BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

na hizo sheria zote zimewekwa kumfaidisha mwanaume…zoooote yani zooooote. Mara wake wanne, mara mbinguni watapewa mabikra 1000 yani zote zina favor mwanaume
Ko binam unataka maandiko yabadilishwe?!
 
Angeolewa umri huo 14 angekuwa ashaachika maana talaka ni nyingi mno na akiachika atarudi na watoto nyumban siku hizi wanaume wapo wapi wenye nia nzuri
Huko ni kumtesa na kumbagua mtoto wa kike, mtoto wa miaka 14 kumbebesha majukumu mazito ya kuwa Mama huku mtoto wa kiume akiendelea na shule.

Kwanza umri huo wa 14 huyo binti wa miaka 14 atakuwa anajua hata usafi wa mwili akiwa period?

Tujitahidi kupinga hizi sheria kandamizi
 
kuna sababu nyingi zinazosababisha, lakini hilo halihalalisha mtoto wa 14 years kuolewa
sijui kwa nini watu wanahamisha mada hapa ishu ni binti kuolewa na miaka 14 huyu anakuja na point ya mbona waloolewa ukubwani ndoa zimewashinda watu wanachekesha sana

kuna mwingine kanijibu kwa iyo hao mabinti wanavyoliwa mitaani na kupachikwa mimba na magonjwa ni sawa?imagine tunaongelewa suala la binti mdogo kuolewa na sio sawa mtu analeta hoja ya wanaofanya mapenzi katika umri huo bila kubeba idadi kubwa ya watoto wa umri huo ambao hawako katika kadhia hiyo kwa sababu binti wa miaka 14 bado ni mdogo sana yani ni aibu hata kumzungumzia kwenye suala la ndoa hata kisayansi viungo vya mwili wako havijakomaa sawasawa

tupuuze
 
Tena kwa dunia ya leo hata akivunja ungo 12, aolewe tu.

Maana wanawake wengi kuliko wanaume, wanaume wenyewe ushoga mwingi wanataka kuolewa wao.

Waliobaki ndiyo hivyo, vumbi la kongo, supu ya pweza, khaa! inahusu nini kutiana shombo.
Bibi shikamoo, uliolewa na umri gani?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
kuna sababu nyingi zinazosababisha, lakini hilo halihalalisha mtoto wa 14 years kuolewa
Sababu gani tena haaaaa ,ww si ndo umesema kuwa akiolewa mdogo ndoa itamshinda sasa mbona nyinyi zinawashinda pamoja na ugume gume wenu?

Hata nchi ziliyo endelea kama Japan , Malasia , Indonesia binti wa miaka 14 ana ruhusiwa kuolewa ila kwa idhini yake mwenyewe sasa sijui nyinyi mnatoa povu la nn.
 
sijui kwa nini watu wanahamisha mada hapa ishu ni binti kuolewa na miaka 14 huyu anakuja na point ya mbona waloolewa ukubwani ndoa zimewashinda watu wanachekesha sana

kuna mwingine kanijibu kwa iyo hao mabinti wanavyoliwa mitaani na kupachikwa mimba na magonjwa ni sawa?imagine tunaongelewa suala la binti mdogo kulewa kwa sio sawa mtu analeta hoja ya wanaofanya mapenzi katika umri huo bila kubeba idadi kubwa ya watoto wa umri huo ambao hawako katika adhia hiyo kwa sababu binti wa miaka 14 bado ni mdogo sana yani ni aibu hata kumzungumzia kwenye suala la ndoa hata kisayansi viungo vya mwili wako havijakomaa sawasawa

tupuuze
ujinga na umasikini ni kitu kibaya sana, wajinga ni wengi hii nchi
 
... niki-comment huu uzi naweza kuchafua hali ya hewa! Itoshe tu kusema ni ubakaji unaotaka kuhalalishwa kwa visingizio visivyo na mashiko!

Hadi wewe mfia dini ya mudi umewakataa,hakika ni upuuzi bakwata wanao taka kuuleta.
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Sio yeye ni deen Yake inayo msukuma...
 
Wakati TEC Wanapendekeza Viongozi waondolewe Kinga ya kutoshitakiwa, yaani wote tuwe Sawa Mbele ya sheria, Hawa wenzetu wanapendekeza watoto wa miaka 11, 12 ,13 ,14 waruhusiwe kuolewa, kupanga ni kuchagua ......

Bakwata ni moja ya taasisi ya watu vilaza watu vilaza wenye upeo mdogo wa kifikra.
 
Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.

Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Wakati watoto umri huo ndo wabasumbua waume za watu kibamama wanalia usiku na mchana. Kakibeba mumeo ndani hapaeleweki
 
Nyie kubalini watoto wenu waolewe katika umri huo alafu baadaye mje mseme mnataka haki sawa na Wanaume ambao wakati watoto zenu wanaolewa wao wanakuwa wanaendelea kubukua kitabu kuzitafuta Masters degree na PhD.

Na mzazi atakayekubali Binti yake wa miaka 14 kuolewa atakuwa Lofa mkubwa [emoji35]
Unapingana na dini?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kulikua na kesi pale Al Muntazir ambapo ililalamikiwa kuwa waalimu wanawaelekeza watoto wa kike kuingiliwa kinyume cha maumbile na wenzi wao pale inapotokea wapo kwenye hedhi.
Ule ushenzi ulipigiwa kelele na waislamu wengi, ilipelekea hadi Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako kuingilia na issue ikazimwa mazima.
Sasa hili tena la safari hii la BAKWATA linaleta ukakasi sana. Walipaswa walipigie ukimywa tu, sababu kulingana na mazingira, nyakati, utamaduni, science and technology kuna mambo lazima yajifie natural death. hata kama yapo kwenye Maandiko Matakatifu.

Haiwezekani kulazimisha kusafiri umbali mrefu kwa kutumia punda katika zama hizi kisa mitume na manabii walisafiri kwa punda.
Haiwezekani kulazimisha kusafiri kwa Ngalawa, kisa mitume na manabii hawakutumia boti au mitumbwi au meli zenye engine
Aisee weee kweli hilo la Muntazir?? Dah, nimesikitaka sana!

Usemayo ni kweli kabisa naafikiana nawe. Hatuwezi kuendeleza mambo kisa yalifanywa na mitume zama hizo. Kuna mambo ni impracticable kwa zama za sasa.
 
Back
Top Bottom