suluhu nikuomba ukikutana na viongozi wa bakwata naomba uwaulize zile tende wamepewa na ubalozi wa saudi arabia tani 50 wazipeleka wapi? mbona tunaziona mitaani zinauzwa hela zinaenda wapi ? mama naomba serikali iwe inasimamia misaada ya tende na nyama kutoka nchi za kiarabu igawie mayatima na kusambaza kwa waislamu wasiojiwez. pia nakuomba ukikutana nao basi muombe na ponda aje kwenye mkutano huo ili nae atoe hoja zake View attachment 1829571
Aay back Moshi nadhani mpka sasa inaendeleaduh aiseee hadi tende zinaletwa kwa msaada!!?
Aay back Moshi nadhani mpka sasa inaendelea
Kuna misaada ya electronic used kama fridges etc zinatumwa afrika kama misaada kutoka arabuni ila unayakuta yako sokoni๐ ๐
Religious organizations na NGOs kwangu nawarefer kama development partners kama wafanya biashara wengine. Means lazima nipate something tangible in return
Nadhani ndivyo sehemu yaasili yake hiyo mpendwa. Yale tunayoyajua โwanyongeโ deep down ni inverse proportion ๐๐Ndo wanaoongoza kwa kuchukia kodi. Asilimia kubwa ya Watu wa dini wamegeuza misaada vichochoro vya kukwepa kodi baada ya kubwanwa kelele zikawa nyingi sana
Tende ile pea mzee. Ukiingia mjini tu kilo si chini ya elfu 7.Hahha ila hii nchi duh yaani tunapewa hadi misaada ya tende hahaha sasa hizo zinasaidia nini?
Na mtu analalamika et mh rais , Yani hadi issue ya tende rais duh
Anyway : SALAMAREKO ๐
Tundu takatifu ni moja tu nalo ni kitumbuaNihaki yetu sisi waislamu tulalamikie hizo tende coz ni tundu takatifu kwetu na limebarikiwa kuliko matunda yote
Vipi msaada wa condom za wazungu na ARV zina msaada upi labdaHivi hawa waarabu wanawachukuliaje watanzania, msaada wa tende unamuondolea vp umaskini mtanzania wa kawaida any way mleta mada hii keshi kwa mh rahisi naona umemuonea kwa maana ana mambo makubwa sana ya kitaifa embu jipangeni muende kwa mufti mkuu
Hapa JF yupo Mufti Lion.Wamkabidhi lalamiko hilo๐๐๐๐๐Hadi issue ya tende mama ndio asuluhishe? Hebu kuweni serious kidogo. Malizaneni huko huko misikitini. Mama ana kazi kubwa za kitaifa, hizo petty issue mpelekeeni mufti.