BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.

Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.

“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.

Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.

Mjumbe asiuawe

=======

BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.

Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.

Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.

Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.

Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.

“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.

Chanzo: Mwananchi
Mwenyewe naunga mkono hoja, wazazi wameshindwa kuwafundisha watoto wa kike .maadili na kuwaachia waalimu, matokeo yake wanafanya uhuni wakiwa wadogo, wanameza ma-P2 bila kujua madhara na pia wanakuwa sio mabikra na hivyo kuendana kinyume na Maandiko Matakatifu.
Na kwakuwa Serikali haiwezi rekebisha maadili ambayo ni jukumu la wazazi, naomba sheria hii iendelee ila itafutwe utaratibu wa mtoto aendelee kusoma huku uzazi wa mpango wa asilia ukitumika mpaka mtoto atakapomaliza kidato cha nne.
Maadili yamekuwa ya hovyo sana kipindi hiki huku masingle mothers wakiongezeka sana kwa Kasi.
 
Mie naunga mkono hoja tena hapo kitoto cha miaka 10 - 14 unakibahatisha bado kina bikra zote mbili unajimenyea mwenyewe unakifundisha a to z unakatafuna taratibu mpaka kanazoea.

Sio mtu unakuja kuoa gumegume la miaka 38 limekomaa kama Zuwena halafu unakuta halina hata bikra moja nyege zilishakata halafu kizazi kilishajikunja.[emoji23]

Angalizo: nikikuona na binti yangu mdogo nakunyonga halafu nakupa jeneza bure uende nalo kwenu wakakuzikie!
Unajimenyea mwenyewe bikra zote 2 na Mke wako halali kabisa wa ndoa, ama kweli Bongo bahati mbaya [emoji30]
 
Ongea kwa lugha ya heshima kuhusu mtume Muhammad salla Allahu alayhi wasalaam.

Inayoongelewa hapa ni sheria ya Tanzania, unataka kuubadili mjadala kuufanya wa kidini na kuleta kejeli za kijinga?

Watu kama wewe ni walewale, mnajulikana, huwa hamna staha za midomo
Kwanin lisiwe la kidini wakati limeletwa na baraza la kidini? ni kweli mtume alimbikiri mtoto wa miaka tisa na hiyo tabia wafuasi wake munataka kuirithi. AIBU YENU
 
Ongea kwa lugha ya heshima kuhusu mtume Muhammad salla Allahu alayhi wasalaam.

Inayoongelewa hapa ni sheria ya Tanzania, unataka kuubadili mjadala kuufanya wa kidini na kuleta kejeli za kijinga?

Watu kama wewe ni walewale, mnajulikana, huwa hamna staha za midomo
Wewe ungeolewa na Umri huo wa miaka 14 sasa hivi ungekuja ku coment hapa wewe
 
Kuoa na kumuingilia ni vitu viwili tofauti,hata chini ya hapo mila za zamani walioa kabla ya Sheria za ubakaji.

Walioa wakiendelea kuishi kwa wazazi wao hadi umri uliporuhusu wa kuingiliwa ndipo wakaenda KWA waume zao.

Walichumbia kwa tafsiri ya kuoa.
Huwezi muingilia binti wa miaka 9 itaingia vipi sasa.
Kabla ya shule miaka 14 waliolewa vijijini.
Quran haisemi hayo uliyoyaandika wewe. Kasome tena
 
Acha ujinga wewe, inshu ya kuliwa ni nyingine kabisa tofauti na uwajibikaji wa Mke na ukomavu wa akili za maisha ya NDOA.
Ya kwamba binti yako ni bora kufanya uzinzi na udangaji kuliko aolewe.

Alafu hata hao wanao olewa wakiwa wakubwa na elimu mbona uwajibikiji wa mke na ukomavu wa akili za maisha ya ndoa hawana mpaka vijana wakaanzisha kampeni ya kataa ndoa?
 
Sheria ya kimasikini ambayo watu wake hawathamini elimu. Waachwe wafanye watakavyo.
Ndoa zinawashinda watu wazima na uzee wao huyo wa miaka 14 atawezqje kama sio unyanyasaji.
1. Hivi Elimu Ni lazima iwe darasa la kwanza Hadi la Saba.. then secondary.. chuo ??
Kama mtu ana elimu ya vitendo tu ( Elimu ya kilimo , Ufugaji, Ushonaji nk ) haitaitwa Elimu ?

2. Watu wazima kushindwa ndoa sio kigezo Cha Kufanya umri wa kuingia ndoani uongezwe hapana.
( Kumbuka:- hata wapumbavu, wajinga na wenye Uelewa mdogo wanakuwa watu wazima na kuzeeka.. hivyo watu kama hao hata Kama wangeingia ndoani achilia mbali kwenye utu uzima wao huo, wangeingia kupindi Cha umri huo 14+ Basi ndoa ingewashinda tu)

3. Kilitumika kigezo gani ati utu uzima Ni Kuanzia umri wa miaka 18+ na sio chini ya hapo ??!!
( umbo, Uelewa, Kujitegemea, au nini)

4. Hiyo Ni Sheria tu ambayo ipo nchini Hadi leo.. na Tena haijatungwa na BAKWATA Ila wao wanatoa mapendekezo yao Kulingana na uhalisia wanao uona wao.. sawa tu na yanavofanya mashirika ya haki za watoto.

5. Sheria ipo lakini haina maana kwamba mtu atalazimishwa kuolewa baada tu ya kufikia umri huo wa 14+.. HAPANA Ila mtu anaweza kuolewa zaidi ya umri huo au asiolewe Kabisa.. Na itabaki kutimilizwa baada ya kuzingatia Vitu vingine.

6. Elimu hii ya darasa la Saba hadi Chuo Ni Nzuri lakini haitoshi Wala kufaa kwa mtu kama hana UFAHAMU & UTAMBUZ.. hivyo haitakiwi kuhusishwa Kama kigezo Cha kuamua umri gani wa mtu kuingia ndoani.

>Mtoto wa Kike/Wakiume wa umri wa 14+ Kama anaonekana Kuwa na Uelewa & utambuz mzuri Basi aruhusiwe kuingia ndoani.. Sababu wapo wengine Ni 20+ na tena wamefika hadi vyuo vikuu laini Uelewa wao Ni mdogo saaana kuliko baadhi ya hao wenye 14+.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya kwamba binti yako ni bora kufanya uzinzi na udangaji kuliko aolewe.

Alafu hata hao wanao olewa wakiwa wakubwa na elimu mbona uwajibikiji wa mke na ukomavu wa akili za maisha ya ndoa hawana mpaka vijana wakaanzisha kampeni ya kataa ndoa?
Kwanini umfikirie Binti yako upande wa matatizo tu pasipo kumuwazia mema, inamaana unamlea kihuni huni tu bila ya maadili mema?
 
Nakubali sisi Watanzania wengi huwa wavivu wa kufikiria hata jambo liwe dogo kiasi gani, na huo ni ujinga , hivi unasema asiolewe ili hali anafanya machafu na watu wazima wa kila rika?

Hivi kati ya penati na mpira wa kurushwa bora nini?, una sema asiolewe sasa akija kutiwa mimba ndio utaona kila mtu mbaya na kesi juu.

Natoa mfano wa mwisho true story, mume wa dada angu ana mtoto anayepaswa kuanza form1 mwaka huu 2023 , lakini ile desemba tu kakutwa ana mimba na hadi sasa mimba ni kubwa, baba yake ni mkulima tu, mama yake mzazi yupo mbali na hyo dada angu ni mama wa kufikia tu na aliyempa mimba ni mwanafunzi mtoto wa form 2, sasa hebu fikiria hii, mtoto ata mlea nani ?, si bora ange olewa tu
Wengi ukingalia hapa wanajibu kimihemko wala hawajafikiri na kujibu kwa hoja.
Na hapo jambo lipo chini ya idhini ya mahakama ikiwa inaona kuna haja ya kufanya hivyo. Sasa sijui lingepitishwa moja kwa moja ingekuwaje?!
 
Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.

Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Huko shuleni wanapigwa mimba
 
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.

Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.

“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.

Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.

Mjumbe asiuawe

=======

BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.

Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.

Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.

Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.

Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.

“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.

Chanzo: Mwananchi
Ndugu Hassan Fatiu ana kabinti kweli ka umri huo nataka niendenkukaposa ili bintie awe wa mfano..
 
Kwanini umemfikiria Binti yako upande wa matatizo tu pasipo kumuwazia mema, inamaana unamlea kihuni huni tu bila ya maadili mema?
Hili ndo tatizo la waafrika kuukataa ukweli hata kama wanaushudia.

Ukweli ni kwamba hao mabinti wenye huo umri mnao waita watoto huku mtaani wanafanya ngono sana tena na watu wazima kama baba zao.
Mitaa imejaa rundo la mabinti wa miaka 13 ,14 mpaka 15 walio pewa mimba na kuzalishwa alafu wakatelekezwa sasa si bora waolewe kuliko kuwa wanafanyiwa hivyo?

Mabinti wa siku hizi wame jaa uhuni mwingi mno sasa hivi kukuta binti wa hiyo miaka 14 ambao ww unamuita mtoto ana mmiliki wanaume 3 na wote anaeahudumia kingono ni jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom