Bakwata uislaam huo mmeutoa wapi? Kumbukeni moto ni mkali sana mtaenda chomwa

Ungepita tu, mambo ni mengi kuna kuchukua fomu za kugombea.

SGR ,Stand ya Dodoma,Tanzania kuwa uchumi wa kati ...Kina Tale msiba na kuhamia kijijini.

Vitu vingi mno hukuona Heading ya uzi?
 
Hapa una uhakika napo kiongozi?
Mimi nazungumzia suala jingine wewe waleta mada nyingine. .. Kama sio wewe anzisha uzi wa hilo jambo tulidiscuss na uje na hoja za sio...
 
SISI WAISLAAM KUNA HOJA ZILIZO WAZI KABISA KUWA IPO SIKU TUTAFUFULIWA NA KUPEWA HESABU ZETU. .. WEMA PEPONI WAOVU MOTONI. ..

HATA HAO BAADHI WA BAKWATA NI MOTONI...
 
Nataka kufahamu kuwa huo ndiyo utaratibu rasmi wa Bakwata au ni utaratibu wa waliyomo Bakwata?
Kama suala lipo bakwata wilaya na wana bank account kwa ajili ya malipo, kwahiyo unataka ujifanye kipofu kumbe waona?
 
KUNA KAUTARATIBU KAPYA WAMEKAWEKA HAO BAKWATA. ..

KISHERIA NDOA YA KIISLAAM INAHITAJI MAMBO HAYA ILI IFANYIKE NA IPITE:-
1. Uwepo na KURIDHIANA kwa Muoaji na Muolewaji(Hakuna kulazimishwa katika dini ndio maana hakuna ndoa ya mkeka katika uislaam)
2. Uwepo wa Msimamizi wa Binti (Muolewaji) (tunaita WALII anaweza akawa Baba, kaka au IMAM)
3. MAHARI(Ni mali ya binti hiyo pekee yake)
4. MASHAHIDI ZAIDI YA WAWILI WA KIUME.
5. TAMKO LA KUOZESHANA("umekubali kumuoa? " " ndio nimekubali kumuoa au nimemuoa")

NDOA IKIKIDHI VIGEZO VYOTE HIVYO BASI MBELE YA ALLAH NA SHERIA YA UISLAAM NDOA HAPO IMEPITA HATA KAMA MPO WATANO TU.. .

Lakini ndoa inaweza ikakidhi vigezo vyote hivyo ILA BAKWATA WASIITAMBUE HIYO NDOA MPAKA UMPATE SHEIKH WAO AWEPO KWENYE NDOA NA LILE BANGO LAO LA NDOA(wanaita shahada)
Wakaweka na kautaratibu SHEIKH ATAKAYEKUWEPO ALIPWE SH. 50000/- NA LILE BANGO ILI UPEWE NALO 50000/-.

JE HAPO HUMKIMBIZI MTU KUOA KWA AJILI YA TAMAA ZENU ZA DUNIA... MAMBO AMBAYO KWENYE DINI HAYAPO NYIE MNAYASHIKIA KIDETE...
 
VIZURI NIMZUSHIE ILI IWEJE WAKATI MIMI MWENYEWE NIMEFUATILIA KESI IMEANZIA BAKWATA KATA MPAKA WILAYA.. . WEWE NDIYE UNAYEDHANI SHARI BAADA YA KUKUJIA HOJA ZILIZO WAZI...
 
ingekuwa busara kama ungefuata utaratibu wa kuwasilisha malalamiko au kero zako ktk ngazi inyayo husika, unacho kifanya hapa hakina tija yoyote kwako, kama kweli unania ya kujenga fuata utaratibu
 
UISLAAM UMEWEKA UTARATIBU WA KILA KITU NA UISLAAM UNAENDA NA WAKATI...

Viongozi wanaosimamia dini wamewekewa utaratibu wa kujipatia kipato. .. Nao ni zakaa na swadaqah. ..

Lakini hawa hawaridhiki wakajiongezea na namna nyingine za upigaji na wala hazipo katika taratibu za uislaam

Wakati wa Mtume, kesi hizi zilikuwepo na pesa zilikuwepo, ila Mtume alipelekewa kesi na hakudai hata senti iwe kwa mume au mke... INA MAANA MTUME ALIKUWA HANA GHARAMA ZA UENDESHAJI?

Unatumia akili kwenye mambo ya dini. .. Eti mwanamke anayehitaji talaka hashindwi kutoa 45,000...HIVI UNAIJUA SHERIA YA DINI INATAKA MWANAMKE ATENDEWE NINI?

MWANAMKE MPAKA ADAI TALAKA KWA QADHI NI KWAMBA KWA MUMEWE HAITOKI NA KUNA MGOGORO. ..

CHUKULIA MWANAMKE NI MTU WA KUKAA NYUMBANI TU... HIYO HELA YA KUWAPA BAKWATA APEWE HAKI YAKE YA TALAKA ANAITOA WAPI...?

USILOPOKE LOPOKE USILOLIJUA UNAONGEA DHANA T. ..
 
Hivi mahakama za khadhi zimeshaihinishwa?

Naona mleta mada anazungumzia mabaraza ya usuluhishi ya ndoa.

Navyofahamu bado mamlaka ya kuvunja ndoa yapo kwa mahakama.
 
Hilo swali ungemuuliza mleta mada kwamba anao ushahidi wa hicho alichokisema??, baada ya majibu yake ndipo tutaenda mbele zaidi kujua je sheria za kiislamu zinaruhusu jambo hilo nk.
Ushahidi ninao wa malipo ya benki ya posta. ..
 
Ahsante sana...
 
KATIKA SHERIA KUNA KITU KINAITWA RADD... MTU ANASAHIHISHWA KWA KOSA ALILOLIFANYA HADHARANI.. .

YAANI UKOSEE HADHARANI KWA KUWAPOTEZA NA KUWADHULUMU WATU.. . ETI TUKUONYE KWA SIRI...
 
Na je wao pia wamefungua mlango wa nasaha?

Watu wameitanguliza dunia mbele Je wataona umuhimu wa nasaha. . .
 
ANAYEMHUDUMIA MWANAMKE NI MUMEWE. ..
Kulalamika kwa waislam ni kawaida
Wewe kama muislam umetenga kiasi gani katika pato lako la mwezi kusaidia,yatima,wajane na watalikiwa?
Hao mashekhe pesa wanapata zaidi ya kupiga fatha na kupewa asante?
Mkiambiwa talaka katika uislam ni jambo gumu sana muelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…