BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Miaka 14 vinafanya ngono zamani sana.
kwa hiyo viendelee kungonoka ila kuolewa ndio Nyeti

Nadhani ungemjibu hoja yake bila kupanic hao mabinti mnao sema ni wadogo huku mitaani wanafanya ngono na watu wazima wenye umri kama wa kwako, mm nadhani hoja yake iko hapo.

Kama mnazuia wasiolewe kwa sababu ni wadogo pia zuia wasifanye na kiholela.
Mtoto wa 14 yrs hata qjipange barabaran kujiuza hatakiwi kulaumiwa na suluhisho sio kumnyima haki yake ya kuwa mtoto kwa kumuoza.Lawana ziende kwa wazazi/walez na hao wanaume mafiraun wanataman watoto.
 
nchi gani? Sema dini sio nchi
Kumbe hata mada hujasoma ,bali umesoma kichwa cha habari na kukimbilia likoment .

Alafu hujui hata sheria za nchi yako ngoja nikuelimishe , kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 mtoto wa miaka kuanzia 14 kwenda juu ana ruhusiwa kuolewa au kuoa ila mwaka 2021 mahakama ili toa uwamuzi wa kuitaka serikali ya Tz kupandisha umri huo na kuwa mpaka 18 uwamuzi ambao mpaka sasa serikali ya Tz haijautekeleza na ndio maana huyo mwana sheria wa bakwata anaiomba serikali isitekeleze huo uwamuzi wa kupandisha umri wa kuolewa kutoka miaka 14 mpaka 18.

Inamaana mpaka sasa kwa mujibu wa sheria za Tz mtoto wa miaka 14 anarusiwa kuolewa ila kwa lidhaa yake bila kushurutishwa na mtu kwa maana hiyo binti yako anaweza kuamuwa kuolewa akiwa na umri huo na ww mzazi usiweze kumzuia.
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
A 60-year-old man has married an 11-year-old girl.



childmarriageman(0).jpg
 
Mnataman hata Nchi ingeongozwa Kwa sheria za Kidini kama kule Afghanistan .


Nyie wapuuzi kweli
Punguza upumbavu hiyo ni kwa mujibu wa Sheria za Tz mtoto wa miaka 14 anarusiwa kuolewa au kuoa na ila mwaka 2021 mahakama ili toa uwamuzi wa kuitaka serikali ya Tz kupandisha umri huo kutoka 14 mpaka 18 uwamuzi ambao mpaka sasa serikali haijautekeleza.
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Swali mwanaye wa miaka 14 Yuko tayar kumuozesha?
 
Kuna mabinti hapa nyumban nimewauliza mmekua sasa muolewe mmoja ana 13,mwingine 15 wanenishangaa wakaniambia hatutakii
Kama mnapinga wasiolewe kwa kigezo cha kuwa wadogo basi pingeni na kufanya nao ngono sio hamtaki waolewe lakini huku mitaani mnawarubuni na kuwala kwa chipusi mayai mwisho mnawapa mimba na kuwatelekeza mabinti wa watu.

Kwa jinsi hali hilivyo mitaani ya mabinti wadogo kupewa mimba na kutelekezwa mm naunga mkono binti kama hasomi aolewe tu.
 
Kwa maoni yangu binti wa umri huo bado anahitaji malezi ya Wazazi.

Kwahiyo hata kama amefeli vyema apelekwe hata Elimu ya Ufundi (Veta) wakati akiendelea kukua kimwili na kiakili
Kwa hiyo hilo litamzuia kufanya ngono huko mitaani tena na watu wazima?
 
Kama mnapinga wasiolewe kwa kigezo cha kuwa wadogo basi pingeni na kufanya nao ngono sio hamtaki waolewe lakini huku mitaani mnawarubuni na kuwala kwa chipusi mayai mwisho mnawapa mimba na kuwatelekeza mabinti wa watu.

Kwa jinsi hali hilivyo mitaani ya mabinti wadogo kupewa mimba na kutelekezwa mm naunga mkono binti kama hasomi aolewe tu.

Nyie wanaume Ndio mjichunge muwe na maadili
 
Punguza upumbavu hiyo ni kwa mujibu wa Sheria za Tz mtoto wa miaka 14 anarusiwa kuolewa au kuoa na ila mwaka 2021 mahakama ili toa uwamuzi wa kuitaka serikali ya Tz kupandisha umri huo kutoka 14 mpaka 18 uwamuzi ambao mpaka sasa serikali haijautekeleza.
Wee ndio mpumbavu, Sasa hata kama ni bado sheria ya TZ .


Una mtoto wakike wa miaka 14 ??
 
Nakubali sisi Watanzania wengi huwa wavivu wa kufikiria hata jambo liwe dogo kiasi gani, na huo ni ujinga , hivi unasema asiolewe ili hali anafanya machafu na watu wazima wa kila rika?

Hivi kati ya penati na mpira wa kurushwa bora nini?, una sema asiolewe sasa akija kutiwa mimba ndio utaona kila mtu mbaya na kesi juu.

Natoa mfano wa mwisho true story, mume wa dada angu ana mtoto anayepaswa kuanza form1 mwaka huu 2023 , lakini ile desemba tu kakutwa ana mimba na hadi sasa mimba ni kubwa, baba yake ni mkulima tu, mama yake mzazi yupo mbali na hyo dada angu ni mama wa kufikia tu na aliyempa mimba ni mwanafunzi mtoto wa form 2, sasa hebu fikiria hii, mtoto ata mlea nani ?, si bora ange olewa tu
Mtoto wa dada yako unataka awe reference kwa watoto wengine kuwa wote wapo hivyo?
Malezi mabovu ndio yamepelekea mtoto wa dada yako apewe mimba.
 
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.

Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.

“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.

Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.

Mjumbe asiuawe

=======

BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.

Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.

Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.

Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.

Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.

“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.

Chanzo: Mwananchi
Hata mtume alioa katoto ka 9years...sasa wao ni nani wakatae 🤣🤣
 
Back
Top Bottom