BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Mimi swali langu kwa ndugu wasomi via vya uzazi vya mwanamke vinakuwa tayari kimapambano umri gani??
 
Umri huo binti hata hawezi furahia penzi hata kidogo!

Labda awe mwenye kilanga na awe alishaanza kuliwa hovyo!

Lakini binti alojitunza hata akiolewa atakuwa anatumika tu lakini yeye mwenyewe kule kujitambua na kufurahia penzi kunakuwa hakupo kabisa!

Sasa Mwanaume sijui unajisikiaje labda iwe mbinafsi uwe mtu usojali.
 
Hao ndio huwa vilizi na kununa nuna kuzidi sababu bado ni Mtoto!

Halafu Kwa kupekua Simu za Mwanaume usipime!
 
Hakuna mwanamke bikra ambae anafurahia kufanya mapenzi katika siku ya kwanza...Always siku ya kwanza kutolewa bikra ni lazima asikie maumivu ambayo huambatana na damu! Ila siku zinavyokwenda huwa anazoea na kulifurahia tendo.

Hakuna mtoto ambae anatoka damu ya hedhi kila mwezi! Utoto unakoma pale tu damu ya hedhi inapoanza kutoka

Hapo ni kiashiria kuwa utoto umeisha na sasa anaingia katika hatua ya kuwa mama.

Miaka 14 , binti anapata mimba,l na anazaa kawaida tu bila ya shida yoyote na pia ananyonyesha bila ya wasiwasi.
 



Kwani utoto unapimwa Kwa kupevuka kijinsia tu?!
Ni kupitia tafiti za kisayansi imeonekana umri chini ya miaka 18 anakuwa ni mtoto kupitia namna yake ya kufikiri juu ya mambo na anavyoenenda na kuamua mambo anakuwa ni tegemezi kiufahamu.
 
Aisee upo sahihi 100% binafsi nimeanza kufurahia sex baada ya kufikisha 27yrs .
 
Njoo uwakamate huku bush wengi wamepigwa mimba na hakuna anaejsli.
 
Mzee wa papuchi mwenyewe alioa mtoto wa miaka tisa.

Ao watu wa mnyazi wanachowaza ni mbususu tu na namna ya kuzichakata

zikiwa za motomoto.
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa
 
Nimepinga nini?!
 
Nilikua bado mtoto sana, tusimame kwenye ukweli tusipotoshe

Miaka 16 ni mtoto anaehitaji mwongozo na uangalizi wa wazazi, kusema eti anaweza kuolewa ni ukatili kwa mtoto
Ulikuwa mtoto ila Fredy alikuwa anakupelekea moto kama kawa 🤣
 
Umesoma na umekielewa kilichondikwa? rudia tena kusoma ndio utoe wazo lako ukizingatia kwa uliyoyasoma usikurupuke kama hujaelewa kaa kimya, maana hujaelewa ulichokisoma
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Soma mpaka mwisho. Kule mwishon hajasema wote wa miaka hiyo waolewe. Ameeleza vizur kwamba mahakam ijiridhishe kwa kuangalia maziringira mila na desyur za jamii husika pamoja na afya ya uyo mtot, bado hujapta kit hapo? Ila najua huwes elewa ataivo
 
Ila kutoa mbwa hovyo mitaani ni sawa?.
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Hivi unapajua uswahilini wewe?Hivyo unavyovionao ni vitoto,basi ndiyo vinafumaniwa na waume za watu kila uchao.
 
Endelea kuishi mjini tu wewe!Huku vijijini hao wa 14 wanaolewa na kutunza familia kubwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…