BAKWATA wana haki kisheria kugawa mali za wanandoa baada ya kuvunja ndoa?

BAKWATA wana haki kisheria kugawa mali za wanandoa baada ya kuvunja ndoa?

Cathy Diwani

Senior Member
Joined
Feb 13, 2016
Posts
120
Reaction score
185
Salaam wakuu,

Mdogo wangu ndoa yake imevunjwa na baraza kuu la Waislamu(Bakwata) kupitia kwa kadhi wa baraza hilo mkoa fulani huku Bara.

Baada ya kuvunja ndoa hiyo baraza hilo linataka mdogo wangu na mtalaka wake watafute watathmini wakakague mali walizochuma kwenye ndoa ili baraza hilo ligawe hizo mali. Wakati huo mwanaume amezuia documents zote zinazohusiana na hizo mali, na analiambia baraza hilo kuwa hizo mali amepewa na baba yake, wakati ni nyumba na viwanja na mashamba ambayo wamefanya biashara wakajenga na kununua akiwa na mke wake.
Na wamehukumu pia watoto wabaki kwa baba kwani watoto ni wakubwa na mke hana uwezo kiuchumi wa kuwalea. Wametoa hiyo hukumu huku hawajawahi kujadili chochote kuhusu watoto baada kuvunja ndoa hiyo.

Mdogo wangu ameomba apewe barua aende mahakamani ili mahakama ikasimamie mgao wa hizo mali pamoja na malezi ya watoto, baraza hilo linamzungusha, kuwa kama hataki baraza ligawe hizo mali atahukumiwa kuwa amekataa maamuzi ya mahakama ya kadhi na hivyo si mwislamu tena.

Anaomba asaidiwe, je wanachofanya Bakwata kutaka kugawa mali za wanandoa hao na kuhukumu kuhusu malezi ya watoto ni sawa?

Kama ni sawa, akikataa baraza hilo kugawa hizo mali aende mahakamani afuate utaratibu gani? Ana hati ya kuvunjwa ndoa kutoka Bakwata, lakini hawataki kumpa fomu namba tatu aende mahakamani.

Afanye nini mpaka hapa?

Natanguliza shukrani.
 
SHIDA YA HAO BAKWATA NAO ELIMU YA DINI NI CHACHE...

SASA NINAKUPA MAJIBU AMBAYO NI KWA MUUJIBU WA SHARIYA YA KIISLAAM... WEWE NA DADA YAKO MTAANGALIA MTAFUATA AU LA.

1. Hongera ndoa imevunjwa na Qadhi(kwa sababu huenda Mume alikuwa mbishi kutoa talaka na mapenzi yaliisha au mateso yalikithiri).

2. Pole ndoa imevunjwa na Qadhi( kwa sababu ndoa iliyovunjwa na Qadhi huwa hamna kurudiana milele, bora Mume utoe talaka tu una mlango wa kurudiana hata kwa kuoana tena). HAYA UNABIDI UYAJUE BINAFSI... USISUBIRI MPAKA QADHI AKUSIMAMIE HILI.

3. Kuhusu watoto, SHERIA inaelekeza pale ambapo wanandoa wametengana... Malezi ya watoto yatazingatia maslahi ya mtoto kutoka kwa mzazi husika... Sio lazima wabaki kwa baba au mama tu... Ila katika uislaam WATOTO NI WA BABA... Ndio maana kwa mke aliyeachwa anaweza akadai MALIPO YA KUNYONYESHA MTOTO WAKE... Japo wengi wanafanyaga kwa mapenzi na huruma kwa watoto wao tu.

Kama mtoto bado ananyonya na maadili yapo vizuri basi atakaa na mtoto mpaka akimaliza atamrejeshea baba yake, nalo vilevile litazingatia maadili ya baba, anaweza asipewe vile vile baba au mama kama maadili ni mabovu.

4. Kuhusu mali, katika sheria ya kiislaam tunatambua mali halali aina tatu za wanandoa;-
  • Mali ya Mume(itabaki kuwa ni ya mume ndani ya ndoa mpaka nje ya ndoa haibadiliki.)
  • Mali ya Mke( itabaki kuwa ni ya mke kwenye ndoa na baada ya ndoa)
  • Mali ya Mke na Mume-wote ( hii ni partnership, kwamba kila mmoja amewekeza mchango wake moja kwa moja iwe ni MTAJI WA MALI, NGUVU AU JITIHADA - NA HII HUGAWANYWA KULINGANA NA KIASI CHA MCHANGO ALIOUTOA KWENYE UTAFUTAJI WA MALI HIO.)

🎈Uislaam hautambui mali zifuatazo;-
  • Mali inayotajwa kuwa "AMEIPATA NIKIWA NAE KWENYE NDOA" (Wewe sema unataka kumdhulumu mwenzio) MDHULUMU TU.
  • Mali inayotajwa kuwa imepatikana "BAADA YA MUME KUMRUHUSU MKE AFANYE KAZI" - HII NI DHULMA.
*ZOTE ZINAZOENDA KINYUME NA ZILE AINA TATU NILIZOTAJA KUWA UISLAAM UNAZITAMBUA... HIZO NI DHULMA.


MWISHO ZINGATIA;-
NI KWELI KUWA KATIKA UISLAAM... UKAHUKUMIWA KWA SHERIA SAHIHI ZA KIISLAAM ALAFU WEWE UKAONA SHERIA YA KIISLAAM HAIJAKUTENDEA HAKI... UKAENDA KUTAFUTA HAKI NJE YA UISLAAM... BASI UMETOKA KWENYE UISLAAM AUTOMATICALLY (Utasilimishwa upya).

Hilo haliwi pale ambapo Qadhi amekuhukumia suala lako kimakosa tofauti na sheria sahihi inavyotaka... Unaweza kutafuta wataalam wengine wa sheria ya kiislaam au Qadhi wa juu yake aipitie upya sheria na suala lako...

KWAHIYO DADA YAKO ATAPIMA KUPITIA MAELEZO HAYA... KAMA NI MCHAMUNGU ATACHAGUA KUNYOA AU KUSUKA INSHAA ALLAAH...

Ukitaka ufafanuzi zaidi njoo inbox nikupe namba nikuelekeze cha kufanya taratibu Inshaa Allaah.

ALLAAH ATUONGOZE.
 
Nchi hii chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni MAHAKAMA pekee. Bakwata na vyombo vingine kama hivyo ni kile kiitwacho baraza la usuluhishi wa ndoa...ambalo kazi yake ni kujaribu kuwapatanisha wadaawa kabla hawajaenda mahakamani.

Mabaraza haya yameanzishwa na sheria ya ndoa..kwa lengo la kujaribu kuwapatanisha wanandoa.

Ikitokea baraza limeshindwa kuwapatanisha basi litawapa Form No.3 ya kuonesha kuwa limeshindwa kuwasuluhisha. Ambaye anataka talaka atapeleka maombi ya talaka mahakamani.

Hiyo talaka ya Bakwata ni batili na haina nguvu kisheria. Aende mahakamani na apate cheti cha kupitia barazani kwa ajili ya usuluhishi, huko watasikilizwa na talaka kutolewa..mali zitagawanywa kwa mujibu wa sheria ya ndoa...na si Bakwata.
 
SHIDA YA HAO BAKWATA NAO ELIMU YA DINI NI CHACHE...

SASA NINAKUPA MAJIBU AMBAYO NI KWA MUUJIBU WA SHARIYA YA KIISLAAM... WEWE NA DADA YAKO MTAANGALIA MTAFUATA AU LA.

1. Hongera ndoa imevunjwa na Qadhi(kwa sababu huenda Mume alikuwa mbishi kutoa talaka na mapenzi yaliisha au mateso yalikithiri).

2. Pole ndoa imevunjwa na Qadhi( kwa sababu ndoa iliyovunjwa na Qadhi huwa hamna kurudiana milele, bora Mume utoe talaka tu una mlango wa kurudiana hata kwa kuoana tena). HAYA UNABIDI UYAJUE BINAFSI... USISUBIRI MPAKA QADHI AKUSIMAMIE HILI.

3. Kuhusu watoto, SHERIA inaelekeza pale ambapo wanandoa wametengana... Malezi ya watoto yatazingatia maslahi ya mtoto kutoka kwa mzazi husika... Sio lazima wabaki kwa baba au mama tu... Ila katika uislaam WATOTO NI WA BABA... Ndio maana kwa mke aliyeachwa anaweza akadai MALIPO YA KUNYONYESHA MTOTO WAKE... Japo wengi wanafanyaga kwa mapenzi na huruma kwa watoto wao tu.

Kama mtoto bado ananyonya na maadili yapo vizuri basi atakaa na mtoto mpaka akimaliza atamrejeshea baba yake, nalo vilevile litazingatia maadili ya baba, anaweza asipewe vile vile baba au mama kama maadili ni mabovu.

4. Kuhusu mali, katika sheria ya kiislaam tunatambua mali halali aina tatu za wanandoa;-
  • Mali ya Mume(itabaki kuwa ni ya mume ndani ya ndoa mpaka nje ya ndoa haibadiliki.)
  • Mali ya Mke( itabaki kuwa ni ya mke kwenye ndoa na baada ya ndoa)
  • Mali ya Mke na Mume-wote ( hii ni partnership, kwamba kila mmoja amewekeza mchango wake moja kwa moja iwe ni MTAJI WA MALI, NGUVU AU JITIHADA - NA HII HUGAWANYWA KULINGANA NA KIASI CHA MCHANGO ALIOUTOA KWENYE UTAFUTAJI WA MALI HIO.)

🎈Uislaam hautambui mali zifuatazo;-
  • Mali inayotajwa kuwa "AMEIPATA NIKIWA NAE KWENYE NDOA" (Wewe sema unataka kumdhulumu mwenzio) MDHULUMU TU.
  • Mali inayotajwa kuwa imepatikana "BAADA YA MUME KUMRUHUSU MKE AFANYE KAZI" - HII NI DHULMA.
*ZOTE ZINAZOENDA KINYUME NA ZILE AINA TATU NILIZOTAJA KUWA UISLAAM UNAZITAMBUA... HIZO NI DHULMA.


MWISHO ZINGATIA;-
NI KWELI KUWA KATIKA UISLAAM... UKAHUKUMIWA KWA SHERIA SAHIHI ZA KIISLAAM ALAFU WEWE UKAONA SHERIA YA KIISLAAM HAIJAKUTENDEA HAKI... UKAENDA KUTAFUTA HAKI NJE YA UISLAAM... BASI UMETOKA KWENYE UISLAAM AUTOMATICALLY (Utasilimishwa upya).

Hilo haliwi pale ambapo Qadhi amekuhukumia suala lako kimakosa tofauti na sheria sahihi inavyotaka... Unaweza kutafuta wataalam wengine wa sheria ya kiislaam au Qadhi wa juu yake aipitie upya sheria na suala lako...

KWAHIYO DADA YAKO ATAPIMA KUPITIA MAELEZO HAYA... KAMA NI MCHAMUNGU ATACHAGUA KUNYOA AU KUSUKA INSHAA ALLAAH...

Ukitaka ufafanuzi zaidi njoo inbox nikupe namba nikuelekeze cha kufanya taratibu Inshaa Allaah.

ALLAAH ATUONGOZE.
Asante kwa ufafanuzi huu.

Hii sheria ya mgawanyo wa mali za wanandoa kwa mujibu wa Uislamu, unafanya kazi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nauliza hili kwa sababu Tanzania Bara hakuna mahakama ya Qadhi. Mahakama ya Qadhi iko Zanzibar.
Naomba msaada wa jibu la hili swali mkuu.
 
Asante kwa ufafanuzi huu.

Hii sheria ya mgawanyo wa mali za wanandoa kwa mujibu wa Uislamu, unafanya kazi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nauliza hili kwa sababu Tanzania Bara hakuna mahakama ya Qadhi. Mahakama ya Qadhi iko Zanzibar.
Naomba msaada wa jibu la hili swali mkuu.
BAKWATA hawana mamlaka ya kuvunja ndoa au kugawa mali za wanandoa kwa mujibu wa sheria za Tz.
 
Chombo pekee chenye mamlaka ya kuvunja ama kutangaza decree of divorce ni mahakama pekee. Hapa ninaposema mahakama pekee sina maana ya mahakama ya kadhi bali mahakama ya Tanzania.

BAKWATA ni chombo cha kusuluhisha migogoro ya ndoa tu (reconciliation board) na sio kutoa talaka. Wakishindwa kusuluhisha basi sheria inawataka wawape wanandoa cheti kinachoonesha kwamba mgogoro wa ndoa umeshindikana kutatuliwa/kusuluhishwa hivyo mahakama nayo itapima kupitia vifungu mbalimbali kabla ya kutangaza rasmi kuvunjika kwa ndoa.

Mali zitagawanywa kulingana na sheria ya ndoa ya 1971 kama ilivyofanyiwa marekebisho 2019. Mali zilizochumwa kwa pamoja zitagawanywa kulingana na sheria inavyoelekeza.

Kama kuna nyumba wanayoishi hiyo ni matrimonial house itagawanywa sawia na mali zingine walizochuma pamoja hata kama mke alikuwa mama wa nyumbani kitendo cha kulea watoto,kutunza nyumba,kumpikia mmewe nakadhalika hayo yote yanahesabiwa ni mchango wa mke kwenye zoezi la utafutaji wa mumewe.

Kwa ufupi wachukue cheti kutoka BAKWATA kinachoonesha kwamba imeshindikana kusuluhisha hivyo mahakama itatoa uamuzi kuzingatia sheria ya ndoa. Wanaweza kufungua shauri lao mahakama ya wilaya wanayoishi ndo yenye mamlaka ya kusikiliza matrimonial proceedings.
 
Asante kwa ufafanuzi huu.

Hii sheria ya mgawanyo wa mali za wanandoa kwa mujibu wa Uislamu, unafanya kazi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nauliza hili kwa sababu Tanzania Bara hakuna mahakama ya Qadhi. Mahakama ya Qadhi iko Zanzibar.
Naomba msaada wa jibu la hili swali mkuu.
Huu ni mgawanyo kwa mujibu wa sheria za kiislaam... Kama kuna mchango na ni haki yako kweli basi hata mahakama za kawaida zinaweza kushughulikia ugawaji huo...

Kama wewe ni mchamungu kweli unamuogopa Allaah... Utachukua kilicho chako tu bila kumdhulumu mwenzio... Mfano eti mgawane pasu kwa pasu nyumba aliyejenga mwenzio wakati mkiwa kwenye ndoa... Na wala hukuweka nguvu zako humo... Hiyo ni dhulma hata mahakama itakupa... Utakuja lipa siku ya qiyaamah...
 
BAKWATA hawana mamlaka ya kuvunja ndoa au kugawa mali za wanandoa kwa mujibu wa sheria za Tz.
Sio kila kitu lazima ujibu ucomment na wewe uonekane... Vingine kaa kimya tu usome vya wenzio au jibu SIJUI... Nalo ni jibu...
 
Chombo pekee chenye mamlaka ya kuvunja ama kutangaza decree of divorce ni mahakama pekee. Hapa ninaposema mahakama pekee sina maana ya mahakama ya kadhi bali mahakama ya Tanzania.

BAKWATA ni chombo cha kusuluhisha migogoro ya ndoa tu (reconciliation board) na sio kutoa talaka. Wakishindwa kusuluhisha basi sheria inawataka wawape wanandoa cheti kinachoonesha kwamba mgogoro wa ndoa umeshindikana kutatuliwa/kusuluhishwa hivyo mahakama nayo itapima kupitia vifungu mbalimbali kabla ya kutangaza rasmi kuvunjika kwa ndoa.

Mali zitagawanywa kulingana na sheria ya ndoa ya 1971 kama ilivyofanyiwa marekebisho 2019. Mali zilizochumwa kwa pamoja zitagawanywa kulingana na sheria inavyoelekeza.

Kama kuna nyumba wanayoishi hiyo ni matrimonial house itagawanywa sawia na mali zingine walizochuma pamoja hata kama mke alikuwa mama wa nyumbani kitendo cha kulea watoto,kutunza nyumba,kumpikia mmewe nakadhalika hayo yote yanahesabiwa ni mchango wa mke kwenye zoezi la utafutaji wa mumewe.

Kwa ufupi wachukue cheti kutoka BAKWATA kinachoonesha kwamba imeshindikana kusuluhisha hivyo mahakama itatoa uamuzi kuzingatia sheria ya ndoa. Wanaweza kufungua shauri lao mahakama ya wilaya wanayoishi ndo yenye mamlaka ya kusikiliza matrimonial proceedings.
Kasome tena sheria... Leta ushahidi sio unatapika maharage matupu bila ushahidi...
 
Sio kila kitu lazima ujibu ucomment na wewe uonekane... Vingine kaa kimya tu usome vya wenzio au jibu SIJUI... Nalo ni jibu...
Sawa. Ila kunikosoa bila kuleta mtizamo wako ni meaningless. Mimi nimeweka position ya sheria za ndoa ya Tz..na wewe weka yako.

Nchi hii ndoa huvunjwa na Mahakama pekee. Bakwata ina hadhi ya baraza la usuluhishi wa ndoa (marriage conciliation board). Bakwata si mahakama na kamwe kwa hapa bongo haiwezi kuvunja ndoa na kugawa mali za wanandoa. Hayo ni mamlaka ya mahakama pekee.
 
Sawa. Ila kunikosoa bila kuleta mtizamo wako ni meaningless. Mimi nimeweka position ya sheria za ndoa ya Tz..na wewe weka yako.

Nchi hii ndoa huvunjwa na Mahakama pekee. Bakwata ina hadhi ya baraza la usuluhishi wa ndoa (marriage conciliation board). Bakwata si mahakama na kamwe kwa hapa bongo haiwezi kuvunja ndoa na kugawa mali za wanandoa. Hayo ni mamlaka ya mahakama pekee.
Huyu anajua kuna sheria za serikali... Ila ameuliza kwa mujibu wa sheria za kiislaam... NI UISLAAM TU UNA UTARATIBU WAKE UMEWEKWA KWENYE QURAN JUU YA NDOA, FAMILIA, TALAKA NA MIRATHI... NA NDIO MAANA HATA SHERIA YA SHERIA YA NDOA YA TANZANIA INATAMBUA... NDOA NA MIRATHI ZA KIDINI(Na kidini inayokusudiwa hapa ni UISLAAM PEKEE).

Wakristo na wote ambao vitabu vina mapungufu mtatumia ya serikali.

Ila uislaam una utaratibu wake unaotambulika... Na ndio nimemueleza muuliza swali...
 
Huyu anajua kuna sheria za serikali... Ila ameuliza kwa mujibu wa sheria za kiislaam... NI UISLAAM TU UNA UTARATIBU WAKE UMEWEKWA KWENYE QURAN JUU YA NDOA, FAMILIA, TALAKA NA MIRATHI... NA NDIO MAANA HATA SHERIA YA SHERIA YA NDOA YA TANZANIA INATAMBUA... NDOA NA MIRATHI ZA KIDINI(Na kidini inayokusudiwa hapa ni UISLAAM PEKEE).

Wakristo na wote ambao vitabu vina mapungufu mtatumia ya serikali.

Ila uislaam una utaratibu wake unaotambulika... Na ndio nimemueleza muuliza swali...
Ni kweli kuwa mojawapo ya source ya sheria mfano kwenye mirathi ni sheria za kidini kama kiislamu au kimila.

Ila linapokuja suala la ndoa..linaratibiwa na sheria ya ndoa ya Tz. Kuanzia kufunga ndoa, aina za ndoa hadi taratibu za kuachana. Ndia zote nchini Tz zinafungwa kwa mujibu wa sheria na zinavunjwa kwa utaratibu wa kisheria.

Kwenye family law...issue ya divorce kama wadaawa walifunga ndoa ya kiislamu au kimila wataanzia Mahakama ya Mwanzo wakishatoka kwenye baraza la Usuluhishi wa ndoa kama Bakwata na mengineyo.

Ukiona Bakwata imevunja ndoa au kugawa mali...ujue ime overstep mamlaka yake...kisheria tunasema ime act ultra vires. Na hivyo maauzi ya ndoa iliyovunjwa na Bakwata ni batili..

Nchi hii ukitaka kuvunja ndoa hata kama mlifunga ya kidini, iwe ya kiislamu au dini nyingine...lazima shauri la kuvunja ndoa lisikilizwe mahakamani. Ila tu kabla ya
 
SHIDA YA HAO BAKWATA NAO ELIMU YA DINI NI CHACHE...

SASA NINAKUPA MAJIBU AMBAYO NI KWA MUUJIBU WA SHARIYA YA KIISLAAM... WEWE NA DADA YAKO MTAANGALIA MTAFUATA AU LA.

1. Hongera ndoa imevunjwa na Qadhi(kwa sababu huenda Mume alikuwa mbishi kutoa talaka na mapenzi yaliisha au mateso yalikithiri).

2. Pole ndoa imevunjwa na Qadhi( kwa sababu ndoa iliyovunjwa na Qadhi huwa hamna kurudiana milele, bora Mume utoe talaka tu una mlango wa kurudiana hata kwa kuoana tena). HAYA UNABIDI UYAJUE BINAFSI... USISUBIRI MPAKA QADHI AKUSIMAMIE HILI.

3. Kuhusu watoto, SHERIA inaelekeza pale ambapo wanandoa wametengana... Malezi ya watoto yatazingatia maslahi ya mtoto kutoka kwa mzazi husika... Sio lazima wabaki kwa baba au mama tu... Ila katika uislaam WATOTO NI WA BABA... Ndio maana kwa mke aliyeachwa anaweza akadai MALIPO YA KUNYONYESHA MTOTO WAKE... Japo wengi wanafanyaga kwa mapenzi na huruma kwa watoto wao tu.

Kama mtoto bado ananyonya na maadili yapo vizuri basi atakaa na mtoto mpaka akimaliza atamrejeshea baba yake, nalo vilevile litazingatia maadili ya baba, anaweza asipewe vile vile baba au mama kama maadili ni mabovu.

4. Kuhusu mali, katika sheria ya kiislaam tunatambua mali halali aina tatu za wanandoa;-
  • Mali ya Mume(itabaki kuwa ni ya mume ndani ya ndoa mpaka nje ya ndoa haibadiliki.)
  • Mali ya Mke( itabaki kuwa ni ya mke kwenye ndoa na baada ya ndoa)
  • Mali ya Mke na Mume-wote ( hii ni partnership, kwamba kila mmoja amewekeza mchango wake moja kwa moja iwe ni MTAJI WA MALI, NGUVU AU JITIHADA - NA HII HUGAWANYWA KULINGANA NA KIASI CHA MCHANGO ALIOUTOA KWENYE UTAFUTAJI WA MALI HIO.)

🎈Uislaam hautambui mali zifuatazo;-
  • Mali inayotajwa kuwa "AMEIPATA NIKIWA NAE KWENYE NDOA" (Wewe sema unataka kumdhulumu mwenzio) MDHULUMU TU.
  • Mali inayotajwa kuwa imepatikana "BAADA YA MUME KUMRUHUSU MKE AFANYE KAZI" - HII NI DHULMA.
*ZOTE ZINAZOENDA KINYUME NA ZILE AINA TATU NILIZOTAJA KUWA UISLAAM UNAZITAMBUA... HIZO NI DHULMA.


MWISHO ZINGATIA;-
NI KWELI KUWA KATIKA UISLAAM... UKAHUKUMIWA KWA SHERIA SAHIHI ZA KIISLAAM ALAFU WEWE UKAONA SHERIA YA KIISLAAM HAIJAKUTENDEA HAKI... UKAENDA KUTAFUTA HAKI NJE YA UISLAAM... BASI UMETOKA KWENYE UISLAAM AUTOMATICALLY (Utasilimishwa upya).

Hilo haliwi pale ambapo Qadhi amekuhukumia suala lako kimakosa tofauti na sheria sahihi inavyotaka... Unaweza kutafuta wataalam wengine wa sheria ya kiislaam au Qadhi wa juu yake aipitie upya sheria na suala lako...

KWAHIYO DADA YAKO ATAPIMA KUPITIA MAELEZO HAYA... KAMA NI MCHAMUNGU ATACHAGUA KUNYOA AU KUSUKA INSHAA ALLAAH...

Ukitaka ufafanuzi zaidi njoo inbox nikupe namba nikuelekeze cha kufanya taratibu Inshaa Allaah.

ALLAAH ATUONGOZE.
😄Unamaanisha anaweza kuukana uislam.. akadai chake mahakamani na baadaye akarudi tena ktk uislam?

Kama ndivyo ni sawa tu ili mradi apate haki yake kama inavyofaa kwa sababu ktk hali ya kawaida haiwezekani mali mchume wote halafu mkiachana MKE ARUDI KTK UMASKINI; HII SIYO SAWA NI DHULMA
 
😄Unamaanisha anaweza kuukana uislam.. akadai chake mahakamani na baadaye akarudi tena ktk uislam?

Kama ndivyo ni sawa tu ili mradi apate haki yake kama inavyofaa kwa sababu ktk hali ya kawaida haiwezekani mali mchume wote halafu mkiachana MKE ARUDI KTK UMASKINI; HII SIYO SAWA NI DHULMA
UISLAAM SIO DINI YA MCHEZO... UNATOKA NA KUINGIA KIMCHEZO... HEKMU YAKO UTAIKUTA KWA ALLAAH...
 
Ni kweli kuwa mojawapo ya source ya sheria mfano kwenye mirathi ni sheria za kidini kama kiislamu au kimila.

Ila linapokuja suala la ndoa..linaratibiwa na sheria ya ndoa ya Tz. Kuanzia kufunga ndoa, aina za ndoa hadi taratibu za kuachana. Ndia zote nchini Tz zinafungwa kwa mujibu wa sheria na zinavunjwa kwa utaratibu wa kisheria.

Kwenye family law...issue ya divorce kama wadaawa walifunga ndoa ya kiislamu au kimila wataanzia Mahakama ya Mwanzo wakishatoka kwenye baraza la Usuluhishi wa ndoa kama Bakwata na mengineyo.

Ukiona Bakwata imevunja ndoa au kugawa mali...ujue ime overstep mamlaka yake...kisheria tunasema ime act ultra vires. Na hivyo maauzi ya ndoa iliyovunjwa na Bakwata ni batili..

Nchi hii ukitaka kuvunja ndoa hata kama mlifunga ya kidini, iwe ya kiislamu au dini nyingine...lazima shauri la kuvunja ndoa lisikilizwe mahakamani. Ila tu kabla ya

umetoa elimu nzuri sana hapa akishindwa kuelewa basi kaamua tu,hiki ulichoandika ndio position ya legal system yetu linapofika suala la ndoa The Marriage Act Cap 29 RE 2019 inatumika,kwa msingi wa sheria hii BAKWATA hawana malaka ya kuvunja ndoa lile ni baraza la usuluhishi tu
 
SHIDA YA HAO BAKWATA NAO ELIMU YA DINI NI CHACHE...

SASA NINAKUPA MAJIBU AMBAYO NI KWA MUUJIBU WA SHARIYA YA KIISLAAM... WEWE NA DADA YAKO MTAANGALIA MTAFUATA AU LA.

1. Hongera ndoa imevunjwa na Qadhi(kwa sababu huenda Mume alikuwa mbishi kutoa talaka na mapenzi yaliisha au mateso yalikithiri).

2. Pole ndoa imevunjwa na Qadhi( kwa sababu ndoa iliyovunjwa na Qadhi huwa hamna kurudiana milele, bora Mume utoe talaka tu una mlango wa kurudiana hata kwa kuoana tena). HAYA UNABIDI UYAJUE BINAFSI... USISUBIRI MPAKA QADHI AKUSIMAMIE HILI.

3. Kuhusu watoto, SHERIA inaelekeza pale ambapo wanandoa wametengana... Malezi ya watoto yatazingatia maslahi ya mtoto kutoka kwa mzazi husika... Sio lazima wabaki kwa baba au mama tu... Ila katika uislaam WATOTO NI WA BABA... Ndio maana kwa mke aliyeachwa anaweza akadai MALIPO YA KUNYONYESHA MTOTO WAKE... Japo wengi wanafanyaga kwa mapenzi na huruma kwa watoto wao tu.

Kama mtoto bado ananyonya na maadili yapo vizuri basi atakaa na mtoto mpaka akimaliza atamrejeshea baba yake, nalo vilevile litazingatia maadili ya baba, anaweza asipewe vile vile baba au mama kama maadili ni mabovu.

4. Kuhusu mali, katika sheria ya kiislaam tunatambua mali halali aina tatu za wanandoa;-
  • Mali ya Mume(itabaki kuwa ni ya mume ndani ya ndoa mpaka nje ya ndoa haibadiliki.)
  • Mali ya Mke( itabaki kuwa ni ya mke kwenye ndoa na baada ya ndoa)
  • Mali ya Mke na Mume-wote ( hii ni partnership, kwamba kila mmoja amewekeza mchango wake moja kwa moja iwe ni MTAJI WA MALI, NGUVU AU JITIHADA - NA HII HUGAWANYWA KULINGANA NA KIASI CHA MCHANGO ALIOUTOA KWENYE UTAFUTAJI WA MALI HIO.)

🎈Uislaam hautambui mali zifuatazo;-
  • Mali inayotajwa kuwa "AMEIPATA NIKIWA NAE KWENYE NDOA" (Wewe sema unataka kumdhulumu mwenzio) MDHULUMU TU.
  • Mali inayotajwa kuwa imepatikana "BAADA YA MUME KUMRUHUSU MKE AFANYE KAZI" - HII NI DHULMA.
*ZOTE ZINAZOENDA KINYUME NA ZILE AINA TATU NILIZOTAJA KUWA UISLAAM UNAZITAMBUA... HIZO NI DHULMA.


MWISHO ZINGATIA;-
NI KWELI KUWA KATIKA UISLAAM... UKAHUKUMIWA KWA SHERIA SAHIHI ZA KIISLAAM ALAFU WEWE UKAONA SHERIA YA KIISLAAM HAIJAKUTENDEA HAKI... UKAENDA KUTAFUTA HAKI NJE YA UISLAAM... BASI UMETOKA KWENYE UISLAAM AUTOMATICALLY (Utasilimishwa upya).

Hilo haliwi pale ambapo Qadhi amekuhukumia suala lako kimakosa tofauti na sheria sahihi inavyotaka... Unaweza kutafuta wataalam wengine wa sheria ya kiislaam au Qadhi wa juu yake aipitie upya sheria na suala lako...

KWAHIYO DADA YAKO ATAPIMA KUPITIA MAELEZO HAYA... KAMA NI MCHAMUNGU ATACHAGUA KUNYOA AU KUSUKA INSHAA ALLAAH...

Ukitaka ufafanuzi zaidi njoo inbox nikupe namba nikuelekeze cha kufanya taratibu Inshaa Allaah.

ALLAAH ATUONGOZE.
Shukrani sana kwa ujumbe wako,Kuna vitu nilikuwa sivijui ila kwa andiko lako ili nimekuelewa sana
 
Back
Top Bottom