BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

SIKU UKIZAA NDIO UTAELEWA.

ENDELEA KUKUA KUA KWANZA, WE BADO MTOTO.
 
Ndugu Hassan Fatiu ana kabinti kweli ka umri huo nataka niendenkukaposa ili bintie awe wa mfano..
Nenda kwake, kama hana yeye atakupatia kwa wengine.

Yanini kuandikia mate na wino upo?
 
SIKU UKIZAA NDIO UTAELEWA.

ENDELEA KUKUA KUA KWANZA, WE BADO MTOTO.
Mkuu kuzaa kwako na kutozaa kwangu hakutabadilisha ukweli.
Kwahiyo unakataa kuwa mitaani hakuna rundo la mabinti wa umri wa 14 mpaka 15 walio zalishwa na kutelekezwa?

Unakataa kuwa mabinti wa umri 14hawafanyi ngono na watu wazima kama baba zao?
Ww kama una binti yako mwenye umri huo na bado unamuita mtoto bila shaka hata yeye atakuwa anakucheka kimoyo moyo ila anayo yafanya mitaani anayajua mwenyewe.

Ww utakataa ila ukweli na uhalisia ndo huo binti kama hasomi na ana umri huo huna haja ya kumkataza kuolewa maana kinacho kufanya umkataze kuolewa anakifanya mitaani na katika mazingira hatarishi.
 
Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.

Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Kwani alie olewa awezi kusoma?uwezi pingana na maumbile alie muumba kamfanya aingie kwenye siku zake akiwa na miaka 14 wewe unasema mtoto wewe na Mungu nani zaidi au mtoto wakike kuona siku zake kila mwezi maanake nn?
 


Inashangaza kuona huyu mwanasheria anajikita katika makatazo. Kwanza, ytumuulize kama yeye ataridhia mtoto wake aolewe akiwa na miaka 14. Nina hakika sheria ya ubakaji haina kinga kidini. Na pia hata ruhusa ya mzazi haina kinga katika ubakaji. Yeye mmwana sheria atateteaje ubakaji? Ina maana mzazi sasa anaweza kutoa ruhusa kwa binti yake aliyemaliza darasa la saba akaolewa na muoaji akajitetea dini haikatazi/inaruhusu. Hili itabidi lipingwe na watu wa imani zote. Dunia itatucheka kuona tunatetea ujinga kama huu kwa mwavuli wa dini.
 
Watafungwaje wakati Serikali na dini zimekubali?

Mtaani kwangu kuna darasa la 6 mapepe vibaya mno
Tatizo baadhi ya watu ujitoa akili heti mtoto miaka 14 anae ingia kwenye siku zake heti mtoto[emoji12][emoji2957]
 
Ila binti huyo analiwa na bodaboda
Kuliwa na bodaboda hakuwezi kuhalalisha kubadilisha sheria. Ina maana wizi ukizidi dawa yake ni kuhalalishi wizi. Mbona wanawake wa kuoa wengi tu, kwa tuenda kwa vitoto vidgo vinavyonuka mkojo?
 
Kwahiyo, mapepe mmoja afanye kundi zima lipotee..!!??? Vipi kama mtaani kwenu kuna mashoga..!!???
Ludia kusoma sheria ya ndoa mbona haija futika hapo juu au ulikuwa usingizini ukakometi bila kusoma?
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Wewe unachuki na huyo mwanasheria sio bule yeye kanukuu kifungu cha sheria ya ndoa hiyo sheria akutunga yeye chuki ni ugonjwa mbaya zaidi ya ukimwi
 
Nafikiri mengine ni conventional. by the law of nature mtu akibarehe anaweza kuelewa kwa mwili upo tayari. Oooh bado ni mtoto....mtoto ni nini? Kwani mtu anakuwa mtu mzima miraculously akifika 18? Mazingira yachangia namna gani mtu anaweza kustahimili majukumu hususani malezi. Zamani waliolewa wadogo na waliweza. Kwa sasa Hata 30 hajui kupika...lazima awe na dada wa kazi etc. So ukomavu ni mazingira kuliko age
 
Lakini hiyo sheria ni kwamujibu wa sheria ya Tz na sio dini hivyo acha kukurupuka.
 
Bibi yako aliolewe akiwa na umri gani?taja sababu ya mtoto wakike kuanza kuingia kwenye siku zake kila mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…