BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Sasa mtoto wa kwako, unasubili upewe kibari na mahakama, bakwata Ili aolewe!

Kwanza hakuna waziri, mkuu wa wilaya, mkoa, mtumishi wa umma, mwenye uchumi wa kati anayeweza kuoza mtoto wake wa miaka 14, hata 18!. Umri huo mtoto Bado yupo chuo kikuu,au secondary,wale wa kishua ndio kwanza Bado anqcheza video game nyumbani!

Hizi sheria zinafanya kazi kwa watoto wa maskini, mafukara wasiojiweza, unakuta sheikh kakapenda kabinti, ambako wazazi wake ni choka mbaya, anatoa mpunga anaenda kukarukia.

Hivi mzazi mwenye akili timamu, unaozaje Binti wa miaka 14!

Utasikia shule imemshinda!!binadamu Wana vipawa vingi sana, hata Elimu rasmi ikimshinda, zipo Elimu zingine
Upo sahihi, nd maana wamesema mahakama ikijiridhisha kwa kuangalia mazingira, afya ya mtoto na vengine kama mila na desturi za jamii yao.

Amemanisha nini. Amemanisha kwamba; mtoto wa aina hiyo akiwa haendelei na masomo(kwasbab yyt ile), ana afya nzuri, jamii yake haina pingamizi na hilo, na afya yake ni nzur maana kwamba ameshabalegh na mazingir mengin kama mwili wake n.k pia yupo ktk mazingira hatarishi(kwa namna yyt unayoifikiria kichwan),
SAsa huyu kwann asiolewe ili asitiriwe ??
 
Sheria ya kimasikini ambayo watu wake hawathamini elimu. Waachwe wafanye watakavyo.
Ndoa zinawashinda watu wazima na uzee wao huyo wa miaka 14 atawezqje kama sio unyanyasaji.
Mmekariri ndoa zina washinda na ni kwasbab tu mnashindana na wanaume.
 
Sheria ya kimasikini ambayo watu wake hawathamini elimu. Waachwe wafanye watakavyo.
Ndoa zinawashinda watu wazima na uzee wao huyo wa miaka 14 atawezqje kama sio unyanyasaji.
Nyie watu wazima Ndoa zinawashinda kwa sababu mlianza kutoa mbwa katika miaka hiyohiyo ya 14 kwa masela tofautitofauti na wenye size tofauti za mikuyenge,sasa mtawezaje kudumu kwenye ndoa yenye mkuyenge mmoja size ya kati?.Kifupi mlishaharibika na hamfai kwa ndoa.
 
... niki-comment huu uzi naweza kuchafua hali ya hewa! Itoshe tu kusema ni ubakaji unaotaka kuhalalishwa kwa visingizio visivyo na mashiko!
Sheria imekuwepo tangu 1971 kumbuka hilo.
 
Halafu mtoto wa darasa la 6 kuwa mapepe ni makosa ya mzazi. Malezi mabovu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.

Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe ngumu na mateso mtoto atawezaje kuhimili visa vya mama mkwe na wifi kama mimba tatizo tutawekea njiti
Uko mwanza wazee wakishapewa ngombe wanaozesha hata mtoto ajamaliza shule ya msingi
 
Inahusu nini kuolewa kwangu, wakati hapa inaongelewa sheria ya nchi na sheria ya dini.

Kwani sheria za nchi zilitazama nani kaolewa lini?
Wewe jibu swali uloulizwa ..je uliolewa na mingapi?
Maana bwana Mudy aliowa cha miaka tisa
 
Wanaharakati wakilivalia njuga hili kitanuka
Sheria imekuwepo mwaka wa 52 sasa huu,vp unaweza kuonesha matitizo waliokumbana nayo walioolewa wakiwa na miaka 14 huko nyuma ukianza na bibi zako?.
 
Ni wapi pamesemwa kwamba waendelee kungonoka? Such a mere reasoning to justify child marriage.
Hizi ni sheria za kishenzi kwa watoto wa maskini na kuendelea kuzalisha taifa la watu mizigo wasio na tija kwa taifa.
Waislam wengi wamekosoa huu upuuzi.
Muislam anayeunga huu ujinga namuona ni mshenzi tu.
Mimi ni mmoja kati ya hao washenzi nikiwa pamoja na babako,mamako,babu yako na bibi yako kwa maana tumeiishi hii sheria kwa miaka 52 sasa.
 
Wewe jibu swali uloulizwa ..je uliolewa na mingapi?
Maana bwana Mudy aliowa cha miaka tisa
Inahusu nini kuolewa kwangu, wakati hapa inaongelewa sheria ya nchi na sheria ya dini.

Kwani sheria za nchi zilitazama nani kaolewa lini?
 
Huo ni umri wa mtoto kuwa shule, haijalishi ana soma au hasomi ila kitachohukumiwa kitaangalia kigezo hicho.

Mabinti wengine wa umri huo kutokuwa shule hakuhalalishi kwa wengine nao wasiweze kupata haki ya msingi ya kuwa shule.

Na ndio maana serikali inafanya kila jitihada ikiwemo kutoa elimu bure kuwaondolea kuwarahisishia wazazi waweze kuwapeleka watoto wao shule
Sheria imekuwepo tangu mwaka 1971 na sasa inamiaka 52.Unafikiri ni kitu kipya hata utoe sababu yako hiyo?.
 
Back
Top Bottom