AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Shukran mkuu, ila tukijaaliwa tuelimishane ili tusijedharau tunu zetu za thamani.Nina mawanda marefu sana kuhusu hili naomba niishie hapo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran mkuu, ila tukijaaliwa tuelimishane ili tusijedharau tunu zetu za thamani.Nina mawanda marefu sana kuhusu hili naomba niishie hapo mkuu
Unajua apple wewe,adam mwenyewe alisalimu amri alivyopewa na hawa sijui eva,tende sio tunda ni mbeguHuku unaponda na kule unapongeza.
Mudy jangwani kala tende kwa kudra ya ALLAH, tende tunda lililo barikiwa kuliko matunda yote mti wake unastawi jangwani kuliko mparachichi, muembe na mzabibu
Sasa Unataka wapewe kanzu?Hapo ndipo tunapowashangaa ndugu zetu bakwata hivi tende Tani 50 zinamsaidia vipi muislamu wa TANZANIA?
hawa waarabu nao sijui waliwaza nini Hadi kuja kudampo tende
labda nyama za ngamiaHivi nyama si inatoka hapa kwenda uarabuni!!!? Inakuwaje tena iletwe huku kama msaada?
Kati ya zinazobaki, grade one huwa zinauzwa ,hawazigawi bure, zile reject ndio zinagawiwa bure Afrika. Pia hao ng’ombe hununuliwa na mahujaji wenyewe, sio SaudiMkuu, huwa inakuwa hivi, panapofanyika ibada ya Hijja kuna sehemu katika ibada hiyo kipengele cha kuchinja, sasa tafakari ule mjumuiko woote kila mmoja ni lazima achinje hebu nambie kutakuwa na nyama kiasi gani? jibu ni kuwa kutakuwa na tonnes za nyama na haiwezekani kwa saudia peke yao kula kiasi chote cha nyama hiyo na ndio maana zinagawanywa katika baadhi ya nchi kama sadaka na si kama wanazidump huku kwetu, ninaamini safari hii hazitokuwapo kwa kuwa hijja imezuiwa kutokana na covid.
Ni kwa dhana hiyo mkuu na si vinginevyo
Sawa mkuu, nimebase zaidi kwenye nyama, ni kweli kabisa mahujaji hununua wenyewe mifugo lakini baada ya kufanya ibada ya kuchinja kichinjwa hubakia kule na serikali ndio hushughulikia na mwisho wa siku nyama hugawanywa katika mataifa mbalimbali nasi ni wamojawapo mkuu, tatizo ni walokuwapo mbele.Kati ya zinazobaki, grade one huwa zinauzwa ,hawazigawi bure, zile reject ndio zinagawiwa bure Afrika. Pia hao ng’ombe hununuliwa na mahujaji wenyewe, sio Saudi
Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu, mwenye kuijua vizuri historia ya nchi yetu na amani yake, HAKUNA CHOMBO AMBACHO KINASTASTAHILI HESHIMA KAMA BAKWATA. MUNGU AENDELEE KUWALINDA NA KUWAONGEZEA HEKMA VIONGOZI WA BAKWATA
Huyu si muislam aloandika,watu wa humu wanajulikana sanaHadi issue ya tende mama ndio asuluhishe? Hebu kuweni serious kidogo. Malizaneni huko huko misikitini. Mama ana kazi kubwa za kitaifa, hizo petty issue mpelekeeni mufti.
Alaykum salaam shekh.Asalam waleikum Sheikh ..!