KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Asili ya uumbaji mwanamke ni mzazi tu na mume ndiye mtafuta maisha.Hayo mambo ya kupanga maisha na mke ni kubemendwa kwa akili za mume.Miaka 14 unapanga naye nini maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asili ya uumbaji mwanamke ni mzazi tu na mume ndiye mtafuta maisha.Hayo mambo ya kupanga maisha na mke ni kubemendwa kwa akili za mume.Miaka 14 unapanga naye nini maisha?
Upo sahihi, nd maana wamesema mahakama ikijiridhisha kwa kuangalia mazingira, afya ya mtoto na vengine kama mila na desturi za jamii yao.Sasa mtoto wa kwako, unasubili upewe kibari na mahakama, bakwata Ili aolewe!
Kwanza hakuna waziri, mkuu wa wilaya, mkoa, mtumishi wa umma, mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14, hata 18!. Umri huo mtoto Bado yupo chuo kikuu,au secondary,wale wa kishua ndio kwanza Bado anqcheza video game nyumbani!
Hizi sheria zinafanya kazi kwa watoto wa maskini, mafukara wasiojiweza, unakuta sheikh kakapenda kabinti, ambako wazazi wake ni choka mbaya, anatoa mpunga anaenda kukarukia.
Hivi mzazi mwenye akili timamu, unaozaje Binti wa miaka 14!
Utasikia shule imemshinda!!binadamu Wana vipawa vingi sana, hata Elimu rasmi ikimshinda, zipo Elimu zingine
Mmekariri ndoa zina washinda na ni kwasbab tu mnashindana na wanaume.Sheria ya kimasikini ambayo watu wake hawathamini elimu. Waachwe wafanye watakavyo.
Ndoa zinawashinda watu wazima na uzee wao huyo wa miaka 14 atawezqje kama sio unyanyasaji.
Hii ni sheria mpya au imekuwepo tangu miaka ya 70 huko?.Kwa hiyo Ndio uhalilishe wanaume mtafurahia kwa sababu mnavibaka hivyo vitoto we mtoto wako miaka 14 utakubali aolewe?
Subiri uzae na ww utajioneaHalafu mtoto wa darasa la 6 kuwa mapepe ni makosa ya mzazi. Malezi mabovu
Ni mtoto Kwa kigezo gani umeangalia ?Hapana 16 bado ni mtoto, iwe bove 18
Sheria imekuwepo tangu 1971,nini kipya sasa?.Masheikhe waache ulafi!
Nyie watu wazima Ndoa zinawashinda kwa sababu mlianza kutoa mbwa katika miaka hiyohiyo ya 14 kwa masela tofautitofauti na wenye size tofauti za mikuyenge,sasa mtawezaje kudumu kwenye ndoa yenye mkuyenge mmoja size ya kati?.Kifupi mlishaharibika na hamfai kwa ndoa.Sheria ya kimasikini ambayo watu wake hawathamini elimu. Waachwe wafanye watakavyo.
Ndoa zinawashinda watu wazima na uzee wao huyo wa miaka 14 atawezqje kama sio unyanyasaji.
Sheria imekuwepo tangu 1971 kumbuka!.MILA ZOZOTE, AU MISINGI YOYOTE YA DINI INAYOKINZANA NA SHERIA ZA NCHI NI BATILI.
KAMA KUNA MILA INASEMA KUWA MTOTO MDOGO AOLEWE, HIYO MILA IFUTWE.
Sheria imekuwepo tangu 1971 kumbuka hilo.... niki-comment huu uzi naweza kuchafua hali ya hewa! Itoshe tu kusema ni ubakaji unaotaka kuhalalishwa kwa visingizio visivyo na mashiko!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mtoto wa darasa la 6 kuwa mapepe ni makosa ya mzazi. Malezi mabovu
Uko mwanza wazee wakishapewa ngombe wanaozesha hata mtoto ajamaliza shule ya msingiSikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.
Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe ngumu na mateso mtoto atawezaje kuhimili visa vya mama mkwe na wifi kama mimba tatizo tutawekea njiti
Kwaiyo mutoto wako akifikisha miaka 14 tukatombe siyo?We unapanga maisha na mtoto wa nn?
Kazi yako ni kukatomba tu mpaka kakue
Wewe jibu swali uloulizwa ..je uliolewa na mingapi?Inahusu nini kuolewa kwangu, wakati hapa inaongelewa sheria ya nchi na sheria ya dini.
Kwani sheria za nchi zilitazama nani kaolewa lini?
Sheria imekuwepo mwaka wa 52 sasa huu,vp unaweza kuonesha matitizo waliokumbana nayo walioolewa wakiwa na miaka 14 huko nyuma ukianza na bibi zako?.Wanaharakati wakilivalia njuga hili kitanuka
Mimi ni mmoja kati ya hao washenzi nikiwa pamoja na babako,mamako,babu yako na bibi yako kwa maana tumeiishi hii sheria kwa miaka 52 sasa.Ni wapi pamesemwa kwamba waendelee kungonoka? Such a mere reasoning to justify child marriage.
Hizi ni sheria za kishenzi kwa watoto wa maskini na kuendelea kuzalisha taifa la watu mizigo wasio na tija kwa taifa.
Waislam wengi wamekosoa huu upuuzi.
Muislam anayeunga huu ujinga namuona ni mshenzi tu.
Kwani umri wa mtu mzima unaanzia miaka mingapi? Na mtu mwenye umri chini ya miaka 18 tumaitaje?Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?
Inahusu nini kuolewa kwangu, wakati hapa inaongelewa sheria ya nchi na sheria ya dini.Wewe jibu swali uloulizwa ..je uliolewa na mingapi?
Maana bwana Mudy aliowa cha miaka tisa
Sheria imekuwepo tangu mwaka 1971 na sasa inamiaka 52.Unafikiri ni kitu kipya hata utoe sababu yako hiyo?.Huo ni umri wa mtoto kuwa shule, haijalishi ana soma au hasomi ila kitachohukumiwa kitaangalia kigezo hicho.
Mabinti wengine wa umri huo kutokuwa shule hakuhalalishi kwa wengine nao wasiweze kupata haki ya msingi ya kuwa shule.
Na ndio maana serikali inafanya kila jitihada ikiwemo kutoa elimu bure kuwaondolea kuwarahisishia wazazi waweze kuwapeleka watoto wao shule