My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Hiv izo jamii mnazoish nyie ambapo watoto wa miaka 6 mpk 16 ni mapepe na machachari ni wap uko ase?!!
Na je, ktk hali iyo nani wa kulaumiwa?!!
Ni bila kuficha huu sheria imewekwa kwa watoto wanaotokea ktk familia maskini,napata picha uende kwa shehe wakishua utake kumuoa binti yake wa 16,asee anaweza kukula kinyeo
Sasa ndo kusema imekosekana njia nzur either ya kimalezi ama kijamii ya kuwasaidia hawa watoto kufika umri wa kiserikali wa kuolewa?!!
Na je, ktk hali iyo nani wa kulaumiwa?!!
Ni bila kuficha huu sheria imewekwa kwa watoto wanaotokea ktk familia maskini,napata picha uende kwa shehe wakishua utake kumuoa binti yake wa 16,asee anaweza kukula kinyeo
Sasa ndo kusema imekosekana njia nzur either ya kimalezi ama kijamii ya kuwasaidia hawa watoto kufika umri wa kiserikali wa kuolewa?!!